Mawaziri wengi walio katika Baraza la Mawaziri la sasa na baadhi ya wabunge wa CCM wametangaza nia, wengine wanatajwa....
Hao wote Hawana sifa ya kuwa Rais ajae
---- Katika Baraza la Mawaziri hili, Wameacha elimu imedorora....
--- Elimu ya Juu wamekosa mikopo
-- Ajira kwa Vijana imekufa.... Source of Panya road and the like
- Viwanda vimekufa.... Kashfa ya Sukari
Hata mchele wameagiza mwingi
Wameacha ufisadi umeshamiri na hawakemei
Naina Waziri wa Sheria na Katiba - Asha Rose Migiro ameacha katiba mbovu ipendekezwe
Asha Rose Migiro - Hataki tume huru ya uchaguzi,,,, bado hajaandaa muswada kama TCD Walivyokubaliana na Rais
-- Asha Rose Migiro nini msimamo wake kuhusu ESCROW... Nini msimamo wake kuhusu ufisadi?
- Magufuli nae hajawahi kukemea Rushwa, wakati wa ESCROW alikuwa Kimya
- Membe nae msimamo wake kuhusu Rushwa ni nini
Watoto wao wanasomesha nje
Wanatibiwa nje,,,, Huduma za afya zimedorora
Hao wote Hawana sifa ya kuwa Rais ajae
---- Katika Baraza la Mawaziri hili, Wameacha elimu imedorora....
--- Elimu ya Juu wamekosa mikopo
-- Ajira kwa Vijana imekufa.... Source of Panya road and the like
- Viwanda vimekufa.... Kashfa ya Sukari
Hata mchele wameagiza mwingi
Wameacha ufisadi umeshamiri na hawakemei
Naina Waziri wa Sheria na Katiba - Asha Rose Migiro ameacha katiba mbovu ipendekezwe
Asha Rose Migiro - Hataki tume huru ya uchaguzi,,,, bado hajaandaa muswada kama TCD Walivyokubaliana na Rais
-- Asha Rose Migiro nini msimamo wake kuhusu ESCROW... Nini msimamo wake kuhusu ufisadi?
- Magufuli nae hajawahi kukemea Rushwa, wakati wa ESCROW alikuwa Kimya
- Membe nae msimamo wake kuhusu Rushwa ni nini
Watoto wao wanasomesha nje
Wanatibiwa nje,,,, Huduma za afya zimedorora