Yegomasika JF-Expert Member Mar 21, 2009 13,164 61,249 Jan 7, 2017 #56 Binaadamu ni kawaida kuwa na matamanio na usichokuwa nacho. Ukishakipata tu unaona kawaida sana!
miss chagga JF-Expert Member Jun 7, 2013 57,821 48,968 Jan 7, 2017 #59 kinje abdallah said: Ilaaa ww kweli miss chagga Click to expand...
Naisujaki Lekangai JF-Expert Member Aug 19, 2012 1,340 1,377 Jan 7, 2017 #60 Patrickn said: Hakyanani akikuangalia namna hii lazma ukose cha kuongea... Click to expand... Hapo kakuwekea pozi la umakini wa kukusikiliza, utakosaje tena cha kusema? Wanaume bwana, mnataka mazezeta?
Patrickn said: Hakyanani akikuangalia namna hii lazma ukose cha kuongea... Click to expand... Hapo kakuwekea pozi la umakini wa kukusikiliza, utakosaje tena cha kusema? Wanaume bwana, mnataka mazezeta?