Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,620
- 34,053
CDM siyo chama, ni genge na kitega uchumi cha wachagga. Haitakuja kutokea wakapewa nchi hata kama ardhi itageuka juu chini. Na hakuna kitu utafanyaHawana sera au hizo ni propaganda za kijinga za chama chako za kusema wapinzani hawana sera?
Huzifahamu sera za CHADEMA? Hujui itikadi na falsafa ya CHADEMA?
Kutokujua kwako hakufanyi wawe hawana sera.
Acha kukariri mambo ya kijinga.