Asemavyo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 312
- 821
Hivi umeshawahi kuwa kwenye foleni ya magari hapa dar? Wale wenye magari ya v8, ranger rover, BMW.. Hao utaona wakiuziwa magazeti
Wenye tax, Toyota na Noah hao utaona wakiuziwa mahindi ya kuchoma
Sisi wa kwenye daladala sasa!... Tunauziwa sumu za panya,dawa za mende, dawa za fangasi!. Mwishowe tunapewa na vipeperushi vya waganga wa kienyeji!.
Machinga Mungu anawaonaa!..
Wenye tax, Toyota na Noah hao utaona wakiuziwa mahindi ya kuchoma
Sisi wa kwenye daladala sasa!... Tunauziwa sumu za panya,dawa za mende, dawa za fangasi!. Mwishowe tunapewa na vipeperushi vya waganga wa kienyeji!.
Machinga Mungu anawaonaa!..