Hakuna mwenye akili timamu atakayemuamini Mbowe na Chadema kuchangia hela? Kwanini hazindui ujenzi Arusha au Moshi?

Status
Not open for further replies.
Yaani Mbowe ni mtu wa kumchukulia serious kweli? Yeye anajionaga jabali lakini ni kisisimizi fulani hivi kichwani. Waliokuwa wanamsaidia washakaa pembeni sasa qnachoongea siku hizi ndo akili yake halisi.
Hata BAVICHA hawawezi kumsafisha tena wamebaki wapambe nuksi wake tu ambao hata akinya wanaweza kula kinyesi chake.
 
Hivi Mbowe kaandika barua kuonana na president hivi ana hoja kweli ya maana ya kuongelea Mimi sidhani anataka tu kumpotezea muda wa kazi. Dishi la Mbowe limeyumba. Ndo maana kina Mdee wamekimbia. Wale wamama wako smart sana washanuona poyoyo ndo maana wakakataa kuburuzwa kipopoma. Sasa utashangaa midume mizima inaburuzwa kindezi kabisa.
 
Nimemsikia Freeman Mbowe Mara kadhaa katika ziara zake amejikita sana katika kukosoa utawala wa Mwendazake Magufuli kuliko kujikita katika current issue za sasa.

Mbowe ameenda mbali zaidi kiasi cha kutetea ukanda flani huku akijua vyema hizo ajenda zinamshushia alama za kiongozi mwenye focus na umoja wa kitaifa na mahikamano.

Vyovyote Magufuli alivyokua kwa hadhi ya Mbowe hakupaswa kuzunguka kuyasema madhaifu yake kwani kwa cheo chake Marehemu si ajenda tena, Magufuli hawezi kurudi na hata kwa aliyoyafanya umma hauwezi kumwadhibu maana hana ijara tena katika ulimwengu huu.

Mbowe kazi ya kusema mambo ya hayati tuachie sisi watu wa mitandaoni kwa nafasi yako hayatakusaidia. Njoo na mikakati mipya na ajenda mpya za sasa kama chama ili wananchi tutembee nazo.
History ni muhimu sana kwa tuendako. Usimfundishe namna ya kupeleka sisa mbele, wewe usimseme Jwe,wach wanaomsema wana sababu zao, wewe huna sababu, msifie
 
Ndugu zangu,

Maajabu hayaishi,miaka michache iliyopita Mbowe alinifaika na ongezeko kubwa la ruzuku kila aliposhauriwa ajenge ofisi yeye na wasaidizi wake walitoa maneno makali eti "chama cha siasa sio jengo au nyumba bali ni imani".

Makamanda badala ya kuhoji walishangilia kwa furaha wakijinasibu kuwa "siasa kwao si ofisi bali ni imani.Pia ikumbukwe shilingi milioni 200 zilizotolewa na Mzee Sabodo kujenga ofisi ziliyeyuka bila maelezo.Nani atawaamini tena Chadema?

Siku za karibuni amezindua kadi zenye hadhi tofauti huku ile ya hadhi ya juu ikiwa na thamani ya shilingi 200,000 huku akijinasibu kuwa makamanda hawana mshahara kwa miezi sita nani ataweza kuchangia?ikumbukwe EL ndiye alikuja na wafuasi waliokuwa na uwezo angalau kuchanga chochote lakini sio makamanda hawa tunawajua.

Halafu Mbowe alivyomjanja haya mambo ya kuchangia chama au ujenzi wa ofisi anazungumza akiwa Shinyanga anajua akizunguza haya maneno Moshi au Arusha ataambulia vitasa.

Nimalize kwa kusema "ajizi nyumba ya njaa".
sema wewe hutachanga, wengine mbona tumechanga sana tena sana
 
Mataga wafu mmeona mama kawatosa sasa mnatengeneza snema la kiki kupitia mbowe mmefeli.

Naona kuna vinyuzi vimeibuka ghafla juu ya mbowe tunajua mbowe ni giant kisiasa hivyo kumgusa kwenu ni mtaji kisiasa.

MMEFELI
Mataga wanatafuta pa kutokea lkn mama kaamua kuwatosa mazima mazima
 
Ila kiukweli Mh. Mbowe aachane na Siasa za kufoka foka( rapp politics) awaachie akina Roma yeye ajikite zaid katika hoja za nini atafanya ili wananchi tumuunge mkono.
 
Yaani Mbowe ni mtu wa kumchukulia serious kweli? Yeye anajionaga jabali lakini ni kisisimizi fulani hivi kichwani. Waliokuwa wanamsaidia washakaa pembeni sasa qnachoongea siku hizi ndo akili yake halisi.
Hata BAVICHA hawawezi kumsafisha tena wamebaki wapambe nuksi wake tu ambao hata akinya wanaweza kula kinyesi chake.
Babayako Jiwe kilichokuwa kinampa presha kupanda kikubwa ni Mbowe alijitahidi kummaliza mpaka kufuata kitovu chake alipozaliwa hola aliikosa katngulia mwenyewe
 
Na kakikundi ka watu wasiozidi watano wenye multiple ID za kutosha ndio wanasumbua
Uzuri tushawagundua kwa upande wangu nikikutana nao ni kuwatwanga spana bila huruma.

Ni kheri nibakie na marafiki wachache lkn wenye nia njema kuliko kuwa na marafiki wanafiki kama MATAGA.
 
Na kakikundi ka watu wasiozidi watano wenye multiple ID za kutosha ndio wanasumbua

Ishu sio mtoa hoja bali ni hoja iliyoibuliwa kutokana na matamshi ya kibaguzi ya Mbowe

Ni Mwenyekt wetu wa Chadema, yes, ni nguli wa siasa lakn matamshi yake kusema eti Wachaga walikuwa hawaajiriwi ktk utawala wa Magufuli ni maneno ambayo sikutegemea yatoke ktk kinywa cha mtu kama Mbowe

Inamaana Chadema ni chama cha kutetea kabila la Wachaga?

Kwamba toka 2015 kazi kuu ya Mbowe ni kuhesabu wachaga wangapi wameajiriwa/kuteuliwa au kutenguliwa Serikalini!???

Hivi ni viashiria vya kuonesha kuwa kumbe ajenda ya SIRI ya Chadema ni kutetea maslahi ya kabila la Wachaga na ndio maana hata muanzilishi wa Chama Bw Edwin Mtei akaamua kumrithisha mkwe wake bw Mbowe uenyekiti

Kwamba zile tuhuma zilizokuwa zikizagaa miaka ile kwamba Chadema imejaa ukabila ni za kweli,, kupeana vyeo na nyadhifa hasa za ubunge viti maalum kindugu, kishemeji, na kikabila zilikuwa na ukweli

Sisi wengne wa makabila kama Wakinga, Wahaya, Wanyaturu, wanyakyusa, wadigo etc tulioamua kuiunga mkono Chadema je tutafute na sisi vyama vyetu vya siasa kufatilia watu wa makabila yetu wangapi wameajiriwa au kutenguliwa Serikalini!????

Tutafika kweli kwa mtindo huu?

Inasikitisha sana hii kauli ya Mbowe, sana sana

Na si ajabu hata wewe Mshana Jr unaitetea kauli hii kwakuwa Mbowe ni wa kabila/Jamii yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom