Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
- Thread starter
- #21
Hadi Veta nayo mnapinga kujengwa?VETA ya Chato pia umeisahau.
Hadi Veta nayo mnapinga kujengwa?VETA ya Chato pia umeisahau.
Mkuu ili kufungua hospital kwabwa namna hiyo somewhere kuna factor nyingi unaconsider and one of them inaweza kuwa accessibility etc.Chato inaweza isiwe na sifa hata moja kati ya hizoIshu ni kuwa ipo Chato au accessibility?
Bado chuo kikuu cha chatoAma kweli wachato mmebarikiwa nyrere alikuwa lofa Sana.
Airport chato
Referal hospital chato...
Kurundikiwa miradi? Duh hamuoninserikali ya awamu ya tano ilivyosamabaza miradi Tanzania nzima?
Lile jengo la TRA chato,yani nyerere aliona mbali ndugu zetu wasukuma,wachaga,wahaya na wanyakusya hawapaswi kupewa madaraka makubwa ya ukuu wa NchiAma kweli wachato mmebarikiwa nyrere alikuwa lofa Sana.
Airport chato
Referal hospital chato...
Na wahutu je?Lile jengo la TRA chato,yani nyerere aliona mbali ndugu zetu wasukuma,wachaga,wahaya na wanyakusya hawapaswi kupewa madaraka makubwa ya ukuu wa Nchi
Unapafahamu au ulishafika Chato?Mkuu ili kufungua hospital kwabwa namna hiyo somewhere kuna factor nyingi unaconsider and one of them inaweza kuwa accessibility etc.Chato inaweza isiwe na sifa hata moja kati ya hizo
Hadi Veta nayo mnapinga kujengwa?
Kwani anayepeleka miradi ni Magufuli au serikali?..Wanapinga UPENDELEO.
..Magufuli alikuwa mbunge kwa miaka 20 kwanini hakupeleka miradi yote hiyo wakati akiwa mbunge na waziri?
..Kwanini miradi mingi hivyo inaibuka Chato tu na haiibuki maeneo mengine ya Tanzania?
Vyote kwa pamoja.Ishu ni kuwa ipo Chato au accessibility?
Kwani anayepeleka miradi ni Magufuli au serikali?
Unakosea kusema sehemu nyingine hakuna miradi. Mradi wa maji Shinyanga to Tabora? Mradi wa meli ziwa Nyassa?
Flyover ya Ubungo ni sawa na bil 9 zinazojenga Hosp Chato?
Acha kukariri, maana kila awamu na mikakati yake. Je ni awamu gani amabayo imepambana na ufisadi zaidi ondoa awamu ya kwanza?..nadhani ni Magufuli ndiye anayelundika kila mradi Chato.
..hebu tueleze ni jimbo gani lingine lililoko mikoani hapa limejengewa Veta, Uwanja wa ndege, Msd, Tra, Uwanja wa mpira, mahakama, mbuga ya wanyama, na hospitali ya rufaa, ndani ya miaka mitatu.
Wewe unajua unachojadili?Vyote kwa pamoja.
Acha kukariri, maana kila awamu na mikakati yake. Je ni awamu gani amabayo imepambana na ufisadi zaidi ondoa awamu ya kwanza?
Kwanza nimekudharau, Veta sio mradi wa kulalamikia kama una akili...kwa hiyo mkakati wa awamu ya Jpm ni kulundika miradi ya maendeleo Chato?
Wewe unajua unachojadili?