Hakuna wa kufuata nyayo za Hayati Magufuli

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,682
22,685
Kumetokea wimbi la viongozi hasa wanaowinda vyeo serikalini kujinasibu na kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba wapo tayari kufuata nyayo za mwendazake. Kiukweli bila chembe ya unafiki hizo ni hadaa kama zilivyokuwa hadaa za mwendazake.

Tukubali kila nyakati zina mambo yake, nasema hivyo kwani hata hasara kubwa ya shilingi bilioni 60 iliyoonekana katika shirika letu la ndege wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hakuna ambaye angethubutu kuweka wazi.

Ninaamini hata Mh Rais S.S. Hassan hafuati nyayo za mtangulizi wake bali anatengeneza Legacy yake mwenyewe na akimaliza muda wake basi atahukumiwa kwa aliyoyafanya na wala siyo yale ya mtangulizi wake.

Muda ni Jibu.
 
Jaman muache hayati apumuzike kwa amani.

Mtu mlimusema kila siku wakati bado yupo hai,
Haya Mungu kamchukua Napo bado mnamsema,

Achen apumzike mzee.
 
Hata sisi hatutaki nyayo za jiwe sababu zina magamba, ukurutu, uchafu, machacha na magaga ya kutosha.
 
tena
Jaman muache hayati apumuzike kwa amani.

Mtu mlimusema kila siku wakati bado yupo hai,
Haya Mungu kamchukua Napo bado mnamsema,

Achen apumzike mzee.
sasa ndio tutamsema sana maana tuna uhuru wa kusema ambao alitunyang'anya akiwa madarakani
 
Kumetokea wimbi la viongozi hasa wanaowinda vyeo serikalini kujinasibu na kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba wapo tayari kufuata nyayo za mwendazake. Kiukweli bila chembe ya unafiki hizo ni hadaa kama zilivyokuwa hadaa za mwendazake.

Tukubali kila nyakati zina mambo yake, nasema hivyo kwani hata hasara kubwa ya shilingi bilioni 60 iliyoonekana katika shirika letu la ndege wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hakuna ambaye angethubutu kuweka wazi.

Ninaamini hata Mh Rais S.S. Hassan hafuati nyayo za mtangulizi wake bali anatengeneza Legacy yake mwenyewe na akimaliza muda wake basi atahukumiwa kwa aliyoyafanya na wala siyo yale ya mtangulizi wake.

Muda ni Jibu.
Kwakweli hakuna
IMG-20210330-WA0024.jpg
 
Tutavaaje wakati mama janet kavifungia kabatini😂😂😂😂

Unawazimu wewe. Si tunanunua vyetu kutoka kiwanda cha ngozi pale
 
Kumetokea wimbi la viongozi hasa wanaowinda vyeo serikalini kujinasibu na kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba wapo tayari kufuata nyayo za mwendazake. Kiukweli bila chembe ya unafiki hizo ni hadaa kama zilivyokuwa hadaa za mwendazake.

Tukubali kila nyakati zina mambo yake, nasema hivyo kwani hata hasara kubwa ya shilingi bilioni 60 iliyoonekana katika shirika letu la ndege wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hakuna ambaye angethubutu kuweka wazi.

Ninaamini hata Mh Rais S.S. Hassan hafuati nyayo za mtangulizi wake bali anatengeneza Legacy yake mwenyewe na akimaliza muda wake basi atahukumiwa kwa aliyoyafanya na wala siyo yale ya mtangulizi wake.

Muda ni Jibu.
Kwakweli na tunaomba mungu asitokee kabisa mtu wa kariba ya magufuli tumechoka kuishi kama tuko magereza ya nje maana maswala ya kuzibwa midomo na kupigwa risasi hadharan hatuyataki tena aende na tabia zake
 
Kumetokea wimbi la viongozi hasa wanaowinda vyeo serikalini kujinasibu na kutaka kuwaaminisha Watanzania kwamba wapo tayari kufuata nyayo za mwendazake. Kiukweli bila chembe ya unafiki hizo ni hadaa kama zilivyokuwa hadaa za mwendazake.

Tukubali kila nyakati zina mambo yake, nasema hivyo kwani hata hasara kubwa ya shilingi bilioni 60 iliyoonekana katika shirika letu la ndege wakati wa utawala wa Hayati Magufuli hakuna ambaye angethubutu kuweka wazi.

Ninaamini hata Mh Rais S.S. Hassan hafuati nyayo za mtangulizi wake bali anatengeneza Legacy yake mwenyewe na akimaliza muda wake basi atahukumiwa kwa aliyoyafanya na wala siyo yale ya mtangulizi wake.

Muda ni Jibu.
Tatizo huyo jamaa alitumia Ujinga wa watu kujiinua. Ila ukweli ni kuwa alikuwa kilaza kuliko hta Kihiyo. Aliminya uhuru wa vyombo vya habari visianike ushenzi wake. Mama anaweza kufanya vizur hta kwa miezi mitatu tuu kuliko ushenzi wa huyo lbilisi na malaika zake waliofanya miaka 5.

Huyo hafai kuitwa rais wa nchi ni kituko cha karne ya 21 kuwahi kutokea. Mungu ni mwema sana na ametuvusha.
 
Back
Top Bottom