Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Kwa kukosa uelewa wengi watasema dhaifu ni yule mwenye mke mmoja! Lakini ukweli dhaifu ni yule asiyeweza kujizuia kila tako likipita! Wewe ni weak! Mwanaume halisi ana sifa zake! Ni yule asiyetikiswa na tako hovyohovyo! Sasa wewe na udhaifu wako huo unaweza kufanya maamuzi ya hovyo na kuharibu Mambo mengi katika jamii yetu! Kuna watu wametoa ajira kwa watu wasio na sifa kwa sababu ya rushwa ya ngono nk. Walisema hakuna mwanaume kama YESU hawamaanishi YESU alikuwa na wake wengi! Kuna sifa ziazomfanya aitwe hivyo! Na ngono siyo moja ya sifa hizo kwa taarifa yako!
Mwanaume mwenye mume mkamikifu huwezi kumtongoza ukampata, maana haoni kipya utakachompatia, atakutukana na kukubeza TU. Lakini mwanamke mwenye mume dhaifu mwenye Mke mmoja TU na asiyechepuka ni rahisi sana kumpata.
 
Kwa nini Allah atoe thawabu kwa suala ambalo halina umuhimu?
Kwanza unatakiwa uthibitishe kwamba ni wapi tumekubaliana kwamba suala la wake wengi halina umuhimu mpaka ufikie kuuliza swala hili ?

Hatujadili kuhusu umuhimu hapa tunajadili kuhusu ulazima.

Kama ambavyo kuoa mke mmoja ni muhimu lakini sio lazima ikiwa utaweza kukaa na kujizuia.

Hivyo hoja sio umuhimu bali hoja ni ulazima.
Kama hilo suala la mathna lingekuwa kawaida tu kama unavyosema hapo basi Allah asingelitoa thawabu.
Pili uthibitishe ni wapi tumekubaliana kwamba suala la mathna ni kawaida tu na wapi nimesema ni kawaida tu suala la mathna ?

Hoja ni ulazima sio ukawaida.

Hakuna sehemu nimesema mathna ni kawaida tuu,unapoingia katika mijadala kama hii unatakiwa uwe makini usimsemee mtu.
Kwa Allah kutoa thawabu basi mathna ni jambo la muhimu, na Allah anahimiza hilo lifanyike.
Naam ni MUHIMU sote tunakubaliana.
na Allah anahimiza hilo lifanyike.
Kuhimiza lifanyike hilo halioneshi ulazima bali linaonesha umuhimu,ulazima maana yake ingekuwa ni lazima na ukiacha unapata dhambi.

Kama ambavyo allah katilia mkazo suala la kusalimiana lakini iso lazima kusalimia na usiposalimiia hupati dhambi.

Kama ambavyo Allah katilia mkazo na umuhimu suala la kulipa kisasi lakini sio lazima kulipa kisasi na usipolipa kisasi hupati dhambi.

Kwa hiyo kutiliwa umuhimu kwa jambo hakuoneshi ulazima wa jambo hilo bali kunaonesha umuhimu wake.

Mambo mengi ni muhimu lakini sio lazima katika uislamu.

Muhimu saaana kuvaa nguo nyeupe lakini sio lazima.

Muhimu saaana kufanya mahari iwe ndogo lakini sio lazima.


Nikupe mfano, kwenye saikolojia kuna nadharia fulani inaitwa conditioning kiswahili uzoeshi.
Bado isjaona hoja ya kujibu hapa.
Kwa mujibu wa nadharia hii, adhabu hutolewa kuzuia tabia fulani mbaya isijirudie
Ndio uone sasa kwamba hakuna adhabu kwa mtu ambaye ana mke mmoja eti aadhibiwe na Allah kwa nini kaenda against nature ya kuwa na wakw wengi..?

Ushaona adhabu hiyo ?
Upande wa pili zawadi hutolewa ili kuhamasisha tabia nzuri kuendelea kuwa nzuri.
Naaam na zawadi hutolewa pia kwa jambo ambalo sio lazima lakini zuri.

Kama ambavyo mtu hupewa zawadi ya thawabu akisali rakaa mbili za sunna lakini hiyo sunna sio lazima.

Hapa hatujadili umuhimu tunajadili ulazima sawa ?
Sasa ndugu @safuher Allah anavyotoa thawabu (zawadi kwa yale mema) kwenye suala na mathna maana yake lina umuhimu na anahimiza hata kama ni option.
Unarudia kule kule kwamba hatujadili umuhimu tunajadili ulazima.

Allah kahimiza watu wasimame usiku kusali, leo kwa ufahamu wako utasema ni lazima utaanza kuwagongea watu milango na kuwaamsha wasali kwa lazima kwa sababu allah kahimiza hivyo.

Elewa vizuri ndugu yangu kinachojadiliwa ni ulazima sio umuhimu.

Hapa sote tunakubaliana kwamba suala hili ni muhimu kama ilivyo muhimu kusali usiku lakini iso lazima.

Hivyo ndugu @Dreanought
 
Tofautisha Kati ya kufunga sunna na kujisikia kiu, njaa, usingizi, joto, baridi, haja kubwa, haja ndogo, kudisa, kitamani, nk.
Lwngo la mifano hiyo ni kukufahamisha wewe ndugu ili upate kuelewa kwamba sio kila kilicho muhimu basi ni lazima.

Lakini bado hujanifahamu ila utafahamu kwa uwezo wa mungu kisha juhudi zako.
kujisikia njaa kwako
Kujisikia njaa hupangi huwa inatokea tu,sasa hapa duniani sio kwamba spte tunajisikia njaa pamoja.

Kuna watu wakila asubuhi wao kujisikia njaa mpaka usiku ndo walw tena.

Kuna watu kila wakila wao kujisikia njaa baada ya masaa manne.

Usihukumu kwamba kujisikia njaa ni kila baada ya masaa manne kwa kumuangalia huyu anayepatwa na njaa mara kwa mara,lazima kila mtu umpe hukmu yake.

Usitake kuniambia kwamba hapa duniani watu wote tunakula sawa milo mitatu,kuna watu wanakula mlo mmoja tena kwa kuridhika.

Kuna watu wanakula milo mitatu,wengi milo minne.

Haya yote ni kwa sababu ya metabloci activities zao katika mwili.
Hivyo suala sio kusikia njaa bali suala unasikia mara ngapi.

Ndio hivyo hivyo katika wake.

Suala sio kupata hamu unaweza kupata hamu mara tatu kwa siku ukamalizana na mkeo mmoja

Hapa suala ni kwamba lazima watu wote wawe na wake wengi ati kkwa kuwa matamanio yao hayawezi kukidhiwa na mke mmoja ?

Jawabu sio lazima kila mtu awe na wake wengi ili matamanio yake yakidhiwe barabbara.

Unaweza kuwa na mke mmoja tu na ukaishi nae huyo huyo kama amnavyo kuna ambao wanaweza kula mlo mmoja tu wakasavaivu siku nzima.
kwenda kukojoa kwako
Pia katika kukojoa kuna watu wanakojoa mara tano kwa siku.

Kuna ambao wanakojoa mara mbili tu kwa siku.

Usitake kulazimisha kwamba kila mmoja lazima akojoe mara tano kwa siku na ukamhukumu huyu anaekojoa mara mbili ni mgonjwa,kila mtu ana metabolic activities zake mwilini.

Usitake kulazimisha kila mwanaume normal weight yake iwe kilo 60 wakati kuna wengine ni warefu wana mifupa migumu sana na minene.

Kila mmoja atakuwa na weight kama ambavyo kila mmoja atakuwa na matamanio,lakini kila mmoja atakuwa na weight yake sio kwamba binadamu owte tutakuwa na weoght sawa.


Wakikutana na wewe bila hsaka utawaambia hawako normal kama wanaume wenzao.


Hata katika kimo kila mtu ana kimo chake usitake kulazimisha kwamba wanaume wote lazima tuwe na urefu wa futi sita.

Kila mmoja atakuwa na urefu kama ambavyo kila mmoja atakuwa na matamanio lakini haina maana matamanio au urefu utakuwa sawa kwa wote.
 
Kikubwa hapa sio uadilif
Kwa mujibu wa uislamu KIKUBWA NI UADILIFU.
maana uadilifu ni kitu kinachoamuliwa na jamii ya watu Fulani kuhusu nini ni uadilifu na nini sio uadilifu (social construction),
Uislamu umeweka wazi kuna mambo kama huwezi kuwa muadilifu usioe wake wengi.

Kama huwezi kupanga zamu jiepushe na wake wengi.
Kama utamtelekeza mke wako mmoja ukawa unamhudumia mmoja usioe wake wengi

Haya yote yapo katika uislamu hutakiwi kuyafanya ukiwa na wake wengi.

Sasa usiniambie kwamba uadilifu ni jambo linaamuliwa na jamii fulani wakati uislamu umeshaweka mambo haya bayana na vogezo vyake.
lakini kitandani, kudisa, kuwa na mbegu nyingi zinazozalishwa na korodani ni kwa wanaume wote hata kwa viumbe wengine.
Naaam hili halina shida lakini mbegu nyingi hizo hazimaanishi kwamba eti ni lazima ukazitoe kwa wanawake tofauti.

Kuna watu wanazalisha mbegu nyingi lakini wanaenda kuzitoa kwa mke wake mmoja na anaridhika kwa siku hiyo,anaweza kupiga mara mbili kwa siku kila siku na akaridhika.
Miundombinu ya kuwa na Mke zaidi ya mmoja Iko kwa wanaume wa viumbe vyote.
Sawa kama kuwepo kwa barabara sio maana yake kwamba ni lazima gari ipite kila muda.

Barabara ipo maana yake ni miundombinu ikiwa gari utataka kupita basi ni ruhusa.

Hivyo hivyo kuwepo kwa miundo mbinu hiyo kwa mwanaume maana yake ikiwa atataka aongeze basi ni ruhusa lakkni sio LAZIMA kama ambavyo sio lazima kwamba pakiwa na barabara ati gari ipite kila mara.


Wewe huwezi kusema unaweza kuwa na Mke mmoja
Toa sababu ya kueleweka kwa nini usiwe mwanaume kamili ukiwa na mke mmoja ?
au usiwe kabisaa na mwanamke halafu ukajiita mwanamke kamili
Hapa usiseme kwamba sio mwanaume kamili bali kwa ujumla,hapa utaonesha ni namna gani sio muadilifu.

Unatakiwa useme hajakamilika kitu fulani.

Mfano mtu akizaliwa hana mguu huwezi kusema sio mwanadamu kami,kuwa na heshima mkuu.

Mtu akizaliwa haoni huwezi kusema sio binadamu kamili kuwa na ustaarabu.

Mwanamke akizaliwa hana hisia kabisa na mapenzi hutakiw kusema kwamba sio mwanamke kamili.

Huo ni ukosefu tu wa kitu fulani ambacho kina kazi yake katika mwili
Sasa kutokuwepo kwa kitu hiko haina maana kwamba identity yake imeondoka.

Vingimevyo useme mtu kazaliwa hana uume hapa tunaweza kusema kwamba huyu sio mwanaume kabisa.

Lakini kusema sio mwanaume kamili eti kwa kuwa hajaona au hasimamishi hiyo ni lugha ya ajabu inayoshangaza sana.
Na mwanamke mwenye Mke mmoja tuuu kweli hata akili yake au tabia yake lazima Ina kasoro Fulani Fulani ambazo hata ndugu zake wa karibu wanaziona kwa macho ya nyama.
Haya ni maoni yako tu ya kulazimisha kitu kiwe lazima kwa watu wote,lakini bado hakuna uthibitisho wa maoni yako haya.

Kama unao uthibitisho basi unatakiwa uuwasilishe hapa.
 
Issue hapa sio ovulation
Sasa akma ambavyo unakataa kwamba issue sio ovulation maana yake unakubalk kwamba sio wanawake wote wako hivyo.

Sasa ndo ujue kwamba hata haya maneno yako unayosema hapa sio wanaume wote wako hivyo unavyotaka wewe iwe.
lakini mwanaume halisi anasisimuliwa na sauti, umbo, kunusa, kuona, kupapasa, simulizi na hata kufikiria TU,
Naaam kwani nani naakataa.

Shida sio kusisimiwa shida ni namna gani na kiwango gani mtu anasisimuliwa.

Kuna wanaume wakisikia sauti watasisimuka lakini hawasimamishi,wengine sauti hiyo hiyo watasimamisha kabisa.

Labda umaanishe vingine unaposema "kusisimka"

Hapa hatuzungumzi kusisimuka tunazungumzia ulazima wa mwanaume kuwa na wake wengi.

Mimi naweza kusisimka nikisikia sauti ya mwanadada lakoni sauti hiyo isinipe hamasa yoyote ya kuwa na mke mwingine.

Naweza kuona tako la dada fulani lakini tako hilo lisinipe hamasa ya kuongeza mke.
wakati mwingine anasimamisha hata akishikwa na mkojo au ndotoni, joto LA mwanamke na kupapaswa. Hii ni kwa viumbe wote. Sasa wewe inamaana hauko kamili.
Haya yote mwanamke nae pia huyapata endapo akiyapata na kufanyiwa.

Sasa hoja sio kupata hoja ni kwamba kuna ulazima gani wa kuwa na mtu zaidi ya mmoja kwa kupata kwake mambo hayo.

Na kwa nini huo ulazima uuoime kwa watu wote na sio mtu huyo aliyepatwa na hayo mambo tu.
 
Sasha kaka, Mimi ni mfugaji pia, yapo madume ambayo ni wavivu zizini, hayana hekaheka kazi Yao kulala na kulala ng'ombe hawazai.
Ng'ombe dume atazaaje.
Labda useme hazalishi,na kama hazalishi huwezi kusema sio ng'ombe dume kwa kuwa hazalishi.

Unatakiwa useme ng'ombe dume ambaye ana tatizo la kutozalisha mama vidume wengine.
Hata wewe inawezekana ni mume wa aina hii, unahiyari Leo upande au usipande
Onesha uthibitisho kwamba mume wa kuamua leo apande au asipande ati hayuko sawa.

Nipe uthibitisho kwamba mwanaume anaeamua leo apande kesho asipande ati hayuko sawa. ?
Ili udise lazima uvutwevutwe na mkeo ndio uume ushituke na ukishapiga kamoja basi inakutosha unaendelea na usingizi. Waume wa hivyo wapo lakini tunawaita abnormal
Mimi siwazungumzii hawa.

Nawazungumzia wanaume ambao wanapiga fresh kwa wake zao,wanaume ambao hawavutwi vutwi lakini wana mke mmoja wanapiga show vizuri kabisa usitake kuniambia wanaume hawa hawapo.

Hawa ambao wanapiga show vizuri bila kuvutwa vutwa ndio tunaowazungumzia hapa usilete mifano ya kuwadogoosha ili uwatie udhaifu wakati jambo liko wazi.


Mume halisi ana uwezo wa kuchapa wanawake 3 kwa siku moja na wote wanafurahia tendo LA ndoa
Mume halisi pia anaweza kuchapa mwanamke mmoja mara tatu kwa siku na mara zote akafurahia tendo la ndoa hilo.

Sasa mwanaume huyu anayepiga mara tatu kwa siku na mke mmoja itakuwa ajabu sana mara tatu hizo kila mara moja apewe mwanamke tofauti alafu hsindwe ati kwa kuwa wanawake hao ni tofauti.

Uhalisia ni kwamba kama anaweza kufanya mara tatu na mke mmoja basi pia anaweza kufanya mara moja na kila mwanamke katika wanawake watatu.

Lakini pia unatakiwa ujue kwamba pengine yule anaepiga wanawake watatu kwa siku ni kwa sababu anapiga wanawake tofauti,pengine akiwa upige mara tatu kwa mke yule yule atashindwa kufanya hivyo.


Ukiwa na Mke mmoja lazima akwambie duu nimechoka Leo mume wangu bado kunauma huko chini. Yaani peke yake hakuwezi anaomba msaada wa wanawake wenzie.
Kumbe sasa kuwa na wake wengi sababu itakuwa mwanamke anashindwa kuhimili mapigo hivyo anaomba msaada.

Badi hivyo unatakiwa ujue kwamba kuna wanawake wanahimili mapigo ya mume na hawataki msaada wa wanawake wengine.

Bila shakawanawake wa aina hii wapo ambao wako tayari kumpokea mume wakati wowote anapohitaji tendo na kumfanya mume asione haja ya kuwa na wanawake wengine.
Yaani peke yake hakuwezi anaomba msaada wa wanawake wenzie.
Maana yake sasa ni kuwa wapo wanawake ambao peke yake anamuweza mume,hivyo suala al kuoa wake wengi ati kwa sababu hamuwezi mume inakuwa halipo.

Sio kila mwanamke hamuwezi mumewe,wao wanaowezana na waume zao.
Sasa wewe unanitia Mashaka makubwa. Kama siku Mke wako atakutana na mume halisi ndoa yako itakuwa mashakani.
Kuwa na Heshima kidogo,jadili hoja usinijadili mimi.na huwa sijibu mipasho,najibu hoja mkuu.
Mwanaume kwa usiku mmoja ana uwezo wa kupiga 3 hadi asubuhi na mchana anaweza kuchapa wanawake wengine 2. Anachohitaji mume ni afya, chakula kizuri, pesa na utulivu wa akili basi.
Haya ni maoni yako tu.

Kama wapo wa aina hiyo sawa lakini hao sio kipimo cha kuwa mwanaume wa kawaida anatakiwa awe hivyo.

Kama hao ndio wanatakiwa wawe kipimo cha mwanaume wa kawaida basi lete ushahidi hapa wenye kuthibitisha madai yako haya.
 
Kwanza unatakiwa uthibitishe kwamba ni wapi tumekubaliana kwamba suala la wake wengi halina umuhimu mpaka ufikie kuuliza swala hili ?

Hatujadili kuhusu umuhimu hapa tunajadili kuhusu ulazima.

Kama ambavyo kuoa mke mmoja ni muhimu lakini sio lazima ikiwa utaweza kukaa na kujizuia.

Hivyo hoja sio umuhimu bali hoja ni ulazima.

Pili uthibitishe ni wapi tumekubaliana kwamba suala la mathna ni kawaida tu na wapi nimesema ni kawaida tu suala la mathna ?

Hoja ni ulazima sio ukawaida.

Hakuna sehemu nimesema mathna ni kawaida tuu,unapoingia katika mijadala kama hii unatakiwa uwe makini usimsemee mtu.

Naam ni MUHIMU sote tunakubaliana.

Kuhimiza lifanyike hilo halioneshi ulazima bali linaonesha umuhimu,ulazima maana yake ingekuwa ni lazima na ukiacha unapata dhambi.

Kama ambavyo allah katilia mkazo suala la kusalimiana lakini iso lazima kusalimia na usiposalimiia hupati dhambi.

Kama ambavyo Allah katilia mkazo na umuhimu suala la kulipa kisasi lakini sio lazima kulipa kisasi na usipolipa kisasi hupati dhambi.

Kwa hiyo kutiliwa umuhimu kwa jambo hakuoneshi ulazima wa jambo hilo bali kunaonesha umuhimu wake.

Mambo mengi ni muhimu lakini sio lazima katika uislamu.

Muhimu saaana kuvaa nguo nyeupe lakini sio lazima.

Muhimu saaana kufanya mahari iwe ndogo lakini sio lazima.



Bado isjaona hoja ya kujibu hapa.

Ndio uone sasa kwamba hakuna adhabu kwa mtu ambaye ana mke mmoja eti aadhibiwe na Allah kwa nini kaenda against nature ya kuwa na wakw wengi..?

Ushaona adhabu hiyo ?

Naaam na zawadi hutolewa pia kwa jambo ambalo sio lazima lakini zuri.

Kama ambavyo mtu hupewa zawadi ya thawabu akisali rakaa mbili za sunna lakini hiyo sunna sio lazima.

Hapa hatujadili umuhimu tunajadili ulazima sawa ?

Unarudia kule kule kwamba hatujadili umuhimu tunajadili ulazima.

Allah kahimiza watu wasimame usiku kusali, leo kwa ufahamu wako utasema ni lazima utaanza kuwagongea watu milango na kuwaamsha wasali kwa lazima kwa sababu allah kahimiza hivyo.

Elewa vizuri ndugu yangu kinachojadiliwa ni ulazima sio umuhimu.

Hapa sote tunakubaliana kwamba suala hili ni muhimu kama ilivyo muhimu kusali usiku lakini iso lazima.

Hivyo ndugu @Dreanought
Naona tunarudishana nyuma ndgu. Naomba basi nipe elimu sheikh.

Kwa nini Allah anatoa thawabu kwa wanaume wenye mathna?

Nijibu tu hapo ndugu.
 
Kwa nini Allah anatoa thawabu kwa wanaume wenye mathna?
Nijibu kwanza swali hili..

Kwa nini allah anatoa thawabu kwa mtu anayesimama usiku kusali,au mtu ambae anafunga jumatatu na alhamisi,kwa nini Allah anatoa thawabu kwa watu hawa ?
 
Kwa nini Allah anatoa thawabu kwa wanaume wenye mathna?
Ni kwa sababu ametaka kutoa thawabu ndio maana katupa thawabu.

Na sio kwa sababu tumetaka sisi tupewe thawabu ndo katupa hapana,ni matakwa yake kaamua kwamba jambo hili mja akifanya nampa thawabu.

Una swala lolote kwa jibu hili ?
 
Nijibu kwanza swali hili..

Kwa nini allah anatoa thawabu kwa mtu anayesimama usiku kusali,au mtu ambae anafunga jumatatu na alhamisi,kwa nini Allah anatoa thawabu kwa watu hawa ?
Mimi si muislam, lakini kwa mujibu wa uislam Allah alituumba wanadamu tumuabudu, kwa hiyo kuswali usiku na kufunga ni ibada ambazo humfurahisja Allah napo hutoa thawabu.
 
Ni kwa sababu ametaka kutoa thawabu ndio maana katupa thawabu.

Na sio kwa sababu tumetaka sisi tupewe thawabu ndo katupa hapana,ni matakwa yake kaamua kwamba jambo hili mja akifanya nampa thawabu.

Una swala lolote kwa jibu hili ?
Unazunguka mkuu, thawabu ni zawadi na siku zote zawadi hutolewa kwa jambo ambalo ni zuri.

Bado hujanijibu swali mkuu, kwa sababu hujatoa sababu. Mfano nakuuliza kwa nini binadamu tunakula , wewe unajibu tunakula kwa sababu tunakula, hapo hujajibu mkuu
 
Back
Top Bottom