Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Kwa sababu gani?Hivi huyu Lembeli ni moto ama ni baridi?
Kwa sababu gani?Hivi huyu Lembeli ni moto ama ni baridi?
Nimemuelewa sana , huyo ni kati ya wanafiki na wachumia tumbo watano bora wa lumumba humu jf , yuko tayari kudhalilika kwa gharama ya tsh 7000.Haujaelewa jamaa alicho andika?
Nadhani umepata ukweli kabisa, sasa unaumia.
Nadhani siasa za chuki, husda, wivu, makundi na mambo mengi ndio yalifanya yeye ajisikie kuchoka. Lakini suala la kutopitisha jina lake tu, kungesinge mfanya ahame chama, mbona walikuwa wengi je wote walihama baada ya kukatwa? Ukifikilia kwa mbali sana utagundua alihujumiwa kwa kipindi kirefu, na kupewa kashfa za kila aina ili akwame. Sasa kwa kuwa ana maono ya mbali akaona bora awapishe, huyo ndio Lowassa.Kwani Wewe unaamini CCM ingempitisha Lowassa July 12, 2015 Ingefika July 27 angejitoa CCM na kujiunga Chadema kwa kuwa CCM haifai?
Nadhani siasa za chuki, husda, wivu, makundi na mambo mengi ndio yalifanya yeye ajisikie kuchoka. Lakini suala la kutopitisha jina lake tu, kungesinge mfanya ahame chama, mbona walikuwa wengi je wote walihama baada ya kukatwa? Ukifikilia kwa mbali sana utagundua alihujumiwa kwa kipindi kirefu, na kupewa kashfa za kila aina ili akwame. Sasa kwa kuwa ana maono ya mbali akaona bora awapishe, huyo ndio Lowassa.
Lembeli, tangu atoke kwenye ile kamati ya maliasili na maazimio ya bunge, ndio ikawa chanzo chakuandamwa na hata kumfukuza uanachama. Sasa ulitaka abaki tu, kwa ajili ya nini? Hayo machache nimekujuza baada ya kuona una akili nzuri.
Jibu hoja mkuu, usikimbilie sehemu nyepesi. Umeniuliza nikakujibu kwa kukushushia data, wewe unasema eti!! Sasa hukujua kugawa jimbo lake ilikuwa hila ili ashindwe!! Acheni kuogopa kuongea ukweli kisa mtanyimwa posho.Eti Lembeli alifukuzwa Uanachama!
Umesema kweliMwanzoni alitaka kuwa na imani na Magu ila kadiri siku zinasonga anapoteza maboya
Bora nishabikie na kumpigia kura CCM kuliko CDM na Lowassa!! Wapiga deal!!Ni ukweli mtupu, Ukiona mtu anashabikia CCM huyo kichwani ni mkiwa.
Siku nikikatwa Kama Ngoyai nitajiunga huko maana huko Ni Dampo la Makapi ya CCM!