Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,560
Hii ni vita Kati ya mashabiki wa timu moja wengine wakiamini kwenye uwezo wa kagere na wengine wakimuamini Mugalu.
Vita ilienda mbali zaidi hasa wakimshutumu kocha kuwa ana kaugomvi na baadhi ya muwakilishi wa mchezaji Fulani kwenye hii vita, all in all vita hii ishaanza kutoa taswira kamili, kocha kaamua isiwe shida ngoja Leo niwaanzishe wote ili kila mtu ajionee mwenyewe,
Ama hakika kila mtu kajionea uwezo alioonesha huyu bwana mdogo kutoka viunzi vya Lubumbashi alivyoowaprove wrong watu kwa mpira mwingi alioupiga.
Nauliza kuna ubishi tena Kati ya hawa wawili.
Vita ilienda mbali zaidi hasa wakimshutumu kocha kuwa ana kaugomvi na baadhi ya muwakilishi wa mchezaji Fulani kwenye hii vita, all in all vita hii ishaanza kutoa taswira kamili, kocha kaamua isiwe shida ngoja Leo niwaanzishe wote ili kila mtu ajionee mwenyewe,
Ama hakika kila mtu kajionea uwezo alioonesha huyu bwana mdogo kutoka viunzi vya Lubumbashi alivyoowaprove wrong watu kwa mpira mwingi alioupiga.
Nauliza kuna ubishi tena Kati ya hawa wawili.