chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 2,903
- 3,079
Mwaka huu watatukoma
Hahahaaaa nimecheka sanaNyie Ndala Akili Zenu Zipo Matakoni!
Hao Takukuru Wakiikuta na Hatia Simba unadhani na Yanga atasalimika?
Tumetoa 10mil Kuwapa Nyinyi Ombaomba ili tuwafunge na Mukatuachia tikawafunga.
Sasa sisi tuliyetoa Hela na Nyinyi Muliyepokea Hela sote tutaingia Makosani.
Nina maana yangu hadi nikaandika hivyo. As Vita itakapokuja kwa mechi ya marudiano lazima mtafungwa tu. Wale hawaogopi joto kama waarabu. Baada ya hapo mtapoteana hivyo mechi zitazobakia za Tpl mtakua mnagawa tu pointi na mwisho wa siku, timu ya wananchi itarudisha kombe lake Jangwani.
Jamaa amejibu utadhani wale "Lumumba buku 7"....Kwani As Vita Club inashiriki TPL?
Hebu soma Uzi kwa Makini utafakari ulichokiandika.
Nani kakuambia mwarabu anaogopa joto??
Mtatafuta kisingizio kwa kila timu tunachokutana naye lazima mnyanyue mikono juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakuja aiseee.
Kuogopa nini sasa wakati simba mwenyewe Koko. 🙈🙈Hivi unapoonda hili neno SIMBA huogopi wewe?
Kuogopa nini sasa wakati simba mwenyewe Koko. 🙈🙈
Huo ndio Ukoko wenyewe na ndio maana hata kagoli kenyewe alipata jua la kuzama. Wenye mipira yao mpaka dkk 45 za kwanza akikukosa basi ana KHAMSA. 😜Unamwita Koko wakati juzi tu amekufanya Kitendo pale kwa Mchina?
Lugha ngumu kueleweka..Hivi wakongo na waarabu wanacheza Tanzania Premier League? Na Mbao imecheza lini duru la pili na Simba..!Wale wakongo, waarabu na mbao nadhani wao siyo timu za miguu ila ni wanariadha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio Ukoko wenyewe na ndio maana hata kagoli kenyewe alipata jua la kuzama. Wenye mipira yao mpaka dkk 45 za kwanza akikukosa basi ana KHAMSA.
Siku hizi tunakuita kwa MKAPA.
Lugha ngumu kueleweka..Hivi wakongo na waarabu wanacheza Tanzania Premier League? Na Mbao imecheza lini duru la pili na Simba..!
Nyie watu hatuna dawa ya kuwatibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa duru ya kwanza ilikua inacheza timu gani kiasi mpaka ubague.? Mbona sisi wenyewe suru ya kwanza hatukupoteza lakini hatujawahi kuwa na mjigambo ya namna hii.
masikini akipata MATTER CORE HULIA MBWATTER
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibagui, nadhani hukusoma vizuri hii thread mkuu..Nimesema kuanzia sasa, yaani hapo toa Mbao FC na timu yoyote ambayo imepata sare kwamba duru la kwanza.
Kwasasa TPL duru la mwisho hakuna klabu ya kuifunga Simba nikatoa sababu hapo
Halafu unataka tusiseme ambalo tunaliamini Simba SC eti kwasababu nyie duru la kwanza hamkupoteza lakini hamkuwa na majigambo, sasa hiyo si uamuzi wenu..!
Hatufanani mkuu...SimbaNguvuMoja
Sent using Jamii Forums mobile app