Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Pole mkuuKuna baadhi ya halmashauri zina mambo ya ajabu sana.
Fitina, majungu, umbea na ulevi wa madaraka vimetawala.
Malipo ni hapa hapa duniani.
Wagosi wa kayaWalimu tuna hali ngumu
Pole sana mkuuKuna baadhi ya halmashauri zina mambo ya ajabu sana.
Fitina, majungu, umbea na ulevi wa madaraka vimetawala.
Malipo ni hapa hapa duniani.
Jipange kwanza mkuu,usiache wakati hujui mwelekeo wakoMda c mrefu..ntaachia ngaz...mana inawezekana hii n teke la chura
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁 chemical yenyewe utaipata wapi mkuu? Wakati hali ni teteWaalimu wa sayansi inabidi waunde chemical flani iv ambayo ukimpa mwanafunzi baadae anakuja kupenda waalimu na wawanyeshwe wanafunzi wote tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli mkuu kila mtu anaridhiki yakeMUNGU ATAMSAIDIA.....
Mkuu witoKwani kalazimishwa na nani kubeba mizigo hii ambayo haikuwa na sababu za msingi kubebwa hivi ?
Kama si movie basi ni kichaa huyu
Na mie nimeshangaa mbona wenzie huwa wanawapa wanafunzi wawasaidie kubeba hizo daftari mpaka Ofisini.Kwani kalazimishwa na nani kubeba mizigo hii ambayo haikuwa na sababu za msingi kubebwa hivi ?
Kama si movie basi ni kichaa huyu
Wito gani huo Mkuu? Chukulia yamemdondokaMkuu wito