Omutwale
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,429
- 1,045
Wana JF,
Baada ya kupata taarifa juu ya suala husika Timu ya Uratibu imepitia vituo vyote na kuhakikisha tunakuwa na MAWAKALA WAAMINIFU. Napenda kuwajulisha na kuwaondoa hofu kuwa mpaka saa 5 asbh tulikuwa tumekamilisha uhakiki wa uwepo wa makala ktk vituo vyote vya Jimbo letu. Hbr njema ni kwamba tumeweza kuweka mawakala ktk vituo vyote na ktk baadhi ya vituo tumeweza kuweka mawakala WAAMINIFU zaidi ya wawili. Ni kweli mawakala wetu walichelewa kufika vituoni lkn wote walikuwa na sbb ya msingi. Nayo ni kwamba hawakutaka tupoteze KURA ZAO kama 2005. Ninapoandika tuko njiani kuwapelekea Lunch. Nichukue nafasi hii kuwashukuru wote mliojitokeza na mnaojiandaa kwenda kutimiza haki yenu ya msingi. Kuna jambo moja limenistua sana, KWELI LEO VIJANA LEO WANATOA HUKUMU! Wamejitokeza kwa wingi, kama hawa wa Ubungo; wengi wamesafiri toka mbali pasipo kujali umbali wala muda. Na utaratibu ni mzuri kiasi kwamba dk 35 zinakutosha kufika na kukamilisha zoezi.
Baada ya kupata taarifa juu ya suala husika Timu ya Uratibu imepitia vituo vyote na kuhakikisha tunakuwa na MAWAKALA WAAMINIFU. Napenda kuwajulisha na kuwaondoa hofu kuwa mpaka saa 5 asbh tulikuwa tumekamilisha uhakiki wa uwepo wa makala ktk vituo vyote vya Jimbo letu. Hbr njema ni kwamba tumeweza kuweka mawakala ktk vituo vyote na ktk baadhi ya vituo tumeweza kuweka mawakala WAAMINIFU zaidi ya wawili. Ni kweli mawakala wetu walichelewa kufika vituoni lkn wote walikuwa na sbb ya msingi. Nayo ni kwamba hawakutaka tupoteze KURA ZAO kama 2005. Ninapoandika tuko njiani kuwapelekea Lunch. Nichukue nafasi hii kuwashukuru wote mliojitokeza na mnaojiandaa kwenda kutimiza haki yenu ya msingi. Kuna jambo moja limenistua sana, KWELI LEO VIJANA LEO WANATOA HUKUMU! Wamejitokeza kwa wingi, kama hawa wa Ubungo; wengi wamesafiri toka mbali pasipo kujali umbali wala muda. Na utaratibu ni mzuri kiasi kwamba dk 35 zinakutosha kufika na kukamilisha zoezi.