Hakuna taifa linaloweza endelea kwa kuongeza tozo bali kwa kuchochea uzalishaji

Haya ni matokeo ya mwendazake "kulichonga bunge" alitaka kulichonga bunge ili limuongezee muda wa kutawala!??unategemea mbunge aliyeshindwa kura za maoni akapewa feva na marehemu ataikosoa serikali!?? Never!!!
In short tuqaondoa wabunge mahiri wa upinzani bungeni kutatukost sisi walalahoi bila kujali itikadi zetu
 
Haya ni matokeo ya mwendazake "kulichonga bunge" alitaka kulichonga bunge ili limuongezee muda wa kutawala!??unategemea mbunge aliyeshindwa kura za maoni akapewa feva na marehemu ataikosoa serikali!?? Never!!!
In short tuqaondoa wabunge mahiri wa upinzani bungeni kutatukost sisi walalahoi bila kujali itikadi zetu
MUNGU akapita naye
 
Sio rahisi,walishindwa ile ya ile hela tuma kwa namba hii ndo wataweza hii ya kutuma float maana wakala anakusanya pesa anapeleka bank anajaziwa float na mwingine nae anaenda bank kutoa float communication ndio zinatembea.
Sijui kama hawa jamaa wanajua hata Sheria na kanuni za kodi? Kodi ikiwa kubwa ni lzm itakwepwa tu.
Waliosema toza kidogo ukusanye kingi walishafanya study.
Na kichaa kweli niwape elf 30 kutuma na kutoa pesa kwann nisimpe wakala kula elf 5 hamisha float.
Hii fursa kwa mawakala kupiga pesa sasa.

Hiyo njia japo ni nzuri kwa mteja ktk kufanikiwa shida yake tatizo lipo kwa wakala kupata % yake kupitia account yake hatopata mrajaa wake amabao ni kama Malipo kwake anapokua anahudumia mteja
 
Katika maamuzi ya hovyo niliyowahi kushuhudia ni hili la tozo za Mpesa na hiyo mafuta kuongeza kodi wakati soko la dunia mafuta yapo bei ya kawaida kipindi hiki uzalishaji upo chini...wanasimamisha uchumi kwa Mpesa wakati tupo kwenye janga la Corona kazi imewashinda basi tuu...
 
Hili jambo limetufika wote na linatuathiri sote hawa watu wamedhamiria kutufanya tuzidi kuwa masikini huku wao wakineema.

Dunia nzima Hakuna tozo kama hizi,tupeana maujuzi zaidi jinsi ya kukwepa dhuluma hizi tutumie nini sasa kufikisha pesa tutumie uber, bodaboda, parcel,mtu,konda, haingilii akili tozo za ajabu kabisa hizi,hata Magufuli asingezikubali achilia madhaifu yake zenye lengo la kuwafanya watz wazidi kuwa masikini,hali inajulikana kuna matumizi mabaya Sana ya Kodi pasipo tija kwa mlipa kodi.

Hawa watu waliokosa ubunifu awaelewi kwamba tozo hizi zinakwenda kuuwa ajira na uchumi wa wengi.Mtza anakamuliwa haswaa tozo za simu bei juu,mafuta bei juu,mbolea bei juu yaani wamelenga mle mle panapogusa maisha ya hali ya chini Ili kuwadidimiza.

Hakuna taifa linaloweza endelea kwa kuongeza tozo bali kwa kuchochea uzalishaji Ili export ikue.

Tumetoka kuisoma namba leo tunazikwa kabisa hawana huruma kabisa hawa.
Ukitaka kutuma pesa kwa mtu mwambie akupe namba ya wakala, mtumie weka kwa wakala, wakala atampa cash mkononi bila kutoa.

Inabidi tuwaonyeshe hawa fisi kuwa sisi ndio watumiaji wa hii mitandao sio wao....
 
Back
Top Bottom