CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,340
- 5,048
Nasikiliza kipindi cha michezo muda huu Clouds FM,namsikia mtangazaji anasema timu ya AC VITA imefuzu.....hili ni kosa na limekuwa likirudiwa mara nyingi na watangazaji na wachambuzi wengi wa mpira wa miguu. Ile si AC VITA,ni AS VITA.