BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
WA MADHA AHUNI ATAKULA MADHABAHUNI SOMA MAANDIKO MKUU NDIO MAANA USAINI KAMA KITABU CHA MCHANGO WA MSIBA UNAPELEKA MWENYEWEImani imezidi kumkamata MTU MWEUSI na watumishi wameendelea kusisitiza Kutoa ZAKA na FUNGU LA 10, UJENZI NA MAENDELEO YA JIMBO nk.
Hakuna tena Mahubiri ya HABARI NJEMA, KUACHA DHAMBI nk MsisitIzo ni MATOLEO na ili kulipa uzito basi kanisa LITATOA Mualiko kwa Mchungaji/Mtumishi anayejua kushawishi vizuri.
Imefika wakati Muumini anabeba sadaka yake ya Elfu 2 na njiani anapopita anakuta kuna kipofu kanyoosha mkono kuomba hela na pengine ana mtoto anayehitaji hata kikombe tu cha chai, lakini Muumini huyu atapita na kujiwazia kuwa hela aliyonayo ni ya SADAKA KANISANI.
HAKIKA INGEKUWA KIPINDI KILE CHA YESU ANGESEMA HIVI " ENYI WATUMISHI ACHENI KUWADANGANYA WAUMINI WENU", " ENYI WAUMINI TUMIENI AKILI NA UJINGA UWATOKE"/
Pili Muumini Masikini atahimizwa kutoa matoleo lakini akiugua hana hata hela ya panadol lakini uongozi wa Kanisa ukipata taarifa za kuugua wao watasema " TUMUWEKE KWENYE MAOMBI". Badala ya kutoa fedha kidogo za Sadaka.
KANA KWAMBA SADAKA NI KWA AJILI TU YA HUDUMA KWA WATUMISHI , UTAWALA NA UJENZI lakini siyo kusaidia waumini wasiojiweza.
KIDOGO NAWASIFU RC angalau
UNATUMIA BAR 20000+ KWA SIKU NN KUMTOLEA MUNGU 10K PWK
IMANI N KUWA NA UHAKIKA WA MAMBO YATARAJIWAYO..