share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Mhutu!!!Hata mimi napinga, kwanini wasijenge Dodoma kwenye makao makuu ya nchi ambako ni center ya nchi mpaka waipeleke CHATO ?
Kuna siri gani huko CHATO ?
Mhutu!!!Hata mimi napinga, kwanini wasijenge Dodoma kwenye makao makuu ya nchi ambako ni center ya nchi mpaka waipeleke CHATO ?
Kuna siri gani huko CHATO ?
Mhutu!!!
Litakuwa jambo jema maana ndio maendeleoHivi hawoni aibu?Ngoja na uwanja mkubwa wa mpira wa mguu wa kimataifa uanze kujengwa hapo Chato,Pengine mataga watashtuka!
Akili zenu zina walakini,mtakuja kushtuka kumekucha!Litakuwa jambo jema maana ndio maendeleo
HIVI HUYU MKUU ANAWALIPA KIASI GANI?Nimekaa nakutafakari sasa tunakoelekea sio pazuri.
Serikali inajenga hospitali ya rufaa Chato,wafuasi wa upinzani wanazodoa na kupinga.
Kwani hii Hospitali haitawahudumia watanzania?
Kwani kujengwa Chato ndio tatizo?
Mfano, mkazi wa Dar es Salaam akiwa Runzewe anaendesha truck kwenda Rwanda,ghafla anapata ajali,Je hawezi kupelekwa Chato na kupata huduma za tiba? Huu ni mfano.
Nini hasa kinawafanya mzodoe na kupinga ujenzi wa hii hospitali muhimu? Rais JPM kuwa ametokea Chato?
Nadhani ni kipindi muafaka Askofu Bagonza na Askofu Mwamakula kuwaombea hawa vijana waliokengeuka kisiasa ili uzalendo uwarudie na kuipenda nchi yao.
Kwani no lazima Kila mradi was kimkakati msemavyo, ujengwe chato?Kwani lazima kila mradi wa maendeleo ujengwe makao makuu?
Eti "Filipe Nyusi......Chato"Ama kweli wachato mmebarikiwa nyrere alikuwa lofa Sana.
Airport chato
Referal hospital chato
Crdb chato
Pccb sijui chato
Wang yi chato
Filipe nyusi chato
National Park chato
Futuboli stadium chato
Modern VETA chato
Blesed people we Wana come chato in pilgrimage.
Hivi unataka kuniambia Mwanza hakuna VETA? Shinyanga hawana Veta? Bukoba? Ninachojua Veta inatakiwa kuwepo kila WilayaVETA ya Chato pia umeisahau.
Hivi ile Mloganzira ni yann?CHATO Unapajua?
Hospitali ya Rufaa ya Kanda,
Kwa mfano Dsm inaweza ikajengwa Kibiti au Somanga?
Unajua Hospital ya Rufaa ya kanda ya kusini inakojengwa?Mkuu ili kufungua hospital kwabwa namna hiyo somewhere kuna factor nyingi unaconsider and one of them inaweza kuwa accessibility etc.Chato inaweza isiwe na sifa hata moja kati ya hizo
Hospitali ya wilaya ya Mwanga Kilimanjaro imejengwa Usangi juu Milimani huko na ni kipindi hiko na inasaidia watu wote ni vizuri kuruhusu MAENDELEO yasambae kila corner ya nchi.Yaani hospital ya rufaa ya kanda inajengwa kijijini na still huoni tatizo? Tupe sababu za msingi on why ni chato na si mwanza,shinyanga,Tabora Geita au Kigoma mjini
Ina maana hujui awamu ya tano inajenva Hospital ngapi za rufaa? Inamaana hujui airport ngapi zinajenvwa mpaka leo Tanzania nzima?..Wanapinga UPENDELEO.
..Magufuli alikuwa mbunge kwa miaka 20 kwanini hakupeleka miradi yote hiyo wakati akiwa mbunge na waziri?
..Kwanini miradi mingi hivyo inaibuka Chato tu na haiibuki maeneo mengine ya Tanzania?
Jamani hivi CRDB walijenga makao makuu au walijenga tawi kama wilaya nyingine wanavyopewa matawi?..unapoweka veta, uwanja wa ndege, crdb, uwanja wa mpira, hospitali ya rufaa, msd, mahakama, mbuga ya wanyama, ktk jimbo moja la uchaguzi, ndani ya miaka mitatu, huo utaitwa UPENDELEO.
Lindi haina Referral Hospital aisee wewe haujui ulisemalo..Hospitali ya rufaa kanda ya ziwa iko Bugando Mwanza.
Kanda ambazo hazina hospitali za rufaa za kanda ni:
1. Kanda ya magharibi: mikoa ya Kigoma, Rukwa, Katavi (hata Tabora ni mbali na Dodoma na Mwanza)
2. Kanda ya kusini mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma
Nilitarajia kama hospitali za rufaa za kanda ni kipaumbele, basi zingeanzia katika kanda hizo ambazo hazina
Mfumko wa bei upoje?Kumbuka watumishi wa umma wanaingia mwaka wa sita na mshahara ule ule wa July 2015.
Tatizo lipo kila Rais akijenga airport kijijini kwao ina faida gani kwa nchi? Acha ujinga, fikiriNimekaa nakutafakari sasa tunakoelekea sio pazuri.
Serikali inajenga hospitali ya rufaa Chato,wafuasi wa upinzani wanazodoa na kupinga...