Huwa kila nikiangalia joto la hali ya hewa katika miji ya darfur na khartoum siku zote ni kati ya centgrade 50c hadi 58c na kipindi cha baridi kwao ni 48c;
Kama ni kweli joto la binadamu wa kawaida ni jotoridi 37c; inawezekana watu waishio Darfur wakawa na uwezo mkubwa sana kiafya kuriko binadam yeyote kwingine duniani.!
Kama ni kweli joto la binadamu wa kawaida ni jotoridi 37c; inawezekana watu waishio Darfur wakawa na uwezo mkubwa sana kiafya kuriko binadam yeyote kwingine duniani.!