mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana Jamiiforums,
Nimepitia sehemu kadhaa nikiangalia maoni ya watu wengi, walikuwa wakilaumu wapinzani kuingia kwenye uchaguzi bila kurekebisha sheria za uchaguzi na tume huru, majimbo mengi ilikuwa ubabe ubabe, watu waliachana na mita 200 za tume na sheria za uchaguzi na kukaa mita hamsini, waliokaa mita hamsini walifaulu kulinda kura na matokeo tumeyaona, waliokuwa waoga, mmeona matokeo, nawaasa sana wale wote waliochaguliwa kuweni makini katika utendaji wenu kwa sababu watu tuna hasira ya maendeleo, wakati wa ndio mzee umeisha.
Wakati wa hili ni jimbo langu yamekwisha, wale wazee wasumbufu, wakina, Mrema, Cheyo, wanaokuwa hawana upande wameondoka, lililobaki tuungane kwa pamoja kumshawishi Zitto arudishe moyo kuungana na vijana wenzie kujipanga upya kuleta democrasia ya kweli, pamoja na mbilinge ya CCM kugomea matokeo kuhesabu kwa siku tatu mpaka nne, bado wananchi wameonyesha ushujuaakwamba hawataki mchezo kwa mtu wa kuchaguliwa, kikatio cha kweli kimefanya kazi, aliyekataliwa kakataliwa aliyekubaliwa ajiandae kuhudumia watu wake.
Nimepitia sehemu kadhaa nikiangalia maoni ya watu wengi, walikuwa wakilaumu wapinzani kuingia kwenye uchaguzi bila kurekebisha sheria za uchaguzi na tume huru, majimbo mengi ilikuwa ubabe ubabe, watu waliachana na mita 200 za tume na sheria za uchaguzi na kukaa mita hamsini, waliokaa mita hamsini walifaulu kulinda kura na matokeo tumeyaona, waliokuwa waoga, mmeona matokeo, nawaasa sana wale wote waliochaguliwa kuweni makini katika utendaji wenu kwa sababu watu tuna hasira ya maendeleo, wakati wa ndio mzee umeisha.
Wakati wa hili ni jimbo langu yamekwisha, wale wazee wasumbufu, wakina, Mrema, Cheyo, wanaokuwa hawana upande wameondoka, lililobaki tuungane kwa pamoja kumshawishi Zitto arudishe moyo kuungana na vijana wenzie kujipanga upya kuleta democrasia ya kweli, pamoja na mbilinge ya CCM kugomea matokeo kuhesabu kwa siku tatu mpaka nne, bado wananchi wameonyesha ushujuaakwamba hawataki mchezo kwa mtu wa kuchaguliwa, kikatio cha kweli kimefanya kazi, aliyekataliwa kakataliwa aliyekubaliwa ajiandae kuhudumia watu wake.