Hakuna ushujaa mkubwa kama kufia kifuani kwa mwanamke

Aman iwe juu yenu wakuu

Kama kichwa cha habal kinavyosomeka hapo juu

Siyo mtu unajifia fia tu sijui unaumwa ukimwi sijui maralia sijui unaumwa kiyutiai

Au unakuta mwanaume mzima anakufa kifo cha kizembe kabisa cha kufia vitani kwa kupigwa kalisasi au virisasi yaan unakufa kizembe zembe tu

Ivi kweli mtoto wa kiume unakufa kwa kupigwa shoka na watu nao wanasikitika kweli?

Mtoto wa kiume fia kifuan kwa mwanamke uache history

Ni kifo ambacho ukifa hata Mungu mkuu wa mbinguni mwenyewe anakunyoshea mikono na kusema wewe ni mnyama

Yaan hata ile siku ambayo malaika akina Gabriel na Raphael watakupokea kwa tabasamu sana huku wakisemezana wao kwa wao


Wanaume achen kufa kizembe zembe

Aman kwao watu wote ambao walifia kifuan kwa wanawake maana ni mashujaa sana

Aman kwao watu wote ambao wamepangiwa kifo kitamu kama hiki

Hiki ni kifo kitamu sana kifoo cha kijanja kifo cha kishujaa

MUNGU NIJALIE NIFE KIFO CHA KISHUJAA CHA NAMNA HII HAPO BADAE siyo nife kizembe zembe sijui kwa kisukar sijui shinikizo la damu sijui nini aaagaya

Aman kwenu watu wote ndani ya jukwaa

LONDON BOY
BOY FROM LONDON
BRACK ENGLAND
wasukuma bhana
 
Mwanamke mwenyewe awe wa maana sasa hata malaika mtoa roho amtie majaribuni. Anyway vifo vingine vinaboa sana hadi unakaa unajiuliza ukiwa kaburini umekufaje kufaje, kizembe zembe hivyo.
 
Back
Top Bottom