indelible
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 652
- 299
Za leo,
1. Ebu tujuzane nini taswira inayo patikana mwanaume unapolia mbele ya mkeo, mpenzi au mchumba wanawake huwa mnachukiliaje?
2. Kwa wanaume hii huwa inasababishwa na nini? (Achialia mbali uliaji wa maafa mfano kufiwa au majanga ya kiasili) ni kwamba unajaribu kuteka hisia au utafuta huruma au?
3. Sikuongelea wanawake maana ni kitu kama kilichozoeleka hivi.
Nimeandika hivi baada ya bwana mmoja kuangua kilio mbele ya girlfriand wake akihisi eti gf wake kamcheat yaani kaangua kilio cha haja huku akitamka "ulikua na mwanaume jana siku nzima ulizima simu".
Maoni yenu
======
Wataalamu wa afya wanadai kulia kwa kutoa machozi kuna faida kiafya kama kuondoa bakteria wa maambukizi machoni & kuondoa mkazo (stress), wasiwasi (anxiety) na huzuni. Kulia pia si udhaifu, ukijizuia kulia ni kama kuhifadhi moto moyoni wakati wowote utakuchoma.
Wataalamu wanaamini kulia ni njia nzuri ya kutoa yaliyo moyoni na tukizoea kuepuka kulia tunaweza kudhuru afya zetu. Wengine wanabisha, wakidai kwamba faida za kimwili au za kiakili za kulia bado hazijathibitishwa kisayansi. Hata hivyo, utafiti unaonyesha kwamba asilimia 85 ya wanawake na asilimia 73 ya wanaume huhisi vizuri baada ya kulia.
Aina Tatu za Machozi
Na kuonekana ni jambo la aibu au udhaifu kwa mwanaume kutoa machozi pale anapolia hata kama kaumizwa basi hutakiwa kuvumilia na kulilia moyoni.
Jambo hili limepelekea wanaume wengi kuishi na uchungu moyoni na kuwa wagumu wa kuachilia mambo kwa kuwa moja ya njia ya kumaliza uchungu ni kulia na kutoa machizi, na wao hawafanyi hivyo.
Faida za kulia
1. Kusafisha macho.
Unapolia, machozi hutoka na baadhi ya uchafu uliokuwa ndani ya macho ikiwa ni pamoja na vumbi.
2. kutoa uchungu moyoni.
Kulia kunapunguza uchungu wa mambo au jambo ambalo linakuwa limekuumiza kihisia na kufanya ubaki huru.
3. Kuonesha hisia zako.
Mtu anapolia huonesha hisia za kwamba ameumizwa na kuweza kupatiwa msaada iwapo unahitajika.
Michango ya wadau:
1. Ebu tujuzane nini taswira inayo patikana mwanaume unapolia mbele ya mkeo, mpenzi au mchumba wanawake huwa mnachukiliaje?
2. Kwa wanaume hii huwa inasababishwa na nini? (Achialia mbali uliaji wa maafa mfano kufiwa au majanga ya kiasili) ni kwamba unajaribu kuteka hisia au utafuta huruma au?
3. Sikuongelea wanawake maana ni kitu kama kilichozoeleka hivi.
Nimeandika hivi baada ya bwana mmoja kuangua kilio mbele ya girlfriand wake akihisi eti gf wake kamcheat yaani kaangua kilio cha haja huku akitamka "ulikua na mwanaume jana siku nzima ulizima simu".
Maoni yenu
======
Wataalamu wa afya wanadai kulia kwa kutoa machozi kuna faida kiafya kama kuondoa bakteria wa maambukizi machoni & kuondoa mkazo (stress), wasiwasi (anxiety) na huzuni. Kulia pia si udhaifu, ukijizuia kulia ni kama kuhifadhi moto moyoni wakati wowote utakuchoma.
Wataalamu wanaamini kulia ni njia nzuri ya kutoa yaliyo moyoni na tukizoea kuepuka kulia tunaweza kudhuru afya zetu. Wengine wanabisha, wakidai kwamba faida za kimwili au za kiakili za kulia bado hazijathibitishwa kisayansi. Hata hivyo, utafiti unaonyesha kwamba asilimia 85 ya wanawake na asilimia 73 ya wanaume huhisi vizuri baada ya kulia.
Aina Tatu za Machozi
- Machozi ya Msingi. Tezi za machozi hutengeneza umajimaji huu ambao hulowanisha na kulinda macho yetu. Pia, huboresha jinsi tunavyoona. Tunapopepesa kope za macho, majimaji hayo husambazwa machoni.
- Machozi ya Ghafula. Machozi haya hufurika unapoingiwa na kitu kinachokera machoni. Machozi ya ghafula hutoka pia kwa sababu ya vitendo fulani, kama vile kupiga miayo na kucheka.
- Machozi ya Hisia. Haya ni machozi ambayo binadamu hutoa ili kuonyesha hisia nzito. Machozi hayo yana asilimia 24 zaidi ya protini kuliko machozi ya ghafula.
Na kuonekana ni jambo la aibu au udhaifu kwa mwanaume kutoa machozi pale anapolia hata kama kaumizwa basi hutakiwa kuvumilia na kulilia moyoni.
Jambo hili limepelekea wanaume wengi kuishi na uchungu moyoni na kuwa wagumu wa kuachilia mambo kwa kuwa moja ya njia ya kumaliza uchungu ni kulia na kutoa machizi, na wao hawafanyi hivyo.
Faida za kulia
1. Kusafisha macho.
Unapolia, machozi hutoka na baadhi ya uchafu uliokuwa ndani ya macho ikiwa ni pamoja na vumbi.
2. kutoa uchungu moyoni.
Kulia kunapunguza uchungu wa mambo au jambo ambalo linakuwa limekuumiza kihisia na kufanya ubaki huru.
3. Kuonesha hisia zako.
Mtu anapolia huonesha hisia za kwamba ameumizwa na kuweza kupatiwa msaada iwapo unahitajika.
Michango ya wadau:
----Inatokoe somtm mtu unalia bt chozi tu linadondoka hutoi sauti ilishanitokea bt ya kuigiza, Alifuma msg kweny cm yangu na namba uzuri ilikua ngen so katika kumbembeleza kwamba kuna rafik yangu alikua anachati na dem wake akawa hataki kuamini.
Njia pekee ikawa ni kuyatafuta machozi, uzur kiran kilikuwa na kanisa linapiga nyimbo za kusikitisha machozi yakaja kweli laasivyo sijui ingekuaje, tangu siku hiyo nawapa big up wasanii wanavotoa machoz kumbe ni kazi kubwa, so nililia pale na akaamin kwel hazikua msg zangu
----Mwanaume huyo ataonekana dhaifu zaidi ya binadamu wote na pia nikasoma pia mwanaume huyo huwa in mpuuzi mjinga na vijina vingine vya hovyo hovyo sasa sijajua ni kweli au in nini maana lina muda mwanaume unapata hasira mpaka unaona unaweza kata chuma na meno mwisho machozi hudondoka Ila pia
Kuna mwanaume wanapretend ili wanawake mademu zao wawaona na wajione wajanja kumbe jamaa anadanganya tuu Vipi nyie dada zangu mkiona mwanaume analia mbele yako baada ya kumkwaza unachukuliaje ?
Vipi sisi wanaume tunalichukuliaje jambo hili la fedhea
Ni kwel mkuu hata jama ni hisia lakin sifa ya mwanaume ni kuweza kuji switch kulingana na mazingira.Lazima ujue kujiweza.Simetimes hata kama kitu kinachekesnha sana sio lazima kucheka mbele za watu haijalish hisia zimeguswa kiasi gan.
Umenikumbusha kama moment 3 hiv juu ya hili.
1. 2014 nilikua imetoka kupata matatizo kazin na njmesimama kazi.I remember one day nilikua natoka maeneo ya mkuranga kuelekea posta kwa njia ya kongowe kigamboni nikiwa kweye daladala nikapokea simu mdogo angu wa mwisho anaenifuatia wa kike amefariki akiwa usingizin nyumban.Ilikua asbh na mapema brother mkubwa ananipa hii taarifa.
Niliingiwa na uchungu mmoja wa ghafla halaf ni mkali siwez kusimulia plus bumbuwaz na mshangao juu halaf ndan ya daladala.Aisee nilijizuia kwa nguvu ya ajabu halaf nika take the situation as something very normal.Tuka conversate na brother tukamaliza na kuweka mipango sawa.Baada ya hapo nikawataarifu wadau kadhaa kwa simu na sms.
Though sikuweza ku manage kwenda posta direct tena ikabid nishuke njiani nikaelekea gheto kwa mshkaji wangu sana maana nilijua plae nitapata privacy.Basi nilivyoingia ndan tu nikalia sana kama mtoto.i cried to the maximum mhiz akaniacha nifanye yangu baada ya hapo tuka discua issue 2 3 nikaendela na misele yangu na mipango ya kusafir maana home ni mkoani.
Kwakwel mwanaume kulia lia mbele za watu hailet picha nzur sana..
2. 2018 nikiwa home pande hiz hiz za pwan nikapigiwa cm na jamaa angu wa karibu sana kwamba mtoto wake wa kike anaumwa hali mbaya na amepungukiwa damu ghafla kalazwa hospital.Tukatoka na jamaa angu mwingine yy alikua na gari tukaanza kufaya mipango ya kupata damu ila mpaka tunafanikiwa hali ilikua tayr mbaya na walipomuongeza tu situation became worst.Nurse kavurugikiwa mtoto kagauza macho full yellow ana vibrate vibaya sana.Achen aisee the first time naona mtu anakato roho mikononi mwangu.It waa so frustrating kwakwel hofu plus huzun kwa pamoja but i managed to stay cool maana wazaz hoi kwa vilio muda huo na jamaa angu mwngine yule kanikimbia kwa uoga maana wote ndio ilikua mara yetu ya kwanza kukutana na tukio kama hil so alikaa mbali.I was in charge kwenye process nzima mpaka mtoto anazikwa.
The moment watu wanaaga marehem ndio ilikua time nahis huzun imenizidia ikabbid nitafute a private place where i mourned bitterly.Nililia sana na ndio nika learn kwamba unapokua mwanaume lazima ujue kujiweza sana kwa habar za hisia vinginevyo mambo hayawez kwenda.
3. Hii naiacha.....