Jizi jenzio liko futi sita chini. Muliibia Tanzanians sana
Mjizi huu Leo Sir God ako kawatia gunzi la ..... WanahahaYalikuwa yanatukana watanzania wanaolalamika njaa, na kuwaita wapiga dili. Leo wanatapatapa hatari sana mtu mweusi
Sipo level ya MATAGA mimiMATAGA mmepatwa na kiwewe.
Pambio mfululizo niaka 5 limewalemaza kabisa, mmekuwa vibudu. Jiwe aliwashika vibaya sana.
Mambo ya brainwashing na cult-following.
Niseme tu CORONA BABA LAO. Mtu kazikwa na mavi yake. Hehehehehe
Bado najiuliza na kila siku naandika humu, yule jamaa hakustahili kuzikwa kwa heshima vile.Jizi jenzio liko futi sita chini. Muliibia Tanzanians sana
Mumetiwe kiteteRudi kwenye hoja
Sema tunajua kuokoteza manenoBado najiuliza na kila siku naandika humu, yule jamaa hakustahili kuzikwa kwa heshima vile.
Wangefunga ule mwili na kubebwa na helkopta kisha akatupwa mtoni kama alivyokuwa akitupa wenzie enzi za uhai wake.
Hakukuwa na ufisadi wa kutisha kama enzi zake, na yeye ndie alikuwa mwizi mkuu.
1. Ndege
2. Mradi wa kufua umene
3. Madini kutokaguliwa
4. Trilion 1.5 mpka Asad akaondolewa CAG
5. Ujenz woote kampuni zake ndo zilikuwa zinasimamia
N.k
Hastahili hata kukumbukwa katika vitabu vya historia ndani ya hili taifa.
Ndiye rais wa ajabu kuwahi kutokea ndan ya mipaka ya taifa letu.