nafikiri kwanza ungesoma vizuri uislam ni nini alafu ndo ungejua ulianza liniNimeshawishika nikujibu hivi,,,ukristo ulianza b4 uislamu,so uislamu au Quran iliikop biblia baadhi ya verses na kuzibadili nakuzitia ktk Qur'an ndo maana unaona tofauti hapoulianzishwa miaka mia tano baada ya kristo
Sent using Jamii Forums mobile app