Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,495
- 215,353
Mbunge wa zamani wa Kahama , James Lembeli , amesema hakuna neema ndani ya ccm , hivyo wanaoendelea kukiunga mkono wasitarajie kupata maisha bora .
Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya isagehe wilayani Kahama , Lembeli alirudia kusema kilichomtoa ccm na kujiunga na chadema ni KUTOKANA NA KUKITHIRI KWA RUSHWA NA UNAFIKI ndani ya chama hicho .
Chanzo - Nipashe .
Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya isagehe wilayani Kahama , Lembeli alirudia kusema kilichomtoa ccm na kujiunga na chadema ni KUTOKANA NA KUKITHIRI KWA RUSHWA NA UNAFIKI ndani ya chama hicho .
Chanzo - Nipashe .