OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,127
- 24,064
Mkuu usihairishe suala la kuoa kwako kwa sababu ya maneno ya kuambiwa. Shauri yako, maamuzi ni ya kwako mzee..Kuna binti nilitarajia kwenda kumtolea mahari mwezi wa 10 lakini baada ya kusoma huu uzi, acha nijitafakari upya.
Sent using Jamii Forums mobile app