Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,383
- 40,276
Closed
Kiimani inabidi tuseme hivyo mkuuRafiki wa kweli Yesu tu
- Fikiria marafiki wako wale wa udogoni mpaka sasa hivi, wako wapi sasa? je bado uko nao?
- Fikiria marafiki uliosoma nao, wengine wana vyeo, wengine matajiri, wengine bado wanataabika ....je bado mna ule ukaribu wa zamani?
- Fikiria marafiki uliowapata kazini, au katika miangaiko yako...je wanathamini utu wako?
- Fikiria ule urafiki wa wazazi wenu mpaka wengine mkaanzisha family friend...baada ya wazazi kufariki, je urafiki ule wa karibu bado upo?
- Fikiria umepata marafiki kutokana na nafasi ulionayo, labda we ni bosi na kwa sasa umefukuzwa kazi, je ule ukaribu na marafiki zako bado upo?
- Fikiria mpenzi uliyenaye kwa sasa mnakula bata na anakuita honey, baada ya muda ukapata janga la kupofuka macho na ukawa unajisaidia haja kubwa ndani ya mavazi yako.....Je atakupa heshima kama mwanzo?
- Leo uko hoi kitandani mahututi, Je wale marafiki zako mliokuwa mnakula nyama choma na mvinyo.... bado wako karibu na wewe?
- Rafiki wa kweli ni watoto wako....wekeza kwa damu yako, kama unauwezo fyatua wa kutosha na uwape misingi mizuri; ndio watakuwa mkombozi wako pale sisi wapembeni tutakapokutenga.
Rafiki wa kweli Yesu tu
ha ha ha ha sasa kuonana na yesu lazima ufe...na sisi kufa hatutaki
ha ha ha ha sasa kuonana na yesu lazima ufe...na sisi kufa hatutaki
Nipe mikakati mkuu namna ya kuwa rafiki yakeHahahah kufa kuko pale pale tutake tusitake , ivo nivema utengeneze urafiki na Yesu ungali Hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wapi mkuu?Wapo
ha ha ha ukiona mtu anajitundika baada ya changamoto kumzidi,ni kwa sababu ya huo utatutumebaki watatu tu
me , myself and i
Tupe ushuhuda mkuuNimeumizwa sana na marafiki hadi nahisi nitashikwa na cancer!
Ki vipi mkuu?
Vipi kuhusu binadamu?Rafiki yangu wa kweli ni mbwa wangu tu.
Binadamu wengi wakuda tu, usnitch ndio asili yao. Dogi wangu hawezi ni snitch hata day moko.Vipi kuhusu binadamu?
Duniani humu humuWako wapi mkuu?