Bilali isema
New Member
- Sep 21, 2011
- 2
- 1
jamani tuache uzushi Jwtz ajira bado tuache kusema tusioyajua.ni vizuri tusubiri mpaka watangaze wao officially.
Hakuna cha kusema watangaze. Ajira zote za jwtz zinapitia jkt. Kama jkt walitangaza ukakugush utakuwa umeliwa.kwan proffessionals zote jwtz wana select kutoka jkt.kinyume na hapo sahau.maama jwtz hawatangazi nafasi siku hz!
Acha kudanganya umma.watu wameajiriwa juzi hapa kwenda jw.kwa wale wenye fani za kuimba,kucheza ngoma na N.K. Hawa wote walitoka Uraiani.
jKT HAKUNA degree kule.Prof watachukua URAIANI.
zubeda umenena!mwambie huyo.kama haelewi si anyamaze tu.
nafasi zimetoka na week hii nzima walikuwa wakipokea pale Ngome upanga. ndg yangu kapeleka wamepokea. hawa jwtz hawana uwazi wa mambo usisubiri mpaka watangaze. mwisho j3 kesho
Hakuna cha kusema watangaze. Ajira zote za jwtz zinapitia jkt. Kama jkt walitangaza ukakugush utakuwa umeliwa.kwan proffessionals zote jwtz wana select kutoka jkt.kinyume na hapo sahau.maama jwtz hawatangazi nafasi siku hz!
Suala lingine ni.... je? Matokeo na transcript za chuo ztatoka on tym for applications au ndio vile doctrine of frustation itaapply kwa cc fresh graduates ambao mpaka sa hz matokeo hayajatoka!
Jamani watu wanapenda kuzungumza tu kwa makisio,leo mnabishana wakat wiki 1 iliyopita wamechukuliwa advanced dip. na digrii na wanaungwa na wale wa jkt,weng walipnga sna thread ilyoelezea hayo wiki jana,ila mm nmefuatlia hadi Upanga na nikathbitshiwa hilo.cku hz hawa tangaz wakitangaza basi orally na deadline ndan ya cku 2.kama uko mkoan ni ngumu zaid.hvyo hata Jw wanakupokeen bt wao ndo wanaokuptishen jkt then jw. Sometyms tetesi zngne za kufanyia kaz sio kukariri coz Urasimu mwng.
Jamani watu wanapenda kuzungumza tu kwa makisio,leo mnabishana wakat wiki 1 iliyopita wamechukuliwa advanced dip. na digrii na wanaungwa na wale wa jkt,weng walipnga sna thread ilyoelezea hayo wiki jana,ila mm nmefuatlia hadi Upanga na nikathbitshiwa hilo.cku hz hawa tangaz wakitangaza basi orally na deadline ndan ya cku 2.kama uko mkoan ni ngumu zaid.hvyo hata Jw wanakupokeen bt wao ndo wanaokuptishen jkt then jw. Sometyms tetesi zngne za kufanyia kaz sio kukariri coz Urasimu mwng.
Kama hujui kaa kmya ...jkt hawana graduates