Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Awamu ya tano ilijinasibu kuwa inapambana na ufisadi lakini kati ya watu waliokamatwa na kufikishwa mahakamani na mchakato wa kesi ukaendelea hakuna mwanachama maarufu au kigogo wa ccm bali wengi ni wafanyabiashara na watumishi wa umma.
Lakini historia inaonyesha kwamba dili zote zilizopangwa na zinazoendelea kupangwa zinawahusisha moja kwa moja wanasiasa wa chama tawala. Baadhi ya taarifa zilizotolewa kuhusu wizi wa Mali za umma Kama Richmond na escrow walitajwa wanasiasa kwa majina yao lakini hadi leo hawakukamatwa si kwa uhujumu uchumi wala kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Ningependa kuuliza, ukiwa CCM na ukawamtiifu kwa chama upaswi kushtakiwa? Au ni vigezo gani utumika kuwaweka watumishi wa umma years and years kwa uhujumu uchumi wakati uchunguzi ukiendelea lakini vigezo hivyo haviwezi kutumika kuwaweka ndani wanasiasa wakati uchunguzi unaendelea.
Tanzania Kuna vita ya ufisadi au tunavita ya chama tawala against makundi yasiyo wanachama wa chama hicho?
Lakini historia inaonyesha kwamba dili zote zilizopangwa na zinazoendelea kupangwa zinawahusisha moja kwa moja wanasiasa wa chama tawala. Baadhi ya taarifa zilizotolewa kuhusu wizi wa Mali za umma Kama Richmond na escrow walitajwa wanasiasa kwa majina yao lakini hadi leo hawakukamatwa si kwa uhujumu uchumi wala kwa matumizi mabaya ya madaraka.
Ningependa kuuliza, ukiwa CCM na ukawamtiifu kwa chama upaswi kushtakiwa? Au ni vigezo gani utumika kuwaweka watumishi wa umma years and years kwa uhujumu uchumi wakati uchunguzi ukiendelea lakini vigezo hivyo haviwezi kutumika kuwaweka ndani wanasiasa wakati uchunguzi unaendelea.
Tanzania Kuna vita ya ufisadi au tunavita ya chama tawala against makundi yasiyo wanachama wa chama hicho?