misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,641
- 9,338
CHADEMA kirefu chake CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO,je DEMOKKRASIA ipo?Hawana hata hiyo katiba na haiwasumbui! Lakini kuhusu Demokrasi Prof. PLO Lumumba alisema nchi zenye neno demokrasi ndani ya jina lao ni zile ambazo hazina demokrasia hata chembe - Democratic Republic of Congo na Peoples Democratic of Korea! Je! vyama vyenye neno hilo mfano CHADEMA?
Sent using Jamii Forums mobile app