road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
Haya ni matokeo ya mwendazake "kulichonga bunge" alitaka kulichonga bunge ili limuongezee muda wa kutawala!??unategemea mbunge aliyeshindwa kura za maoni akapewa feva na marehemu ataikosoa serikali!?? Never!!!
In short tuqaondoa wabunge mahiri wa upinzani bungeni kutatukost sisi walalahoi bila kujali itikadi zetu
In short tuqaondoa wabunge mahiri wa upinzani bungeni kutatukost sisi walalahoi bila kujali itikadi zetu