Hakuna tofauti kati ya Iphone 12 na Iphone 13

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,421
17,018
Kuna watu wanasema Steve Jobs alikufa na Ubunifu wake pale Apple. Hii inaweza kuwa kweli.

Angalia, leo Apple wamezindua simu mpya ya Iphone 13, ukiiangalia simu na hata matangazo yake yameionyesha hakuna tofauti na Iphone 12 ya mwaka jana. Watu wengine wanasema ni bora Apple wangeiita Iphone jina la Iphone 12s badala ya Iphone 13.

Specifications sheet haina tofauti yoyote na spec sheet ya mwaka jana.

Hadi sasa Samsung Galaxy S21 Ultra amezifunika zote, Iphone 12 line na Iphone 12s line aka Iphone 13.

Apple kwenye ubunifu alishaachwa nyuma na simu hizi za android kitambo sana.

Tusubiri labda mwaka kesho tukiwa wazima, inasemekana Apple atakuja na Iphone yenye muundo mpya kabisa ya kila kitu under display na kuondoa lile dirisha pale juu ama notch.
 
The new iPhone 13 features a smaller notch that's 20% smaller than iPhone 12. The design features a new diagonal camera layout, and the cameras capture 40% more light. The ultra-wide camera lets in more light, too. The displays on the iPhone 13 and iPhone 13 Pro are 28% brighter, with 800 nits of brightness
 
1631676916584.png

Mimi mwenzenu bado natumia Nokia Lumia 1020
 
Kuna watu wanasema Steve Jobs alikufa na Ubunifu wake pale Apple. Hii inaweza kuwa kweli.

Angalia, leo Apple wamezindua simu mpya ya Iphone 13, ukiiangalia simu na hata matangazo yake yameionyesha hakuna tofauti na Iphone 12 ya mwaka jana. Watu wengine wanasema ni bora Apple wangeiita Iphone jina la Iphone 12s badala ya Iphone 13.

Specifications sheet haina tofauti yoyote na spec sheet ya mwaka jana.

Hadi sasa Samsung Galaxy S21 Ultra amezifunika zote, Iphone 12 line na Iphone 12s line aka Iphone 13.

Apple kwenye ubunifu alishaachwa nyuma na simu hizi za android kitambo sana.

Tusubiri labda mwaka kesho tukiwa wazima, inasemekana Apple atakuja na Iphone yenye muundo mpya kabisa ya kila kitu under display na kuondoa lile dirisha pale juu ama notch.

Baki na infinix yako bro.. huku si mahala pako..
 
Tofauti zipo ukisema hamna utakosea sema tofauti sio nyingi kama unavyotaka ww au ulivyofikiria, binafsi nmepanda ile Cinematic Mode inayokuwezesha kurecord video kama movie Japo hauna ujuz wa kushoot movies nmeona ni very Brilliant
 
Mbona bado anauza kama alishaachwa kitambo?
Vitu vya Apple kuuza haina mahusiano na uzuri wa bidhaa trust me. Hawa jamaa wana stand ya Monitor inauzwa hadi dola 1000,

Iphone mauzo makubwa yapo Usa, ukitoa USA nchi washirika kama Uingereza, Japan, Korea etc nchi zote hizi iphone inauza sana kwenye Mitandao ya simu, hawauzi hizi simu unlocked kama tunavyonunua sisi.

Na hii mitandao ya simu wanaziuza bei rahisi na sometime wanazitoa hadi bure, Iphone zimefungwa hivyo mtandao wa simu wana ku control kadri wanavyotaka,
1. Iphone sio dual sim, hivyo utatumia mtandao huo huo, simu za Android nyingi dual sim na line 2 inakuwa haipo locked.
2. Ngumu kutoa lock iphone iliyofungwa bila ruhusa ya mtandao. Baadhi ya Android rahisi sana kuzitoa lock.
3. Wakitaka ku restrict features mfano hotspot, kubadili network, kubadili 2g/3g/4g etc ni rahisi

Mambo mengi kifupi Iphone zinapendwa na Mitandao ya simu, hivyo nchi zote zenye mfumo wa mitandao ya simu kuuza simu utaona mauzo ya iphone yapo juu.

Nchi ambazo unanunua simu unlocked unaenda mwenyewe dukani na kuchukua simu mauzo yao si makubwa.
 
Kuna watu wanasema Steve Jobs alikufa na Ubunifu wake pale Apple. Hii inaweza kuwa kweli.

Angalia, leo Apple wamezindua simu mpya ya Iphone 13, ukiiangalia simu na hata matangazo yake yameionyesha hakuna tofauti na Iphone 12 ya mwaka jana. Watu wengine wanasema ni bora Apple wangeiita Iphone jina la Iphone 12s badala ya Iphone 13.

Specifications sheet haina tofauti yoyote na spec sheet ya mwaka jana.

Hadi sasa Samsung Galaxy S21 Ultra amezifunika zote, Iphone 12 line na Iphone 12s line aka Iphone 13.

Apple kwenye ubunifu alishaachwa nyuma na simu hizi za android kitambo sana.

Tusubiri labda mwaka kesho tukiwa wazima, inasemekana Apple atakuja na Iphone yenye muundo mpya kabisa ya kila kitu under display na kuondoa lile dirisha pale juu ama notch.
Kwa ujumla makampuni yote ya simu kwa sasa yanatoa model zisizo na tofauti kubwa
Mfano Galaxy S20 vs S21
Vivyo hivyo kwa Tecno, Infinix etc
 
Kwamba wewe unajua kuliko Apple au? Yaani binadamu sijui tukoje. Kila kitu mnakosoa hata bila ya kuwa na uhakika. Aisee Mungu atusaidie tuu.
Tofauti ya Iphone 12 na iphone 13 ni Soc na mpangilio wa camera. Hizo ndio tofauti kubwa.

Nasubiri kuona 120Hz display ya iphone 13 pro na pro max itaperform vipi hasa kwenye battery.

Kwa maana 60Hz iliwapa sana jeuri wakajiona simu zao zinakaa sana charge.

Hapafu hakuna simu zinaoverheat kama hizi kuanzia iphone 12 series ndio maana kwenye Iphone 13 pro na pro max wameweka cinematic lakini wamelimit resolution kuwa 1080p. Wawe 4k cinematic kama wana jeuri.
 
Vitu vya Apple kuuza haina mahusiano na uzuri wa bidhaa trust me. Hawa jamaa wana stand ya Monitor inauzwa hadi dola 1000,

Iphone mauzo makubwa yapo Usa, ukitoa USA nchi washirika kama Uingereza, Japan, Korea etc nchi zote hizi iphone inauza sana kwenye Mitandao ya simu, hawauzi hizi simu unlocked kama tunavyonunua sisi.

Na hii mitandao ya simu wanaziuza bei rahisi na sometime wanazitoa hadi bure, Iphone zimefungwa hivyo mtandao wa simu wana ku control kadri wanavyotaka,
1. Iphone sio dual sim, hivyo utatumia mtandao huo huo, simu za Android nyingi dual sim na line 2 inakuwa haipo locked.
2. Ngumu kutoa lock iphone iliyofungwa bila ruhusa ya mtandao. Baadhi ya Android rahisi sana kuzitoa lock.
3. Wakitaka ku restrict features mfano hotspot, kubadili network, kubadili 2g/3g/4g etc ni rahisi

Mambo mengi kifupi Iphone zinapendwa na Mitandao ya simu, hivyo nchi zote zenye mfumo wa mitandao ya simu kuuza simu utaona mauzo ya iphone yapo juu.

Nchi ambazo unanunua simu unlocked unaenda mwenyewe dukani na kuchukua simu mauzo yao si makubwa.
Iphone zinazouzwa China ni dual simu.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom