Hakuna umuhimu wa ndoa karne hii kwa sababu hizi

Hapa wanawake ndio waathirika wakubwa wakuonewa huruma thamani yao imeisha. Cha msingi sisi wanaume tuwazalishe tuwachukue watoto wetu tuwape bekitatu watulelee na huyohuyo bek3 mara moja moja ukijisikia unakula
Haya ndio maamuzi ya kipuuzi zaid kama yataamuliwa na wengi kama nyie.
 
Wazungu wa nchi zipi wenye ndoa za mkataba?
Hili jambo wazungu walishaliona mapema ndo maaana wakawa na ndoa za mikataba. Baada ya kuoana, kutifuana na kuchokana, kama mliweka mkataba wa miaka miwili ikiisha unachukua mtoto/mrembo mwengine laini kabisa

Na huku bongo kwa namna hali ilivyo ni heri tukawa na ndoa za mkataba.
 
Mtoa mada nakupa hongera Sana umeeangalia kila Kona ya ndoa

Kwa mtu ambaye hayajamkuta utaonaa hii mada Haina maana
Mkuu nakupongeza kwaa dhati kabisa umenipa kitu adhimu mkuu .
 
Mbona leo andiko lako fupiiii sanaaaa jamani!? Anyways, umuhimu wa ndoa kamwe haujawahi kupungua, hauwezi kupungua na hautakuja upungue. Tunza uzi wako huu, sawa? :) Takwimu!? Takwimu zinaonesha kwamba kwa sasa asilimia 70 hadi 83 (70-83%) ya vijana na watu wazima wenye umri wa kuoa na kuolewa hadi umri wa kati na utu uzima wanathamini sana ndoa kuliko wakati mwingine wowote.
Sio kweli!Kuporomoka kwa maadili kwa kasi na wanawake kupenda kuwa sawa na wanaume kumewafanya wanaume wengi kuogopa ndao.Hakuna mwanaume anaye penda kuwa sawa na mwanamke au kutawaliwa na mwanamke in any way.
 
Tutakuja kuanza kununua mwanamke akuzalie tu kuliko kuishi nae ndani mwanamke unaweza mpa kila kitu lakini akachit kitu ambacho kinawachanganya vijana wengi matokeo yake wanaishia kuishi kibachela na kutafuta mtoto tu
 
Ila ukipata mwanamke uliyepangiwa na Mungu maisha ni raha sana. Angalia kumbikumbi wanavyoheshimiana wakiwa mke na bwana.
 
Ndio maana katika misingi ambayo dini inafundisha kwanza ni Hofu ya Mungu.

Ukiwa na hofu ya Mungu utazini kwa kujifucha ama hautazink kabisa.

Kama hauna hofu ya Mungu utazini kwa kujitapa na kutangaza zinaa na kuivutia ili wangine wafanye,hii ia ni mbaya inaharibu jamii.

Dini bila hofu haisimami sawasawa.
Na wengi hawajui madhara ya zinaa..moja ya madhara ni Ufukara,magonjwa.Malipo hapa hapa kwa wanao,Na bado siku ya hesabu utapata malipp yako maovu
 
We jamaa una MADINI hakika. Mada zako mara nyingi zinatembea kwenye maisha halisi.
 
Back
Top Bottom