Hakuna tofauti kati ya Iphone 12 na Iphone 13

Kweli wengine wanachukia Apple products kisa wameskia watu wanaiponda tuwe objective katika ku reason. kiukweli Apple enzi za steve jobs walikuwa ahead of time na ndio kitu kinachohitajika kwenye Technology Microsoft alivyoleta window alikuwa mbele ya mda wake, Elon Musk na Tesla zake Kawa mbele ya mda he’s dominating the Market... zaman iPhone used to be that..Leading innovation na uniqueness. Siku hizi Not so much
Apple bado yupo kwenye category yake peke yake.

Ukiacha android hakuna os nyingine zaidi ya ios.

Sasa mnataka wote waende kutumia android? Kuna watu wanapendelea ios na ecosystem yake.
 
Tofauti ya Iphone 12 na iphone 13 ni Soc na mpangilio wa camera. Hizo ndio tofauti kubwa.

Nasubiri kuona 120Hz display ya iphone 13 pro na pro max itaperform vipi hasa kwenye battery.

Kwa maana 60Hz iliwapa sana jeuri wakajiona simu zao zinakaa sana charge.

Hapafu hakuna simu zinaoverheat kama hizi kuanzia iphone 12 series ndio maana kwenye Iphone 13 pro na pro max wameweka cinematic lakini wamelimit resolution kuwa 1080p. Wawe 4k cinematic kama wana jeuri.
Kwenye swala la kuOverheat naweza kukubaliana nalo maana b4 kipindi natumia s10 simu ilikua haiwi ya moto sana hata nikitumia siku nzima lakini baada ya kununua iphone 12 yani ni masaa mawili tu data ikiwa on simu inakua ya moto sio poa mpk nikawa na wasiwasi nimeuziwa bomu. Ila nnampango wa kurudi android soon.
 
Kweli wengine wanachukia Apple products kisa wameskia watu wanaiponda tuwe objective katika ku reason. kiukweli Apple enzi za steve jobs walikuwa ahead of time na ndio kitu kinachohitajika kwenye Technology Microsoft alivyoleta window alikuwa mbele ya mda wake, Elon Musk na Tesla zake Kawa mbele ya mda he’s dominating the Market... zaman iPhone used to be that..Leading innovation na uniqueness. Siku hizi Not so much
Samahan Tesla ni nini
 
Samahan Tesla ni nini

Post #47 kakujibu hapo vizuri...ni Kampuni ya Kutengeneza Maghari yanayotumia umeme yaani unacharge badala ya kutumia mafuta. Ni magari ya kisasa ambayo hayana kelele na yanatunza mazingira maana hamna moshi basically kwa kifupi ni hivyo.

CEO wake ni huyo Elon musk ambae ana na Kampuni nyingine ila hiyo ni kampuni yake ya kutengeneza magari ya umeme.. aliyoyaita Tesla kutokana na Jina la Jamaa aliegundua umeme mtitiriko”sijui ndio kiswahili chake sahih” enzi hizo Mwanasayansi Nikola Tesla so Tesla ikaja hapo kutoka jina la jamaa. Natumai nmekujibu
 
Apple bado yupo kwenye category yake peke yake.

Ukiacha android hakuna os nyingine zaidi ya ios.

Sasa mnataka wote waende kutumia android? Kuna watu wanapendelea ios na ecosystem yake.
Nadhani hoja hapa sio os, hoja ni hardware. Malalamiko ya watu kwa apple mengi yamejikita kwenye hardware na sio os.
 
Kuna watu wanasema Steve Jobs alikufa na Ubunifu wake pale Apple. Hii inaweza kuwa kweli.

Angalia, leo Apple wamezindua simu mpya ya Iphone 13, ukiiangalia simu na hata matangazo yake yameionyesha hakuna tofauti na Iphone 12 ya mwaka jana. Watu wengine wanasema ni bora Apple wangeiita Iphone jina la Iphone 12s badala ya Iphone 13.

Specifications sheet haina tofauti yoyote na spec sheet ya mwaka jana.

Hadi sasa Samsung Galaxy S21 Ultra amezifunika zote, Iphone 12 line na Iphone 12s line aka Iphone 13.

Apple kwenye ubunifu alishaachwa nyuma na simu hizi za android kitambo sana.

Tusubiri labda mwaka kesho tukiwa wazima, inasemekana Apple atakuja na Iphone yenye muundo mpya kabisa ya kila kitu under display na kuondoa lile dirisha pale juu ama notch.
Kiongozi! Inawezekana features nyingi zinafanana. Kitu cha kawaida sana. Huwezi fanikiwa kwenye biashara kwa kuleta kitu kipya kabisa. Lazima kuwe na trade-offs.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom