Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,684
- 36,045
Habari ndugu zangu!
Kila nikitazama television nagundua jambo jipya.
Wafanyakazi walio chini ya TAMISEMI wana mabosi wengi sana, na kila boss anataka kuonyesha nguvu yake.
Punching bag la ma RC, RAS, DC, DED, DAS, na kadhalika na kadhalika ni watumishi walioko huko serikali za mitaa.
Wanadhalilishwa kila siku, no extra duty allowance, no lunch allowance, no fare allowance, no house allowance but wanavumilia dhihaka wanazofanyiwa.
Duuuhh aiseee mna kiwango kikubwa cha uvumilivu.
Samahani Kama nimemkwaza mtu.
Tujenge taifa kwa moyo na uvumilivu.
Kila nikitazama television nagundua jambo jipya.
Wafanyakazi walio chini ya TAMISEMI wana mabosi wengi sana, na kila boss anataka kuonyesha nguvu yake.
Punching bag la ma RC, RAS, DC, DED, DAS, na kadhalika na kadhalika ni watumishi walioko huko serikali za mitaa.
Wanadhalilishwa kila siku, no extra duty allowance, no lunch allowance, no fare allowance, no house allowance but wanavumilia dhihaka wanazofanyiwa.
Duuuhh aiseee mna kiwango kikubwa cha uvumilivu.
Samahani Kama nimemkwaza mtu.
Tujenge taifa kwa moyo na uvumilivu.