Kama mtakunbuka hali ilikuwa tete Zanzibar kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi wa 2015 Zanzibar.
CCM ilikuwa na hali Mbaya katika Maeneo yote. Uwe po Wa GNU kilikuwa kikwazo cha kwanza.
Kukataliwa kwa ccm na wazanzibari kilikuwa kikwazo cha pili.
GNU kuliinyima CCM Zanzibar
bar Uhuru waliouzoea kuchezea daftari LA kura na kuamua walivyojisikia walau kwa asilimia Fulani ingawa hawakuacha kamwe Kufanya rafu zao.
Kuanzia tarehe 25 Oktoba, viongozi Wa ccm walikuwa wanahaha na hawakuaminiana. Hawakuwaamini hata makada
wao watiifu.
CCM ilikuwa na hofu ya usaliti miongoni mwao.
Unaambiwa baada ya kupokea taarifa za kushindwa kura za urais katika majimbo mkakati yaliyokuwa yakitarajiwa kuweka hesabu sawa, pale kisiwa ndui zilipo Ofisi za ccm ilikuwa hapakaliki. Lawama zilianza kuelekezwa kwa Dr Shein Kuwa Anataka kusaliti mapinduzi.
Vikao vilikuwa haviishi na baadhi ya makada walianza kukata Tamaa. Kadiri muda ulivyoyoyoma matokeo yaliwaacha mkono.
Wapinzani waliweka mkakati Wa kihistoria ambapo hadi SAA sita usiku matokeo wameyakusanya yote. Usiniulize wali fanya nini tambua wazanzibari wanataka mabadiliko.
Wahafidhina hawakuamini, walianza kurushiana maneno.walilaumiana na kushutumiana uzembe.
Mkakati Wa upinzani na mtandao wao ulikuwa smart sana. Ushauri Wa kitaalamu ulishauri makamo Wa Rais Wa kwanza Wa Zanzibar na mgombea Wa Ukawa kupitia CUF wakati Huo Maalim Seif ajiripuwe kwa kutangaza matokeo kutoka vituoni kote Unguja na Pemba. Yale matokeo yalikuwa rasmi kutoka kwenye fomu rasmi za tume.
Mawakala Wa CCM kwenye tume wakiongozwa na Jecha walitaharuki
Ghafla Jecha akaingia mitini na kituo cha kikuu cha kukusanya matokeo kikwekwa undesiege ya Jeshi LA JMT.
Kwa mara nyengine tena maamuzi ya wazanzibari yaliporwa.
Huko Ofisi za CCM hali ilikuwa Mbaya na hawakuamini. Matokeo yalishajulikana kote na mikakati yao iilishafeli. Kwa kawaida CCM haisubiri Namba ziwaache lkn Mara hii namba ziliwaacha.
Taharuki ilishaingia ikawa wanasubiri hat ma yao.
CCM wamshukuru Kikwete Kama amir Jeshi. Kilichofanyika Zanzibar ni uporaji Wa Jeshi. CCM Kama chama Zanzibar walishaishiwa Mbinu. Ghafla Jecha anasikika anafuta uchaguzi wote
Wakati Huo dunia imeshaarifu uchaguzi ulikuwa safi. Hio ikawa Aibu ya mwaka hadi Leo.
CCM walifura, nakumbuka ghafla akina Kificho, Shamsi Nahodha, Vuai Ali Vuai alikuwa Naibu Katibu Mkuu walipewa airtime live kule ZBC TV, walikuwa wametaharuki na macho kuwatoka wakifoka.
Ilimradi CCM ilipata tabu Zanzibar.
Tunasubiri mazingaombwe mengine kwenye uhai mwaka huu Wa 2020.
Ana kweli kukataliwa kubaya.
Kishada.
CCM ilikuwa na hali Mbaya katika Maeneo yote. Uwe po Wa GNU kilikuwa kikwazo cha kwanza.
Kukataliwa kwa ccm na wazanzibari kilikuwa kikwazo cha pili.
GNU kuliinyima CCM Zanzibar
bar Uhuru waliouzoea kuchezea daftari LA kura na kuamua walivyojisikia walau kwa asilimia Fulani ingawa hawakuacha kamwe Kufanya rafu zao.
Kuanzia tarehe 25 Oktoba, viongozi Wa ccm walikuwa wanahaha na hawakuaminiana. Hawakuwaamini hata makada
wao watiifu.
CCM ilikuwa na hofu ya usaliti miongoni mwao.
Unaambiwa baada ya kupokea taarifa za kushindwa kura za urais katika majimbo mkakati yaliyokuwa yakitarajiwa kuweka hesabu sawa, pale kisiwa ndui zilipo Ofisi za ccm ilikuwa hapakaliki. Lawama zilianza kuelekezwa kwa Dr Shein Kuwa Anataka kusaliti mapinduzi.
Vikao vilikuwa haviishi na baadhi ya makada walianza kukata Tamaa. Kadiri muda ulivyoyoyoma matokeo yaliwaacha mkono.
Wapinzani waliweka mkakati Wa kihistoria ambapo hadi SAA sita usiku matokeo wameyakusanya yote. Usiniulize wali fanya nini tambua wazanzibari wanataka mabadiliko.
Wahafidhina hawakuamini, walianza kurushiana maneno.walilaumiana na kushutumiana uzembe.
Mkakati Wa upinzani na mtandao wao ulikuwa smart sana. Ushauri Wa kitaalamu ulishauri makamo Wa Rais Wa kwanza Wa Zanzibar na mgombea Wa Ukawa kupitia CUF wakati Huo Maalim Seif ajiripuwe kwa kutangaza matokeo kutoka vituoni kote Unguja na Pemba. Yale matokeo yalikuwa rasmi kutoka kwenye fomu rasmi za tume.
Mawakala Wa CCM kwenye tume wakiongozwa na Jecha walitaharuki
Ghafla Jecha akaingia mitini na kituo cha kikuu cha kukusanya matokeo kikwekwa undesiege ya Jeshi LA JMT.
Kwa mara nyengine tena maamuzi ya wazanzibari yaliporwa.
Huko Ofisi za CCM hali ilikuwa Mbaya na hawakuamini. Matokeo yalishajulikana kote na mikakati yao iilishafeli. Kwa kawaida CCM haisubiri Namba ziwaache lkn Mara hii namba ziliwaacha.
Taharuki ilishaingia ikawa wanasubiri hat ma yao.
CCM wamshukuru Kikwete Kama amir Jeshi. Kilichofanyika Zanzibar ni uporaji Wa Jeshi. CCM Kama chama Zanzibar walishaishiwa Mbinu. Ghafla Jecha anasikika anafuta uchaguzi wote
Wakati Huo dunia imeshaarifu uchaguzi ulikuwa safi. Hio ikawa Aibu ya mwaka hadi Leo.
CCM walifura, nakumbuka ghafla akina Kificho, Shamsi Nahodha, Vuai Ali Vuai alikuwa Naibu Katibu Mkuu walipewa airtime live kule ZBC TV, walikuwa wametaharuki na macho kuwatoka wakifoka.
Ilimradi CCM ilipata tabu Zanzibar.
Tunasubiri mazingaombwe mengine kwenye uhai mwaka huu Wa 2020.
Ana kweli kukataliwa kubaya.
Kishada.