Kwa DFP inaruhusiwa kwa sababu kibao kimeandikwa kwa maandishi mekundu.......DFP ndo wanaotujengea barabara kwanini asiruhusiwe kupaki....
DFP---Donor's Funded Projects
Inawezekana hakuwa amepaki kwani hii picha ni static na yawezekana picha ilipigwa wakati gari liko kwenye mwendo. Kama alikuwa alepaki basi tatizo kubwa la dreve ni wrong or weak coordination kati ya ubongo na macho ya dreva!