Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ukweli utabaki ukweli tu.
CCM itaendelea kushika dola miaka yote.
Hawa wengine ni waoga , hawana mpango mkakati unaotekelezeka , wachovu na performance yao haionekani kabisa. Wanachofanya hakijulikani. Wao ni pinga pinga tu kila leo. Hawana jipya.
Kama huoni miradi ya barabara , maji , vituo vya afya , nishati , Reli ya Kisasa , Project ya Rufiji , Meli , Midege , Rada , Serikali kuhamia Dodoma , Elimu bure nk ulapimwe akili utoe hayo matope.
CCM itaendelea kushika dola miaka yote.
Hawa wengine ni waoga , hawana mpango mkakati unaotekelezeka , wachovu na performance yao haionekani kabisa. Wanachofanya hakijulikani. Wao ni pinga pinga tu kila leo. Hawana jipya.
Kama huoni miradi ya barabara , maji , vituo vya afya , nishati , Reli ya Kisasa , Project ya Rufiji , Meli , Midege , Rada , Serikali kuhamia Dodoma , Elimu bure nk ulapimwe akili utoe hayo matope.