Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Tunaomba Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ajiuzuru mara moja kwenye nyadhifa yake ya uenyekiti wa Chadema na tunaziomba mamlaka za dola zimuite Mbowe zimhoji kwa kina kuhusu kauli yake ya uchonganishiUPUUZI MTUPU! Huyo dhalimu asiongelewe yeye nani? Dhuluma na udhalimu aliofanya nchini ikiwemo mauaji ya Watanzania chungu nzima ni sababu tosha kabisa ya kuanika uovu wake kila siku ambao bado unaendelea pia kaicha nchi katika hali mbaya sana kwenye kila sekta kutokana na udikteta wake.
Tunazisihi mamlaka za dola nchini Tanzania zisiwe na kigugumizi juu ya kuchukua hatua kali za kisheria kwa mtu yeyote bila kujali cheo chake na hadhi yake aliyonayo kijamii pale aonekanapo kuvuka msitari mwekundu wa kuharibu umoja Amani na mshikamano wa Watanzania
Vyombo vya dola visimuonee mtu haya kwenye masuala yanayolinda Tunu za Taifa letu
inapotokea kiongozi aliyekoswa sera na hoja za mantiki za kuwaletea maendeleo watanzania na akaamua kutumia udini au ukabila kuchonganisha watanzania Mtu huyu hatufai hata kidogo kwa hiyo vyombo vya dola ziyachukulie kwa uzito wake haya maneno
Mauwaji halaiki ya Rwanda yaliletwa na wanasiasa wenye tabia ya kutumia ukabila kuchonganisha watu Mbowe ana mtukana Marehemu ambaye ni baba wa familia aliye na ndugu zake anatumia lugha chafu ya kuudhi hali hii inachochea uhasama mkubwa tunamtaka Mbowe ajiuzuru mara moja na hatua kali za kisheria zichukuliwe juu yake chuki anayoihubiri Italeta taharuki kubwa ndani ya jamii ya Watanzania