Hali mbaya sana.Kwa nchi ilipofika sasa hakuna kitu cha Kipuuzi Kama kuacha mambo yako na kwenda kupiga KURA ukitegemea kura zitaamua nani awe mshindi...!! Bora ulalee nyumbani tu....
Yani wanapotangaza matokeo mpaka MTU unaishia kuchekaa tuu...Hali mbaya sana.
Kwa nchi ilipofika sasa hakuna kitu cha Kipuuzi Kama kuacha mambo yako na kwenda kupiga KURA ukitegemea kura zitaamua nani awe mshindi...!! Bora ulalee nyumbani tu....
Hata wahesabu kura sasa Hawana hiyo Nguvuu...!! Bora kibaki chama cha Nyerere tujue mojaaMPIGA KURA HAWEZI KUAMUA MSHINDI BALI MHESABU KURA NDIYE ANAYEAMUA NANI ASHINDE.
SIzitaki mbichi hizi!!Kwa nchi ilipofika sasa hakuna kitu cha Kipuuzi Kama kuacha mambo yako na kwenda kupiga KURA ukitegemea kura zitaamua nani awe mshindi...!! Bora ulalee nyumbani tu....
Hata wasiposusahata mkisusa wenzenu watafanya figisu figisu washinde
Hata wasiposusa
Sasa hata tukipiga hazina maanaWrite your reply...Tutapiga tu atuna namna.
Itabidi tuingie Msitunisasa tufanyeje mkuu?
hata mkisusa wenzenu watafanya figisu figisu washinde
Kuna muunganiko wa jeshi la polisi tume ya uchaguzi na ccm wametengeneza chama cha siasa kimoja ni hatari sana kwa sasa hapa nchini wanajiandikia idadi ya kura wazitakazo.hata mkisusa wenzenu watafanya figisu figisu washinde
Itabidi tuingie Msituni
Sawa , then What ?
Duh bora kufa kuliko kufarikiKwa nchi ilipofika sasa hakuna kitu cha Kipuuzi Kama kuacha mambo yako na kwenda kupiga KURA ukitegemea kura zitaamua nani awe mshindi...!! Bora ulalee nyumbani tu....