alan_v007
Member
- Jul 11, 2021
- 19
- 19
Utavunja ndoa nyingi sana ILA utapiga mtonyo mrefu sana!Jojo teçh,tunahusika na kufunga tracker kwenye handbag ya mkeo na tunatrack mawasiliano yake kwa sms,whatsapp and calls,karibuni
Utavunja ndoa nyingi sana ILA utapiga mtonyo mrefu sana!Jojo teçh,tunahusika na kufunga tracker kwenye handbag ya mkeo na tunatrack mawasiliano yake kwa sms,whatsapp and calls,karibuni
Ninae mdogo'angu aliowa nurse,nilimuonya akaniona mimi kupenda sijui au sijui ndiyo ili wasaidiane maisha!
Alikuja kumpiga tukio moja dogo kidogo apotee hadi leo yeye ndo amekuwa mshauri wa watu kuhusu kuchagua hawa wadudu!
Ninae mdogo'angu aliowa nurse,nilimuonya akaniona mimi kupenda sijui au sijui ndiyo ili wasaidiane maisha!
Alikuja kumpiga tukio moja dogo kidogo apotee hadi leo yeye ndo amekuwa mshauri wa watu kuhusu kuchagua hawa wadudu!
Halaf sijui tu haka ka tabia kakuanza kupendana na Ex wako akiolewa kanaanzaga vipi yani hii ndio sababu kubwa Ndoa nyingi zinavunjika au unakuta Mtoto kafanana na Ex wa Mke wako na unajua ni mke wako tu
Hao bikra una waumba wewe nije Nioe?😂😂Lakini ukioa bikra atleast kuna uafadhali....japo kila jambo lina uzuri na ubaya wake.
Solution....wanaogonga wanawake nadhani wauliwe.
Hao bikra una waumba wewe nije Nioe?
Wanaume wakiuliwa nyie mtaishije sasa??!!Wanaume ndio watoambaji
Wanaume ndio walalamikaji mnagongewa....sa si bora muuliwe tu, mnachosha.
Hakutakuwa na kesi za kugongewa, ndo mjue kumbe tatizo ni nyieWanaume wakiuliwa nyie mtaishije sasa??!!
Parapanda tu lipigwe ka vipi ...😁
Maana hamna namna nyingine.
Mtu akiamua kukusaliti hakuna njia yoyote hii dunia unaweza kutumia kumzuia labda umfungie chumbani kabisa asitoke ww uwe unamkuta tu humo
Ndo hivyo kwa wale wanaowaza kusalitiwa ila mm binafsi as long as sijashuhudia kwa macho yangu siumizi moyo wangu mzeeIkibidi mfungie mzee...
KwakweliParapanda tu lipigwe ka vipi ...
Ndo hivyo kwa wale wanaowaza kusalitiwa ila mm binafsi as long as sijashuhudia kwa macho yangu siumizi moyo wangu mzee
Nitafte nikupe ujuzi usiseme mambo ambayo huna exposure nayoMtu akiamua kukusaliti hakuna njia yoyote hii dunia unaweza kutumia kumzuia labda umfungie chumbani kabisa asitoke ww uwe unamkuta tu humo
Agongwe tu mzee muhimu asifanye uzembe nkawa na ushahidi uliokamilikaLakini ukioa mfanyakazi kugongewa mzee kupo kwa asilimia kubwa