"Hakuna ukabila wala ubadhirifu CHADEMA"-Chacha Wangwe

Mbona hauulizi ilikuwaje mkamsimamisha?

Kwa sababu umeshatuambia kwamba the reason mlisimamisha ni kwa sababu alitaka kuwapiga, na aliwatukana.

Umetuambia kwamba mlipoenda kwenye mkutano haikuwa kwenye agenda kumtimua Wangwe, mpaka alipoanza ku act up ndani ya mkutano. Vinginevyo angekuwepo leo hii huyo loose cannon madarakani. Na mngemnadi tena Tarime 2010.

Au sio?

Kama sio basi futa maneno yako kwamba agenda siku ile haikuwa kumfukuza!

Mbona haulizi kwanini Zitto Kabwe na wengine hawakuwa wakiumuunga mkono?

Kwa nini unam cherry pick Zitto? Mimi nauliza viongozi wengine wa juu kabisa waliomkumbatia, kina Tundu, na Mbowe kabla ya honey moon kuisha na reality ku sink in. Sasa mambo yameharibika mnashindwa kudili nae.

Zitto anadiriki mpaka kusema chama kilikuwa hatarini. Kwa ajili ya loose cannon mmoja ambae mmemlea wenyewe? Mkamuuza kwa wananchi?

Halafu mnadiriki kusema - Tundu Lissu anadiriki kutuambia - kwamba anaenda mahakamani kumtetea huyu mtu ambae yeye Tundu mwenyewe anasema ni mwongo. Mnakuja tena kum-nadi kwa wananchi, na kumdanganya Jaji kuhusu huyu mtu wenu ambae mnatuambia hana integrity? Nyinyi mnaweza ku run Chama kweli nyinyi au ni wazugaji mnaogombanishwa na viruzuku vya laki mbili hapa laki nne pale?

Kwa hiyo umekubali kwamba the guy is a flip flopper eeeh. Kama hakuona ukabila januari 2008 ameuonaje mara baada ya kusimamishwa?

Na kina Tundu Lissu na Mbowe na viongozi wengine nao basi wanafiki manake walimnadi, mlimpromote kiongo ongo, Wamarekani wanasema mlim pimp huyu Wangwe kwetu! Nyote ndumila kuwili. Nyote ma pimp nyinyi!

Haya honey moon imekwisha, Chacha halisi amewekwa hadharani kama nitatumia maneno yako.

Sio Chacha kawekwa hadharani.

CHACHA-DEMA nzima imewekwa hadharani!

Mnagombea ruzuku, mnasingiziana eti pesa zilienda hazikwenda mikoani, nilikupa hujanipa, kwani hakuna daftari tuone ankra?

Au ma accountant wenu wana doctor madaftari ya hela? Ni mafisadi? Kuna ufisadi ndani ya CHACHA-DEMA?

Au hamna daftari nyinyi watu?

Kama lipo kwanini kuwe na 'he say she say' ya pesa nilikupa hukunipa?

Bado unamuunga mkono?

Siungi wala sipingi mtu. Mimi si shabiki shabiki tu la Chama. Chochote kile.

Nataka ukija na narration of what happened kuhusu aliyetaka kupigwa basi hizo accounts should be substantiated na watu ambao sio hao hao wanaosema walitaka kupigwa!
 
Mbona hauulizi ilikuwaje mkamsimamisha?

Mbona haulizi kwanini Zitto Kabwe na wengine hawakuwa wakiumuunga mkono?

Lakini kwani wakati huo alikuwa amepiga mtu kikaoni basi na kuvujisha siri za chama kwa kiwango alichofanya akiwa makamu mwenyekiti basi?

Kwa hiyo umekubali kwamba the guy is a flip flopper eeeh. Kama hakuona ukabila januari 2008 ameuonaje mara baada ya kusimamishwa?

Nakwambia akihojiwa tena leo atakuwa na maneno tofauti kabisa na jana!

Haya honey moon imekwisha, Chacha halisi amewekwa hadharani kama nitatumia maneno yako.

Bado unamuunga mkono?

Asha

moja kati ya vitu vigumu kuvitetea duniani ni ukabila,udini au ubaguzi wa aina yeyote ile.japo ubaguzi wa rangi wakati mwingine ni aibu kubwa kuutetea ila hizi aina nyingine za ubaguzi ni ngumu sana.unaweza kujikuta upo tayari hata kujilipua ili kuutetea ukabila au udini...
...UHURU wa YESU ni wa milele
 
Kwa sababu umeshatuambia kwamba the reason mlisimamisha ni kwa sababu alitaka kuwapiga, na aliwatukana.

Umetuambia kwamba mlipoenda kwenye mkutano haikuwa kwenye agenda kumtimua Wangwe, mpaka alipoanza ku act up ndani ya mkutano. Vinginevyo angekuwepo leo hii huyo loose cannon madarakani. Na mngemnadi tena Tarime 2010.

Au sio?

Kama sio basi futa maneno yako kwamba agenda siku ile haikuwa kumfukuza!



Kwa nini unam cherry pick Zitto? Mimi nauliza viongozi wengine wa juu kabisa waliomkumbatia, kina Tundu, na Mbowe kabla ya honey moon kuisha na reality ku sink in. Sasa mambo yameharibika mnashindwa kudili nae.

Zitto anadiriki mpaka kusema chama kilikuwa hatarini. Kwa ajili ya loose cannon mmoja ambae mmemlea wenyewe? Mkamuuza kwa wananchi?

Halafu mnadiriki kusema - Tundu Lissu anadiriki kutuambia - kwamba anaenda mahakamani kumtetea huyu mtu ambae yeye Tundu mwenyewe anasema ni mwongo. Mnakuja tena kum-nadi kwa wananchi, na kumdanganya Jaji kuhusu huyu mtu wenu ambae mnatuambia hana integrity? Nyinyi mnaweza ku run Chama kweli nyinyi au ni wazugaji mnaogombanishwa na viruzuku vya laki mbili hapa laki nne pale?



Na kina Tundu Lissu na Mbowe na viongozi wengine nao basi wanafiki manake walimnadi, mlimpromote kiongo ongo, Wamarekani wanasema mlim pimp huyu Wangwe kwetu! Nyote ndumila kuwili. Nyote ma pimp nyinyi!



Sio Chacha kawekwa hadharani.

CHACHA-DEMA nzima imewekwa hadharani!

Mnagombea ruzuku, mnasingiziana eti pesa zilienda hazikwenda mikoani, nilikupa hujanipa, kwani hakuna daftari tuone ankra?

Au ma accountant wenu wana doctor madaftari ya hela? Ni mafisadi? Kuna ufisadi ndani ya CHACHA-DEMA?

Au hamna daftari nyinyi watu?

Kama lipo kwanini kuwe na 'he say she say' ya pesa nilikupa hukunipa?



Siungi wala sipingi mtu. Mimi si shabiki shabiki tu la Chama. Chochote kile.

Nataka ukija na narration of what happened kuhusu aliyetaka kupigwa basi hizo accounts should be substantiated na watu ambao sio hao hao wanaosema walitaka kupigwa!


Kwanza ieleweke kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA imemsimamisha Chacha umakamu tu kwa hiyo kwao Kamati kuu ni kwamba bado wanaona Chacha anafaa kuwa mwanachama wa CHADEMA, Mwenyekiti Mara na Mbunge wa Tarime ila amepoteza imani ya kuwa Makamu Mwenyekiti Taifa. Walikuwa na mamlaka ya kumfukuza uanachama lakini hawajafanya hivyo. Kwa hiyo hayo yako ya sijui wamenadi nini na nini hayana uzito kwa kuwa walipokwenda Tarime hawakuwa wananadi makamu mwenyekiti wa CHADEMA zilikuwa kampeni za kumnadi mtetezi wa wananchi wa Tarime. Na waamuzi walikuwa wannachi wa Tarime.

Hayo mengine kuwa hafai ni maoni yangu binafsi na mimi ningekuwa kwenye kamati kuu ya CHADEMA ningesema afukuzwe kabisa uanachama. Sasa kutokana na msimamo wangu mkali labda pengine ndio maana sifai kuwa kamati kuu ya wazee wenye busara wakina Profesa Baregu, Balozi Ngaiza, Mzee Makani nk!

Pili; kumnadi mtu kwenye uchaguzi na matendo yake ya baadaye ni mambo mawili tofauti ndio maana nchi za wenzetu kuna power of recall. Si lazima kilichosawa sasa kikaendelea kuwa sawa milele. Tatizo la nchi yetu ni kukosekana power of recall ndio maana leo wale wananchi wa jimbo la Chenge na wale wa Lowassa hata wale wa Rostam wanaendelea kutumikiwa na watuhumiwa wa ufisadi. Sasa katiba ya CHADEMA ina power of recall kwa viongozi wake wa ndani ya chama, ndio hicho kifungu cha 6.3.6(f), sasa wewe ulipaswa kuwapongeza CHADEMA kwa kuwa na katiba bora yenye kusimamia maadili. Badala yake kwa kuwa wewe ni Kuhani wa MARUHANI kazi kubeza beza tu. Sasa kwa mamlaka hayo amechukuliwa hatua za kinidhamu.

All in all kumbuka AMESIMAMISHWA, HAJAFUKUZWA na kwa kuwa hajaua mtu wala kutenda dhambi zisizosameheka anaweza kabisa akajirudi akaheshimu katiba, kanuni, maadili na itifaki akarudishwa na kuchapa kazi vizuri tu. Sasa badala ya kuanza kuwashambulia CHADEMA toa hoja ya kumtaka Chacha ajirekebishe arejee kwenye uwajibikaji wa pamoja. Ndio maana ya Chama cha siasa, nani alikwambia chama cha siasa ni shamba la wanyama? Kama unapenda utamaduni wa shamba la bibi basi nenda kasimamie ugombea binafsi. Lakini chama cha siasa ni jumuiko la watu wenye malengo yanayoendana! Sasa kama wengi wanataka X halafu wewe unasema Y halafu wenzako wamekushinda kwa hoja unataka kutumia nguvu si afadhali upeleke nguvu zako kwenda kupigana na ukuta tu! Maamuzi ya chama cha siasa yanafanywa kwenye vikao sio kwa kelele za magazeti baada ya maamuzi kufanyika

Asha
 
hii nimecopy humu jf...

"CHADEMA ndicho chama pekee nchini kilichokuwa kinaonekana kutokuwa na migogoro, lakini hili la ruzuku na mengine yanaelekea kukigawa katika makundi mawili ya CHADEMA – MBOWE na CHADEMA – WANGWE.

Hali hii imejitokeza baada ya kutokea malalamiko ya wanachama wa CHADEMA kususu masuala kadhaa ya msingi. Masuala hayo yameibua mgawanyo uliozaa makundi hayo mawili na baadaye Mwenyekiti wa chama hicho FREEMAN MBOWE akatangaza kumsimamisha Makamu Mwenyekiti (CHACHA WANGWE).

Kimsingi,CHACHA WANGWE anamtuhumu MBOWE katika masuala yafuatavyo:-
Mosi, Kuna matumizi mabaya ya ruzuku (ufisadi wa ruzuku) ndani ya CHADEMA Makao Makuu. Hivyo, CHACHA WANGWE anamtaka Mwenyekiti FREEMON MBOWE atoe maelezo ya matumizi ya Ruzuku, ambayo ni fedha ya walipa kodi inayotolewa na serikali kwa vyama vyenye wabunge. Aidha WANGWE anamtaka MBOWE aonyeshe mapato na matumizi ya Ruzuku hiyo katika vikao vya chama au aunde kamati ya kuchunguza tuhuma hizo. Pia, WANGWE ana mashaka na hesabu zinazoonyesha mgawanyo wa matumizi ya ruzuku yanayopelekwa kwa msajili wa vyama vya siasa kutoka chama cha CHADEMA.
Pili, CHACHA WANGWE hakubaliani na kitendo cha Mwenyekiti na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kuzuia ruzuku isifike mikoani. Anasema hali hii ina maana matawi ya chama yasifunguliwe na chama kisiwe na ofisi hali ambayo inadhoofisha chama. Vivyo hivyo, WANGWE hakubaliani na kitendo cha MBOWE kufuja fedha za chama kwa ziara za helkopta huku akiwaacha wagombea ubunge na udiwani wa chama chake hawana msaada wowote wa kifedha kutoka katika chama. Katika mazingira haya WANGWE anauliza nani anakihujumu chama kati ya MBOWE na WANGWE? Nani anadhoofisha CHADEMA?
Tatu, CHACHA WANGWE ana hoja kwamba MBOWE, anawajibika kuwaeleza watanzania, ni kwa vipi wabunge watano kati ya sita wa kuteuliwa (viti maalum) wote watoke mkoa wa Kilimanjaro ( MBOWE ni Mchaga wa Kilimanjaro). Ikumbukwe kwamba Tanzania bara ina mikoa 21 na Zanzibar mikoa 5. Kwa kawaida, idadi ya viti maalum inategemea idadi ya wabunge ambao chama kinapata katika uchaguzi mkuu, ambapo asilimia 90 ya viti vya ubunge zilizoleta viti maalum vya CHADEMA zilitoka kanda ya Ziwa. Hivyo, MBOWE kasahau kanda zilizosaidia CHADEMA ikipata viti maalum na kuvipeleka KILIMANJARO.
Nne, CHACHA WANGWE anamtaka MBOWE, aeleleze inakuwaje kati ya wakurugenzi nane wa Idara mbalimbali za CHADEMA wanne ni Wachaga wa Kilimanjaro?
Tano, WANGWE anamtaka MBOWE, aeleze umma wa watanzania inakuwaje Madereva wote wa Makao Makuu ya CHADEMA ni Wachaga kutoka Kilimanjaro?
Sita, WANGWE anataka MBOWE, ajibu tuhuma kwamba yeye mwenyewe, DR WILBROAD SLAA na PHILIMON NDESAMBULO wanajilipa fedha kwa ajili ya kurudisha gharama walizotumia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. WANGWE anauliza mbona wanachama wengine hawarudishiwi gharama hizo akiwemo yeye WANGWE? Je, huu siyo ufisadi? Je huku ni kutenda haki?
Saba, WANGWE anataka kujua ni kwa nini miaka minne iliyopita MBOWE alivunja tawi la CHADEMA mkoa wa DAR ES SALAAM na kubaki na CHADEMA Makao Makuu. Hatua hii imekifanya chama hicho kukosa viongozi na wawakilishi wa chama mkoa wa Dar ES salaam.
Nane, WANGWE anataka kujua kwa nini Wakurugenzi wote wa CHADEMA wameteuliwa na MBOWE badala ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya chama kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA. Aidha, Kwa Mujibu wa katiba ya CHADEMA kifungu 7.7.3 (vii), Katibu mkuu anatakiwa kuwajibika kwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekti. Hata hivyo, DR SLAA ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA hakuwa akitoa ushirikiano kwa WANGWE hadi kufikia kumnyima ofisi alipoteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA.
Tisa, Katika moja ya hatua za kumfukuza WANGWE katika Uongozi, Katibu Mkuu aliitisha kikao cha Kamati ya wazee wanne wa CHADEMA lakini kati yao wawili wakiwa wa kabila la Mwenyekiti . Wazee hao wa Kichaga ni EDWIN MTEI ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Wazee wa CHADEMA na PHILIMON NDESAMBULO. Hapo kulikuwa na mgongano wa kimaslahi (conflict of interest). Ikumbukwe kwamba, Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Bw. EDWIN MTEI ni baba mzazi wa mke wa FREEMON MBOWE kwa maana kwamba MTEI ni mkwe wa MBOWE. Mke wa MBOWE anaitwa DR LILIAN EDWIN MTEI ( Hivi sasa anajulikana kwa jina la DR LILIAN FREEMON MBOWE) ni binti wa EDWIN MTEI.
Kumi, CHACHA WANGWE analalamika kwamba suala la kumfukuza liliibuka ghafla katika kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA wakati halikuwemo katika agenda. Inadaiwa kwamba MBOWE ndiye aliibua agenda hiyo. Kwa mujibu wa kanuni za CHADEMA, kama suala hilo lilitakiwa kuwa agenda ilitakiwa lijulishwe kwa wajumbe siku 21 kabla ya kikao ili wapate mawazo ya wanachama. Hata hivyo, liliibuka katika kikao bila mtuhumiwa CHACHA WANGWE kujiandaa. Aidha, katika kuhakikisha kuwa WANGWE anavuliwa madaraka yake kwenye kikao, baadhi ya viongozi waliotakiwa kuhudhuria kikao hicho kwa mujibu wa katibu hawakupata mwaliko kwa sababu ilihofiwa kuwa wangekuwa upande wa WANGWE.
Kwa ufupi WANGWE anadai kwamba kuna ufisadi Makao Makuu ya CHADEMA. Kwamba MBOWE hajatoa maelezo kuhusiana na tuhuma hizo na badala yake anamtuhumu WANGWE kwamba anakigawa chama na kuamua kumsimamisha uongozi.

Hivyo, MBOWE akamjengea zengwe kwamba, WANGWE anavujisha siri za chama lakini katika kikao cha Kamati Kuu hawakuweza kueleza siri ambazo WANGWE anadaiwa kuvujisha.


Kwa upande mwingine, DR SLAA na KABWE ZITTO wamekuwa watu muhimu kwetu watanzania katika kutoa hoja zinazohusiana na ufisadi bungeni lakini inashangaza wameshindwa kudhibiti ufisadi wa MBOWE ndani ya CHADEMA na badala yake wamemwachia WANGWE pekee. Hakika watu hawa walitusaidia sana katika kuunda tume za kuchunguza Richmond na EPA inakuwaje kwa muda mrefu tangu Desemba 16, 2007 wanakalia ripoti ya Kamati ya Mziray iliyoundwa kuchunguza mambo yanayoweza kusababisha migogoro ndani ya CHADEMA?"


kuna kila dalili ya moto kuwaka ndani ya chadema...kama hazitafanyika juhudi za makusudi za kuumaliza mgogoro huu yatakuwa yaleyale ya akina NCCR-Mageuzi na TLP.Cha msingi hapa wanachama wa chadema mliomo humu JF muwashauri viongozi wenu watafute suluhu ya mgogoro huu na dhambi mbaya hapa ni ukabila kuliko hata ufisadi...kama mtaendelea kupigana jihadi ya kutetea hali hali hii kana kwamba hakuna mgogoro ndani ya chadema basi mnakiua hichi chama kilichoanza kujipatia umaarufu nchini hasa tanzania bara.tunajua kule visiwani CUF wapo imara kwa upande wao kule.
 
hii nimecopy humu jf...

"CHADEMA ndicho chama pekee nchini kilichokuwa kinaonekana kutokuwa na migogoro, lakini hili la ruzuku na mengine yanaelekea kukigawa katika makundi mawili ya CHADEMA – MBOWE na CHADEMA – WANGWE.

Hali hii imejitokeza baada ya kutokea malalamiko ya wanachama wa CHADEMA kususu masuala kadhaa ya msingi. Masuala hayo yameibua mgawanyo uliozaa makundi hayo mawili na baadaye Mwenyekiti wa chama hicho FREEMAN MBOWE akatangaza kumsimamisha Makamu Mwenyekiti (CHACHA WANGWE).

Kimsingi,CHACHA WANGWE anamtuhumu MBOWE katika masuala yafuatavyo:-
Mosi, Kuna matumizi mabaya ya ruzuku (ufisadi wa ruzuku) ndani ya CHADEMA Makao Makuu. Hivyo, CHACHA WANGWE anamtaka Mwenyekiti FREEMON MBOWE atoe maelezo ya matumizi ya Ruzuku, ambayo ni fedha ya walipa kodi inayotolewa na serikali kwa vyama vyenye wabunge. Aidha WANGWE anamtaka MBOWE aonyeshe mapato na matumizi ya Ruzuku hiyo katika vikao vya chama au aunde kamati ya kuchunguza tuhuma hizo. Pia, WANGWE ana mashaka na hesabu zinazoonyesha mgawanyo wa matumizi ya ruzuku yanayopelekwa kwa msajili wa vyama vya siasa kutoka chama cha CHADEMA.
Pili, CHACHA WANGWE hakubaliani na kitendo cha Mwenyekiti na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kuzuia ruzuku isifike mikoani. Anasema hali hii ina maana matawi ya chama yasifunguliwe na chama kisiwe na ofisi hali ambayo inadhoofisha chama. Vivyo hivyo, WANGWE hakubaliani na kitendo cha MBOWE kufuja fedha za chama kwa ziara za helkopta huku akiwaacha wagombea ubunge na udiwani wa chama chake hawana msaada wowote wa kifedha kutoka katika chama. Katika mazingira haya WANGWE anauliza nani anakihujumu chama kati ya MBOWE na WANGWE? Nani anadhoofisha CHADEMA?
Tatu, CHACHA WANGWE ana hoja kwamba MBOWE, anawajibika kuwaeleza watanzania, ni kwa vipi wabunge watano kati ya sita wa kuteuliwa (viti maalum) wote watoke mkoa wa Kilimanjaro ( MBOWE ni Mchaga wa Kilimanjaro). Ikumbukwe kwamba Tanzania bara ina mikoa 21 na Zanzibar mikoa 5. Kwa kawaida, idadi ya viti maalum inategemea idadi ya wabunge ambao chama kinapata katika uchaguzi mkuu, ambapo asilimia 90 ya viti vya ubunge zilizoleta viti maalum vya CHADEMA zilitoka kanda ya Ziwa. Hivyo, MBOWE kasahau kanda zilizosaidia CHADEMA ikipata viti maalum na kuvipeleka KILIMANJARO.
Nne, CHACHA WANGWE anamtaka MBOWE, aeleleze inakuwaje kati ya wakurugenzi nane wa Idara mbalimbali za CHADEMA wanne ni Wachaga wa Kilimanjaro?
Tano, WANGWE anamtaka MBOWE, aeleze umma wa watanzania inakuwaje Madereva wote wa Makao Makuu ya CHADEMA ni Wachaga kutoka Kilimanjaro?
Sita, WANGWE anataka MBOWE, ajibu tuhuma kwamba yeye mwenyewe, DR WILBROAD SLAA na PHILIMON NDESAMBULO wanajilipa fedha kwa ajili ya kurudisha gharama walizotumia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. WANGWE anauliza mbona wanachama wengine hawarudishiwi gharama hizo akiwemo yeye WANGWE? Je, huu siyo ufisadi? Je huku ni kutenda haki?
Saba, WANGWE anataka kujua ni kwa nini miaka minne iliyopita MBOWE alivunja tawi la CHADEMA mkoa wa DAR ES SALAAM na kubaki na CHADEMA Makao Makuu. Hatua hii imekifanya chama hicho kukosa viongozi na wawakilishi wa chama mkoa wa Dar ES salaam.
Nane, WANGWE anataka kujua kwa nini Wakurugenzi wote wa CHADEMA wameteuliwa na MBOWE badala ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya chama kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA. Aidha, Kwa Mujibu wa katiba ya CHADEMA kifungu 7.7.3 (vii), Katibu mkuu anatakiwa kuwajibika kwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekti. Hata hivyo, DR SLAA ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA hakuwa akitoa ushirikiano kwa WANGWE hadi kufikia kumnyima ofisi alipoteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA.
Tisa, Katika moja ya hatua za kumfukuza WANGWE katika Uongozi, Katibu Mkuu aliitisha kikao cha Kamati ya wazee wanne wa CHADEMA lakini kati yao wawili wakiwa wa kabila la Mwenyekiti . Wazee hao wa Kichaga ni EDWIN MTEI ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Wazee wa CHADEMA na PHILIMON NDESAMBULO. Hapo kulikuwa na mgongano wa kimaslahi (conflict of interest). Ikumbukwe kwamba, Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Bw. EDWIN MTEI ni baba mzazi wa mke wa FREEMON MBOWE kwa maana kwamba MTEI ni mkwe wa MBOWE. Mke wa MBOWE anaitwa DR LILIAN EDWIN MTEI ( Hivi sasa anajulikana kwa jina la DR LILIAN FREEMON MBOWE) ni binti wa EDWIN MTEI.
Kumi, CHACHA WANGWE analalamika kwamba suala la kumfukuza liliibuka ghafla katika kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA wakati halikuwemo katika agenda. Inadaiwa kwamba MBOWE ndiye aliibua agenda hiyo. Kwa mujibu wa kanuni za CHADEMA, kama suala hilo lilitakiwa kuwa agenda ilitakiwa lijulishwe kwa wajumbe siku 21 kabla ya kikao ili wapate mawazo ya wanachama. Hata hivyo, liliibuka katika kikao bila mtuhumiwa CHACHA WANGWE kujiandaa. Aidha, katika kuhakikisha kuwa WANGWE anavuliwa madaraka yake kwenye kikao, baadhi ya viongozi waliotakiwa kuhudhuria kikao hicho kwa mujibu wa katibu hawakupata mwaliko kwa sababu ilihofiwa kuwa wangekuwa upande wa WANGWE.
Kwa ufupi WANGWE anadai kwamba kuna ufisadi Makao Makuu ya CHADEMA. Kwamba MBOWE hajatoa maelezo kuhusiana na tuhuma hizo na badala yake anamtuhumu WANGWE kwamba anakigawa chama na kuamua kumsimamisha uongozi.

Hivyo, MBOWE akamjengea zengwe kwamba, WANGWE anavujisha siri za chama lakini katika kikao cha Kamati Kuu hawakuweza kueleza siri ambazo WANGWE anadaiwa kuvujisha.


Kwa upande mwingine, DR SLAA na KABWE ZITTO wamekuwa watu muhimu kwetu watanzania katika kutoa hoja zinazohusiana na ufisadi bungeni lakini inashangaza wameshindwa kudhibiti ufisadi wa MBOWE ndani ya CHADEMA na badala yake wamemwachia WANGWE pekee. Hakika watu hawa walitusaidia sana katika kuunda tume za kuchunguza Richmond na EPA inakuwaje kwa muda mrefu tangu Desemba 16, 2007 wanakalia ripoti ya Kamati ya Mziray iliyoundwa kuchunguza mambo yanayoweza kusababisha migogoro ndani ya CHADEMA?"


kuna kila dalili ya moto kuwaka ndani ya chadema...kama hazitafanyika juhudi za makusudi za kuumaliza mgogoro huu yatakuwa yaleyale ya akina NCCR-Mageuzi na TLP.Cha msingi hapa wanachama wa chadema mliomo humu JF muwashauri viongozi wenu watafute suluhu ya mgogoro huu na dhambi mbaya hapa ni ukabila kuliko hata ufisadi...kama mtaendelea kupigana jihadi ya kutetea hali hali hii kana kwamba hakuna mgogoro ndani ya chadema basi mnakiua hichi chama kilichoanza kujipatia umaarufu nchini hasa tanzania bara.tunajua kule visiwani CUF wapo imara kwa upande wao kule.


Hehe heheee
Kimbe na wewe uko kwenye kazi maalum ya kucopy ujumbe ule ule na kuusambaza kila mahali!

Mbona mwanakijiji aliyashayajibu yote haya.

Namimi nikachangia hapa nikazijibu hoja kwa hoja:https://www.jamiiforums.com/showthread.php?p=245335#post245335

Kazi kwenu waandishi wa makala, uchambueni huu ukweli magazetini manake huo waraka wa ballile wameanza kuuchapa Mtanzania kwa jina la Mzee halimoja na Majira kwa majina mengine


Asha
 
Lakini ukisikiliza mahojiana ya MMKJJ na Wangwe, Wangwe alitamka wazi kwamba hata yeye hapo awali alikuwa hana mawazo kwamba Chadema kuna Ukabila, lakini biaade baada ya kukaa ndo akajionea mwenyewe situation ilivyo
 
RUZUKU, UKABILA WAIGAWA CHADEMA

CHADEMA ndicho chama pekee nchini kilichokuwa kinaonekana kutokuwa na migogoro, lakini hili la ruzuku na mengine yanaelekea kukigawa katika makundi mawili ya CHADEMA – MBOWE na CHADEMA – WANGWE.

Hali hii imejitokeza baada ya kutokea malalamiko ya wanachama wa CHADEMA kususu masuala kadhaa ya msingi. Masuala hayo yameibua mgawanyo uliozaa makundi hayo mawili na baadaye Mwenyekiti wa chama hicho FREEMAN MBOWE akatangaza kumsimamisha Makamu Mwenyekiti (CHACHA WANGWE).

Kwa tafakuri pana kila Mtanzania alitarajia kwamba kabla ya kumsimamisha Makamu Mwenyekiti, CHACHA WANGWE, Mwenyekiti wa chama hicho alitakiwa kujibu tuhuma moja baada ya ingine ili kujisafisha yeye mwenyewe pamoja na viongozi wengine wa juu wa CHADEMA.

Kimsingi,CHACHA WANGWE anamtuhumu MBOWE katika masuala yafuatavyo:-


Mosi, Kuna matumizi mabaya ya ruzuku (ufisadi wa ruzuku) ndani ya CHADEMA Makao Makuu. Hivyo, CHACHA WANGWE anamtaka Mwenyekiti FREEMON MBOWE atoe maelezo ya matumizi ya Ruzuku, ambayo ni fedha ya walipa kodi inayotolewa na serikali kwa vyama vyenye wabunge. Aidha WANGWE anamtaka MBOWE aonyeshe mapato na matumizi ya Ruzuku hiyo katika vikao vya chama au aunde kamati ya kuchunguza tuhuma hizo. Pia, WANGWE ana mashaka na hesabu zinazoonyesha mgawanyo wa matumizi ya ruzuku yanayopelekwa kwa msajili wa vyama vya siasa kutoka chama cha CHADEMA.

Pili, CHACHA WANGWE hakubaliani na kitendo cha Mwenyekiti na Katibu Mkuu (DR WILBROAD SLAA) kuzuia ruzuku isifike mikoani. Anasema hali hii ina maana matawi ya chama yasifunguliwe na chama kisiwe na ofisi hali ambayo inadhoofisha chama. Vivyo hivyo, WANGWE hakubaliani na kitendo cha MBOWE kufuja fedha za chama kwa ziara za helkopta huku akiwaacha wagombea ubunge na udiwani wa chama chake hawana msaada wowote wa kifedha kutoka katika chama. Katika mazingira haya WANGWE anauliza nani anakihujumu chama kati ya MBOWE na WANGWE? Nani anadhoofisha CHADEMA?


Tatu, CHACHA WANGWE ana hoja kwamba MBOWE, anawajibika kuwaeleza watanzania, ni kwa vipi wabunge watano kati ya sita wa kuteuliwa (viti maalum) wote watoke mkoa wa Kilimanjaro ( MBOWE ni Mchaga wa Kilimanjaro). Ikumbukwe kwamba Tanzania bara ina mikoa 21 na Zanzibar mikoa 5. Kwa kawaida, idadi ya viti maalum inategemea idadi ya wabunge ambao chama kinapata katika uchaguzi mkuu, ambapo asilimia 90 ya viti vya ubunge zilizoleta viti maalum vya CHADEMA zilitoka kanda ya Ziwa. Hivyo, MBOWE kasahau kanda zilizosaidia CHADEMA ikipata viti maalum na kuvipeleka KILIMANJARO.

Nne, CHACHA WANGWE anamtaka MBOWE, aeleleze inakuwaje kati ya wakurugenzi nane wa Idara mbalimbali za CHADEMA wanne ni Wachaga wa Kilimanjaro?

Tano, WANGWE anamtaka MBOWE, aeleze umma wa watanzania inakuwaje Madereva wote wa Makao Makuu ya CHADEMA ni Wachaga kutoka Kilimanjaro?

Sita, WANGWE anataka MBOWE, ajibu tuhuma kwamba yeye mwenyewe, DR WILBROAD SLAA na PHILIMON NDESAMBULO wanajilipa fedha kwa ajili ya kurudisha gharama walizotumia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. WANGWE anauliza mbona wanachama wengine hawarudishiwi gharama hizo akiwemo yeye WANGWE? Je, huu siyo ufisadi? Je huku ni kutenda haki?

Saba, WANGWE anataka kujua ni kwa nini miaka minne iliyopita MBOWE alivunja tawi la CHADEMA mkoa wa DAR ES SALAAM na kubaki na CHADEMA Makao Makuu. Hatua hii imekifanya chama hicho kukosa viongozi na wawakilishi wa chama mkoa wa Dar ES salaam.

Nane, WANGWE anataka kujua kwa nini Wakurugenzi wote wa CHADEMA wameteuliwa na MBOWE badala ya kuteuliwa na Kamati Kuu ya chama kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA. Aidha, Kwa Mujibu wa katiba ya CHADEMA kifungu 7.7.3 (vii), Katibu mkuu anatakiwa kuwajibika kwa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekti. Hata hivyo, DR SLAA ambaye ni Katibu Mkuu wa CHADEMA hakuwa akitoa ushirikiano kwa WANGWE hadi kufikia kumnyima ofisi alipoteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA.


Tisa, Katika moja ya hatua za kumfukuza WANGWE katika Uongozi, Katibu Mkuu aliitisha kikao cha Kamati ya wazee wanne wa CHADEMA lakini kati yao wawili wakiwa wa kabila la Mwenyekiti . Wazee hao wa Kichaga ni EDWIN MTEI ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya Wazee wa CHADEMA na PHILIMON NDESAMBULO. Hapo kulikuwa na mgongano wa kimaslahi (conflict of interest). Ikumbukwe kwamba, Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Bw. EDWIN MTEI ni baba mzazi wa mke wa FREEMON MBOWE kwa maana kwamba MTEI ni mkwe wa MBOWE. Mke wa MBOWE anaitwa DR LILIAN EDWIN MTEI ( Hivi sasa anajulikana kwa jina la DR LILIAN FREEMON MBOWE) ni binti wa EDWIN MTEI.


Kumi, CHACHA WANGWE analalamika kwamba suala la kumfukuza liliibuka ghafla katika kikao cha Kamati Kuu ya CHADEMA wakati halikuwemo katika agenda. Inadaiwa kwamba MBOWE ndiye aliibua agenda hiyo. Kwa mujibu wa kanuni za CHADEMA, kama suala hilo lilitakiwa kuwa agenda ilitakiwa lijulishwe kwa wajumbe siku 21 kabla ya kikao ili wapate mawazo ya wanachama. Hata hivyo, liliibuka katika kikao bila mtuhumiwa CHACHA WANGWE kujiandaa. Aidha, katika kuhakikisha kuwa WANGWE anavuliwa madaraka yake kwenye kikao, baadhi ya viongozi waliotakiwa kuhudhuria kikao hicho kwa mujibu wa katibu hawakupata mwaliko kwa sababu ilihofiwa kuwa wangekuwa upande wa WANGWE.

Kwa ufupi WANGWE anadai kwamba kuna ufisadi Makao Makuu ya CHADEMA. Kwamba MBOWE hajatoa maelezo kuhusiana na tuhuma hizo na badala yake anamtuhumu WANGWE kwamba anakigawa chama na kuamua kumsimamisha uongozi.

Katika uchaguzi wa Makamu Mwenyekiti uliopita, CHACHA WANGWE hakuwa chaguo la Mwenyekiti MBOWE, lakini aliweza kushinda. Kutokana na kitendo cha CHACHA WANGWE kutangaza kwa mara ingine kugombea Uenyekiti wa CHADEMA katika uchaguzi wa Disemba 2008 amezidi kujenga maadui kutoka Makao Makuu ya chama hicho. Hofu ya MBOWE inatokana na ukweli kwamba, hivi sasa WANGWE anaungwa mkono na matawi mengi ya CHADEMA nchini kutokana na msiamamo wake wa kutenda haki na kusimamia ukweli daima.


Hivyo, MBOWE akamjengea zengwe kwamba, WANGWE anavujisha siri za chama lakini katika kikao cha Kamati Kuu hawakuweza kueleza siri ambazo WANGWE anadaiwa kuvujisha. Kwa sababu hiyo, WANGWE anadai kwamba hakuelezwa siri alizovujisha hatua ambayo inakidhi matakwa ya kisheria kwamba MBOWE amemhukumu WANGWE bila hatia. Hatua hii ina lengo la kukwaza ustawi wa demokrasia na utawala bora katika vyama vya siasa.

Katika hili la kuvujisha siri WANGWE anajitetea kwamba kama kuzungumza na wana CCM ni kosa basi mtu aliyetakiwa kuwajibika ni DR SLAA ambaye mke wake ni diwani wa kuchaguliwa wa CCM wakati mkewe CHACHA WANGWE ni mwanachama mwaminifu wa CHADEMA. Kitendo cha DR SLAA kuwa na mke mkereketwa wa CCM yamkini Nyaraka za siri za CHADEMA zinaweza kuangukia kirahisi kwa mkewe na hatimae CCM na pia wageni wa CHADEMA wanaofika nyumbani kwa DR SLAA ambako kuna tawi la CCM kwa maana ya mkewe DR SLAA ambaye anawajibika kuwakirimu wageni na hivyo kusikia mazungumzo yao. WANGWE anataka kujua ni nani kati yake na DR SLAA anaeweza kuvujisha siri za CHADEMA?

Aidha, imeonekana kwamba, kutokana na nafasi yake ya Ubunge WANGWE na wabunge wengine wa upinzani wanaweza kujipatia marafiki kutoka chama tawala CCM kama ambavyo Wabunge wa CCM wanaweza kuwa na marafiki kutoka vyama vya upinzani. Urafiki huu unaweza kuwa wa binafsi/kawaida kuliko mambo ya siasa kwa sababu ya uzalendo, hivyo tofauti ya itikadi siyo uadui bali ni suala la kusimamia ukweli kama ambavyo ZITTO KABWE alivyojumuika na wabunge wa CCM katika kamati ya madini ya Bomani.

Pia WANGWE anadai, kwamba kama kuzungumza na wana CCM ni kosa mbona MBOWE amewahi kuonekana akiwa katika mazungumzo na Rais JAKAYA KIKWETE hata kufikia kumkumbatia mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2005. Halikadhalika MBOWE ameonekana katika mazungumzo na viongozi wengine wa CCM, vivyo hivyo wana CHADEMA wengine?

Kwa ujumla kashfa hizi zinakuja wakati bado baadhi ya Watanzania wanahoji uadilifu wa FREEMAN MBOWE. Kashfa ya kukopa na kushindwa kulipa deni la NSSF kwa muda stahiki ilitia mashaka ya uadilifu wa MBOWE kwa taifa lake. Hakika bila kujibu hoja nzito za WANGWE, Mwenyekiti MBOWE asitarajie kupata kura za Watanzania wenye fikra mbadala katika uchaguzi ujao ndani ya chama chake na asijisumbue kugombea Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.


Natoa mwito kwa MBOWE kuitisha mkutano wa waandishi wa Habari kujibu tuhuma moja baada ya nyingine. Vinginevyo MBOWE atakuwa ameingia katika kundi la Wenyeviti wa vyama vya siasa wanaoua demokrasia nchini.

Kwa upande mwingine, DR SLAA na KABWE ZITTO wamekuwa watu muhimu kwetu watanzania katika kutoa hoja zinazohusiana na ufisadi bungeni lakini inashangaza wameshindwa kudhibiti ufisadi wa MBOWE ndani ya CHADEMA na badala yake wamemwachia WANGWE pekee. Hakika watu hawa walitusaidia sana katika kuunda tume za kuchunguza Richmond na EPA inakuwaje kwa muda mrefu tangu Desemba 16, 2007 wanakalia ripoti ya Kamati ya Mziray iliyoundwa kuchunguza mambo yanayoweza kusababisha migogoro ndani ya CHADEMA? Kamati hiyo ilibaini ubaguzi wa kikabila na kidini katika CHADEMA lakini haikuwekwa wazi kwa Watanzania na wala haijafanyiwa kazi. Je tuwaelewe vipi viongozi hao wa CHADEMA? Ufisadi ni ule unaofanywa na viongozi wa serikali ya CCM tu? Je sio kweli kwamba Hisani siku zote inapasa kuanzia nyumbani???



The only big problem here is Tribalism within CHADEMA!

MBOWE, reorganize your 'tribal party' before 2010 or you politically perish for good!

Those who are fit for the tanzanians will find their ways out of CHADEMA!

Thanks.
 
Wacha Kuspin Ukweli Hajawahi Kusema Hivyo Na Hajawahi Kukana Maneno Yake Ila Chaga Group Imemuassessinate
Aaaah sasa wewe unabishana na redio, kama aliyeandika ni mwongo hiyo ni hoja nyingine lakini sote tulisoma magazeti yaliyomnukuu Wangwe akisema maneno hayo, na hakupata kuyapinga hadi juzi walipomsimamisha. Historia yake pia siyo nzuri hata alipokuwa NCCR.
Kwa hiyo basi tuijadili CHADEMA na matatizo yake na Wangwe na matatizo yake kiupekee.
Vyama vyote vya nchi hii vina aina fulani za makundi, au ya kujuana, familia, dini na eneo. Na hii ni kitu amabayo haizuiliki kwani waweza kujikuna pale mkono unapofika. Sheria moja ya kusajili vyama inakutaka upeleke chama chako pande zote za muungano lakini angalia zaidi ya CCM, Zanzibar ni CUF, mbaya ni kwamba hawa wa visiwani ni waislamu je CUF ni chama cha udini?
 
Last edited:
Kuna kitu kisichokuwepo kinacholazimishwa kuwa kipo, nacho ni ukabila wa CHADEMA. Ukabila manake ni ubaguzi, maamuzi kufanyika au kutofanyika kwa misingi ya kabila. Unaweza kutueleza ukabila wa CHADEMA? Au na wewe unaingia mkenge wa propaganda za Chama Cha Mafisadi?

Halafu kuna ambalo lipo linalolazimishwa kuwa halipo- ni kama Rostam wa Chama Cha Mafisadi anavyokwenda KKKT na kulazimisha kusema kwamba yeye HANA UFISADI!

Tofauti ni kwamba la kweli litakuwa la kweli na la uwongo, litakuwa laungo. Tuendelee kusubiri tu!

Asha



Asha A,

Haijatokea hata siku moja mwizi au jambazi akakili kiuraini kwamba yeye ni mwizi. Hata yule raisi msitaafu mmoja wa tz alipohojiwa na chombo kimoja cha habari huko ughaibuni, "kwamba kwanini serikali yake imeua watu wake yenyewe", yeye alikana katu haijaua! Ajabu!

Hata wewe sikushangai unaposema kwamba hakuna ukabila chadema. Sikushangai sana kwani hii ni kawaida ya watu waliolewa na pepo la ukabila kiasi cha kuziba na kufumba macho yao juu ya huu uovu.

Kumbuka, macho ya watanzania yanaona kila uovu wa chama chochote kile hapa tz. Subili ukabila uiuwe chadema ili hatimaye majuto awe mjukuu!
 
Asha A,

Haijatokea hata siku moja mwizi au jambazi akakili kiuraini kwamba yeye ni mwizi. Hata yule raisi msitaafu mmoja wa tz alipohojiwa na chombo kimoja cha habari huko ughaibuni, "kwamba kwanini serikali yake imeua watu wake yenyewe", yeye alikana katu haijaua! Ajabu!

Hata wewe sikushangai unaposema kwamba hakuna ukabila chadema. Sikushangai sana kwani hii ni kawaida ya watu waliolewa na pepo la ukabila kiasi cha kuziba na kufumba macho yao juu ya huu uovu.

Kumbuka, macho ya watanzania yanaona kila uovu wa chama chochote kile hapa tz. Subili ukabila uiuwe chadema ili hatimaye majuto awe mjukuu!


Siku ya Mbwa kufa pua zote huziba.
 
Lakini ukisikiliza mahojiana ya MMKJJ na Wangwe, Wangwe alitamka wazi kwamba hata yeye hapo awali alikuwa hana mawazo kwamba Chadema kuna Ukabila, lakini biaade baada ya kukaa ndo akajionea mwenyewe situation ilivyo

Kwa hiyo, Disemba 2007 yote wakati akifanya kampeni za kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti aliona kuna ukabila, baada ya kuchaguliwa Disemba hiyo hiyo mpaka Juni 2008 akaona hamna ukabila, baada ya kusimamishwa tu juni 28 akaona kuna ukabila kweli kweli. Ama kweli huyo ni Chacha Wangwe.

Asha
 
Kwa hiyo, Disemba 2007 yote wakati akifanya kampeni za kuchaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti aliona kuna ukabila, baada ya kuchaguliwa Disemba hiyo hiyo mpaka Juni 2008 akaona hamna ukabila, baada ya kusimamishwa tu juni 28 akaona kuna ukabila kweli kweli. Ama kweli huyo ni Chacha Wangwe.

Asha

Na kina Tundu Lissu na viongozi wengine waliokuwa wana m-promote miaka yote hiyo hawakujua Wangwe ana mdomo mchafu, na mchochea ukabila na mtunga uongo?

Amegeuka ghafla au mlijua siku zote si mwema na mkamnadi anyway?

Mlikuwa mna m-pimp kwa Wananchi?
 
Na kina Tundu Lissu na viongozi wengine waliokuwa wana m-promote miaka yote hiyo hawakujua Wangwe ana mdomo mchafu, na mchochea ukabila na mtunga uongo?

Amegeuka ghafla au mlijua siku zote si mwema na mkamnadi anyway?

Mlikuwa mna m-pimp kwa Wananchi?

Tehe tehe tehe, wakati huo alikuwa hajawa Makamu Mwenyekiti na kupata fursa ya kufungua kufungua ovyo kinywa mbele ya wanahabari. Alikuwa diwani tu wa kule Tarime. Kwani we umesahau, the more you go up the more you expose your......just imagine ukipanda juu ya mti halafu mwenzio akiwa chini anakutazama. Weekend njema

Asha
 
Bi. Asha Abdala,
Navyofahamu mimi uchaguzi wa mkutano mkuu wa chama hufanyika December 2007 (kama sikosei), ilikuwaje Wangwe achaguliwe na Kamati kuu kama kaimu badala ya Mkutano mkuu wa chama wakati timing ilikuwa safi kabisa toka Kabourou andoke rasmi kujiunga na CCM?
 
Bi. Asha Abdala,
Navyofahamu mimi uchaguzi wa mkutano mkuu wa chama hufanyika December 2007 (kama sikosei), ilikuwaje Wangwe achaguliwe na Kamati kuu kama kaimu badala ya Mkutano mkuu wa chama wakati timing ilikuwa safi kabisa toka Kabourou andoke rasmi kujiunga na CCM?

Mkutano Mkuu wa kawaida hufanyika kila baada ya miaka mitano. Mkutano Mkuu wa kawaida wa uchaguzi ulifanyika kwa mara ya mwisho mwaka 2004. Kikatiba mkutano huo ulipaswa kufanyika tena mwaka 2009. Hata hivyo, hii ingekuwa karibu sana na uchaguzi mkuu wa 2010 hivyo uongozi mpya hautapata muda wa kutosha kujipanga kuing'oa CCM. Hivyo Mkutano Mkuu Maalum wakati wa Uchaguzi wa 2005 pamoja na kutisha mikakati ya chama ya uchaguzi wa 2005, bajeti na mgombea urais pamoja na mgombea mwenza ulipitisha azimio la kupunguza muda wa uongozi mpaka mwaka 2008 ili kuhuruhusu mkutano mkuu wa kawaida kufanyika mwaka 2008 badala ya 2009 ili uongozi mpya wa chama ujipange vizuri kwa ajili ya uchaguzi wa vijiji na mitaa wa mwaka 2009 na uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Mwaka 2006 ulifanyika pia mkutano mkuu maalum lakini huu ulikuwa ni wa kubadili katiba ya chama na kupokea taarifa ya uchaguzi mkuu wa 2005 tu. Vikao vinavyofanyika kila mwaka ni vya Baraza kuu ambavyo mwaka jana kilifanyika Disemba 2007 ambacho ndio kilimchagua Chacha Wangwe kukaimu, kina mamlaka hayo. Kikao kingine cha Baraza Kuu ambacho ni sawa na NEC kwa upande wa CCM kitafanyika Disemba 11 mwaka 2008. Siku moja kabla ya Mkutano Mkuu wa 12 Disemba mwaka 2008.

Asha
 
Wamemuassessinate Kisiasa Mkuu

Hawamuwezi kabisa ukisikiliza hoja zake nzito alipoongea na mwanakijiji alimaliza kila kitu, mfano alisema Anna KOMU ni jina la kichagga na anazaa watoto wachagga utakataa vipi kuwa Chadema hakuna uchagga? hadi madereva makao makuu ya Chadema ni wachagga.sikiliza mahojiano yake www.klhnews.com kwenye listen show. points tupu kawapa.
Wangwe kiboko yao.
 
Hawamuwezi kabisa ukisikiliza hoja zake nzito alipoongea na mwanakijiji alimaliza kila kitu, mfano alisema Anna KOMU ni jina la kichagga na anazaa watoto wachagga utakataa vipi kuwa Chadema hakuna uchagga? hadi madereva makao makuu ya Chadema ni wachagga.sikiliza mahojiano yake www.klhnews.com kwenye listen show. points tupu kawapa.
Wangwe kiboko yao.

Mgagagigikoko Wangwe si Kiboko wa Chadema....Maneno yake mengi ni ya Uchochezi,Angalia vizuri Muundo wa Chama,si kweli kwamba watumishi wa chama walio wengi ni Wachaga.....nafikiri kauli hiyo imekuja kwa sababu waanzilishi wengi wa Chama wametoka Kilimanjaro....Suala hilo la Madereva sio ukweli na ni uzushi Mkubwa....

Na huo Mfano wa Mheshimiwa Wangwe kuhusu Mama Komu hauna nguvu,kwani si lazima watoto wa Mama komu kuwa Wachaga,itakuwaje kama Mama Komu akizaa na Mndengereko?
 
Mgagagigikoko Wangwe si Kiboko wa Chadema....Maneno yake mengi ni ya Uchochezi,Angalia vizuri Muundo wa Chama,si kweli kwamba watumishi wa chama walio wengi ni Wachaga.....nafikiri kauli hiyo imekuja kwa sababu waanzilishi wengi wa Chama wametoka Kilimanjaro....Suala hilo la Madereva sio ukweli na ni uzushi Mkubwa....

Na huo Mfano wa Mheshimiwa Wangwe kuhusu Mama Komu hauna nguvu,kwani si lazima watoto wa Mama komu kuwa Wachaga,itakuwaje kama Mama Komu akizaa na Mndengereko?

MAMA KOMU kazaa na mchagga si mndengereko.watoto wanaongea kichagga na mama kabadili jina lake hakuna mzanzibar anaitwa ANNA. sawa na ksema kuwa Rostam ni muiran wakati anaongea hadi kinyamwezi, mama Komu kaenda mbali ya RA kwa kubadili jina,jee wanapotajwa wabunge wa Tabora inasemwa kuwa Rostam si waTabora ni mtu wa Iran?
 
Mwawado, chuki dhidi ya wachagga ni sumu kali sana inayomfanya mtu asiweze kuona ukweli hata kama unamkodolea macho.
 
Back
Top Bottom