Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Mbona hauulizi ilikuwaje mkamsimamisha?
Kwa sababu umeshatuambia kwamba the reason mlisimamisha ni kwa sababu alitaka kuwapiga, na aliwatukana.
Umetuambia kwamba mlipoenda kwenye mkutano haikuwa kwenye agenda kumtimua Wangwe, mpaka alipoanza ku act up ndani ya mkutano. Vinginevyo angekuwepo leo hii huyo loose cannon madarakani. Na mngemnadi tena Tarime 2010.
Au sio?
Kama sio basi futa maneno yako kwamba agenda siku ile haikuwa kumfukuza!
Mbona haulizi kwanini Zitto Kabwe na wengine hawakuwa wakiumuunga mkono?
Kwa nini unam cherry pick Zitto? Mimi nauliza viongozi wengine wa juu kabisa waliomkumbatia, kina Tundu, na Mbowe kabla ya honey moon kuisha na reality ku sink in. Sasa mambo yameharibika mnashindwa kudili nae.
Zitto anadiriki mpaka kusema chama kilikuwa hatarini. Kwa ajili ya loose cannon mmoja ambae mmemlea wenyewe? Mkamuuza kwa wananchi?
Halafu mnadiriki kusema - Tundu Lissu anadiriki kutuambia - kwamba anaenda mahakamani kumtetea huyu mtu ambae yeye Tundu mwenyewe anasema ni mwongo. Mnakuja tena kum-nadi kwa wananchi, na kumdanganya Jaji kuhusu huyu mtu wenu ambae mnatuambia hana integrity? Nyinyi mnaweza ku run Chama kweli nyinyi au ni wazugaji mnaogombanishwa na viruzuku vya laki mbili hapa laki nne pale?
Kwa hiyo umekubali kwamba the guy is a flip flopper eeeh. Kama hakuona ukabila januari 2008 ameuonaje mara baada ya kusimamishwa?
Na kina Tundu Lissu na Mbowe na viongozi wengine nao basi wanafiki manake walimnadi, mlimpromote kiongo ongo, Wamarekani wanasema mlim pimp huyu Wangwe kwetu! Nyote ndumila kuwili. Nyote ma pimp nyinyi!
Haya honey moon imekwisha, Chacha halisi amewekwa hadharani kama nitatumia maneno yako.
Sio Chacha kawekwa hadharani.
CHACHA-DEMA nzima imewekwa hadharani!
Mnagombea ruzuku, mnasingiziana eti pesa zilienda hazikwenda mikoani, nilikupa hujanipa, kwani hakuna daftari tuone ankra?
Au ma accountant wenu wana doctor madaftari ya hela? Ni mafisadi? Kuna ufisadi ndani ya CHACHA-DEMA?
Au hamna daftari nyinyi watu?
Kama lipo kwanini kuwe na 'he say she say' ya pesa nilikupa hukunipa?
Bado unamuunga mkono?
Siungi wala sipingi mtu. Mimi si shabiki shabiki tu la Chama. Chochote kile.
Nataka ukija na narration of what happened kuhusu aliyetaka kupigwa basi hizo accounts should be substantiated na watu ambao sio hao hao wanaosema walitaka kupigwa!