Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,445
Mimi pia nimetafakari kauli yako. Hao wanaozodoa umejuaje kama ni wafuasi wa upinzani? Mbona nchi hii hakuna wapinzani? Chama tawala kimepata uungwaji sehemu zote nchini, sasa iweje tusikie tena kwamba kuna wapinzani? Mimi nashauri ufanye utafiti wa kutosha ili ujiridhishe kujua wanaozodoa hasa ni naniSerikali inajenga hospitali ya rufaa Chato,wafuasi wa upinzani wanazodoa na kupinga.