Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Makampuni ya watu yanayotengeneza madawa na vifaa vya matibabu hayawezi kufungwa kwa sababu yako kwa sababu ni biashara pia. Makampuni hayo hayo ndiyo yanayofadhiri tafiti mbalimbali za magonjwa ili waweze kuuza dawa na vifaa, daktari hawezi kukwambia ukweli ambao hata yeye mwenyewe haujui.
Dawa na baadhi ya vifaa vinatengenezwa ili kukufanya wewe uendelee kuwa teja wa dawa na hivyo kuendelea kununua dawa na vifaa.
Dawa na baadhi ya vifaa vinatengenezwa ili kukufanya wewe uendelee kuwa teja wa dawa na hivyo kuendelea kununua dawa na vifaa.