mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Kuweka kumbukumbu sahihi..
Hakuna nchi inaoitwa Tanzania iliyopata Uhuru tarehe 9/12/1961, na hakuna Taifa huru duniani linaloitwa Tanzania-bara.
Nchi iliyopata Uhuru tarehe 9/12/1961 ni Tanganyika na ikawa Jamuhuri, na mwaka 1964 iliungana na nchi huru ya Zanzibar na kuwa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Nchi ya Zanzibar ilipata Uhuru wake kamili mwaka 1963/10/12.
Hivyo: tarehe 9/12/2016 tunakwenda kuadhimisha Uhuru wa nchi yetu Tanganyika, na sio Tanzania-bara kama inavyopotoshwa.
Hakuna nchi inaoitwa Tanzania iliyopata Uhuru tarehe 9/12/1961, na hakuna Taifa huru duniani linaloitwa Tanzania-bara.
Nchi iliyopata Uhuru tarehe 9/12/1961 ni Tanganyika na ikawa Jamuhuri, na mwaka 1964 iliungana na nchi huru ya Zanzibar na kuwa jamuhuri ya muungano wa Tanzania. Nchi ya Zanzibar ilipata Uhuru wake kamili mwaka 1963/10/12.
Hivyo: tarehe 9/12/2016 tunakwenda kuadhimisha Uhuru wa nchi yetu Tanganyika, na sio Tanzania-bara kama inavyopotoshwa.