Nini tena Dafu?Kuna baadhi ya halmashauri zina mambo ya ajabu sana.
Fitina, majungu, umbea na ulevi wa madaraka vimetawala.
Malipo ni hapa hapa duniani.
Paka kue na maabarachemical yenyewe utaipata wapi mkuu? Wakati hali ni tete
Mkuu wito
Na mie nimeshangaa mbona wenzie huwa wanawapa wanafunzi wawasaidie kubeba hizo daftari mpaka Ofisini.
Atakuwa mchekeshaji huyu.
Umeonaeee. Wasisingizie Ualimu wakati hapo mwenye shida ni Mwalimu mwenyewe.Ananikumbusha Engineer fulani jina kapuni. Yeye ni meneja wa wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) mkoa fulani, mwaka jana July alikuja dar akapitia mahali akachukua kalenda kwaajili ya watumishi wake na ofisi sasa alikuja kwa mguu nikajua atakodi tax baada ya kukabidhiwa ule mzigo, àkaanza kuuchapa wa mguu na mzigo mkononi kama si kwapani.
Kuna watu ni vichaa sana
Umeonaeee. Wasisingizie Ualimu wakati hapo mwenye shida ni Mwalimu mwenyewe.
Huyo jamaa ni Hatari. Sasa hapo alimkomoa nani?
Uuwiii. Na huyo hana tofauti na huyo Ticha hapo pichani. Wakiekwa wanaiva chungu kimoja.Sijui alikuwa anamkomoa nani!!!
Mimi nikamuuliza vipi bosi mbona mzigo mkubwa uko mikononi akajibu "Sisi wahandisi hatuna shida, huu mzigo lazima ufike" akatokomea kwa mguu
Haha mkuu;
Uuwiii. Na huyo hana tofauti na huyo Ticha hapo pichani. Wakiekwa wanaiva chungu kimoja.
😃😃😃 Noma sanaUkimuuliza utamsikia mimi mwalimu wa sayansi yaani nina akili nyingi. Anashindwa kusema kuwa yeye ni mwalumu wa historia ya sayansi. Maana wanasayansi ni watu makini ndomaana kila leo hufanya innovation
$😁😁😁😁Ananikumbusha Engineer fulani jina kapuni. Yeye ni meneja wa wakala wa ufundi na umeme (TEMESA) mkoa fulani, mwaka jana July alikuja dar akapitia mahali akachukua kalenda kwaajili ya watumishi wake na ofisi sasa alikuja kwa mguu nikajua atakodi tax baada ya kukabidhiwa ule mzigo, àkaanza kuuchapa wa mguu na mzigo mkononi kama si kwapani.
Kuna watu ni vichaa sana
Asante mkuuPole mkuu