Hakuna mwanasiasa mkosoaji aliyewahi kufanikiwa pakubwa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,908
51,904
Chadema zingatieni ushauri huu "Raisi Lincoln wa marekani aliwahi sema wanasiasa pekee ambao walifanikiwa kisiasa na kufika mbali sana kisiasa ni Wale wanaoshauri sio wanaokosoa kwa roho mbaya na lugha isiyo na staha " Chadema kama mna long term focus Ya siku moja kushika nchi hilo la muhimu ila kama mna short term focus ya kuishia tuvyeo tudogodogo twa ubunge na udiwani endeleeni na wehu wenu. Mtaishia kujisifia ninekuwa mbunge au diwani kwa miaka 20 leo nasherekea mwaka wa 20 Kama mbunge au diwani mhenga na kibibi au kibabu kilichokaa muda mrefu kuliko diwani au mbunge yeyoye wa CCM!!! Hiyo Ndio CV yangu kali!!!!!!
 
Chadema zingatieni ushauri huu "Raisi Lincoln wa marekani aliwahi sema wanasiasa pekee ambao walifanikiwa kisiasa na kufika mbali sana kisiasa ni Wale wanaoshauri sio wanaokosoa kwa roho mbaya na lugha isiyo na staha " Chadema kama mna long term focus Ya siku moja kushika nchi hilo la muhimu ila kama mna short term focus ya kuishia tuvyeo tudogodogo twa ubunge na udiwani endeleeni na wehu wenu. Mtaishia kujisifia ninekuwa mbunge au diwani kwa miaka 20 leo nasherekea mwaka wa 20 Kama mbunge au diwani mhenga na kibibi au kibabu kilichokaa muda mrefu kuliko diwani au mbunge yeyoye wa CCM!!! Hiyo Ndio CV yangu kali!!!!!!
Marekani wapo wengi tu.
 
huo mnaoita ukosoaji ndio ushauri wenyewe, tatizo lenu mnataka kuwafundisha watu namna ya kufanya siasa.
 
Kukosoa ndio chanzo cha maendeleo.Vyama vingine hukosoa tu, na sio kupinga.
Nikiitazama chadema naihurumia haina Long vision kabisa hata ukiwasikiliza baadhi Ya wabunge unaona kabisa wako short sighted utasikia mimi sugu ndio raisi wa mbeya!!!!!! Mimi god bless Lena ndio raisi wa Arusha!!!!! Mimi Mchungaji msigwa ndio raisi wa Iringa!!!! Wakimaanisha watu kuwa Hakuna mtu mwingine wa kuwatoa ubunge kwenye hayo majimbo wao ni wabunge wa maisha. Vichwa vyao vinawaza mwisho ubunge!!!!! Ujinga mtupu
 
Nikiitazama chadema naihurumia haina Long vision kabisa hata ukiwasikiliza baadhi Ya wabunge unaona kabisa wako short sighted utasikia mimi sugu ndio raisi wa mbeya!!!!!! Mimi god bless Lena ndio raisi wa Arusha!!!!! Mimi Mchungaji msigwa ndio raisi wa Iringa!!!! Wakimaanisha watu kuwa Hakuna mtu mwingine wa kuwatoa ubunge kwenye hayo majimbo wao ni wabunge wa maisha. Vichwa vyao vinawaza mwisho ubunge!!!!! Ujinga mtupu
wacha weee.
nina maswali 2 kwako kijana
1.unajua siasa?
2.unajua shabaha ya chama cha siasa?
 
Chadema zingatieni ushauri huu "Raisi Lincoln wa marekani aliwahi sema wanasiasa pekee ambao walifanikiwa kisiasa na kufika mbali sana kisiasa ni Wale wanaoshauri sio wanaokosoa kwa roho mbaya na lugha isiyo na staha " Chadema kama mna long term focus Ya siku moja kushika nchi hilo la muhimu ila kama mna short term focus ya kuishia tuvyeo tudogodogo twa ubunge na udiwani endeleeni na wehu wenu. Mtaishia kujisifia ninekuwa mbunge au diwani kwa miaka 20 leo nasherekea mwaka wa 20 Kama mbunge au diwani mhenga na kibibi au kibabu kilichokaa muda mrefu kuliko diwani au mbunge yeyoye wa CCM!!! Hiyo Ndio CV yangu kali!!!!!!
Nadhani wanaokosolewa na wenyewe wanatakiwa kustaarabika na kuona kukosolewa ni sehemu ya maisha ya binadamu sasa mnapokuwa mnamawazo kinzani ya namna ya kulifanya jambo fulani.....
Angalizo tu, pande zote wastaatabike,
1-wakosowaji wawe wanajiridhisha wanachokisosoa kwa kuwa na taarifa zote muhimu ilikuona kweli kama kuna sehemu ya kukosoa.
2- wasolewaji, wajibu kwa hoja kulingana na walivyokoselewa, wasijifiche kwenye majibu mepesi ya walesio wazalendo, wale nivibaraka, wapigaji, walizioa kupiga dili na nk
 
Chadema zingatieni ushauri huu "Raisi Lincoln wa marekani aliwahi sema wanasiasa pekee ambao walifanikiwa kisiasa na kufika mbali sana kisiasa ni Wale wanaoshauri sio wanaokosoa kwa roho mbaya na lugha isiyo na staha " Chadema kama mna long term focus Ya siku moja kushika nchi hilo la muhimu ila kama mna short term focus ya kuishia tuvyeo tudogodogo twa ubunge na udiwani endeleeni na wehu wenu. Mtaishia kujisifia ninekuwa mbunge au diwani kwa miaka 20 leo nasherekea mwaka wa 20 Kama mbunge au diwani mhenga na kibibi au kibabu kilichokaa muda mrefu kuliko diwani au mbunge yeyoye wa CCM!!! Hiyo Ndio CV yangu kali!!!!!!
Bali, wanyamaziao uovu,wanafiki kama maprofesa wa Tanzania,wezi wa mali ya umma,wapiga pambio kwenye viunga vya watawala na wanaosifu kila kitu bila kujari madhara ndio huwa wanafanikiwa kisiasa kwa gharama ya maisha ya watanzania masikini.
Hayo ndio ulisahau mtoa hoja.
 
Kwa chuki na hila mlizonazo rohon mwenu,hata mkishauriwa mnaona mnapingwa tu.kama huamin soma hutuba za kambi ya upinzani bungeni utaelewa.
 
Acha kudhalilisha ufahamu wako. Unamuuliza nani maswali kama hayo? Unategemea YEHODAYA anauelewa wa kukujibu hayo maswali japo ni mepesi? Nakwambia tena "UKIKUTA THREAD AU POST INEUNGWA MKONO NA YEHODAYA, UJUE IMEJAA UPUUZI" achana nayo.
Post hii nimeipenda kwani imesema jambo ambalo ni la kweli katika siku hii ya jumapili.
Mkuu nakutakia jumapili njema.
 
wacha weee.
nina maswali 2 kwako kijana
1.unajua siasa?
2.unajua shabaha ya chama cha siasa?
Lengo la chama chochote cha siasa ni kuwaletea maendeleo wananchi na kuchochea ari Ya wananchi kujiletea maendeleo kwenye maeneo au kwa watu wanaokiunga mkono. Lengo la chama cha siasa kubwa ni hilo sio kushika dola na kwenda tu ikulu !!!! Classical and medieval theory zilizozeeka za kizee za kizamani zilikuwa zikisema lengo kuu la chama cha siasa ni kukamata dola na kwenda ikulu!!!!! Utaenda kufanya nini sio issue hata ukienda kunya ikulu sawa tu. Sasa hivi ni tofauti lengo la chama cha siasa role yake ni ya kiuchumi zaidi kuchochea na kuhamasisha maendeleo sio kuchochea kwa maana ya kuchochea wananchi waichukie serikali iliyopo madarakani ili kuwezesha upinzani uingie ikulu kwa maneno Ya Mchungaji msigwa !
 
Mtu huogopa kabla hajatenda akitenda huwa mazoea na uoga hutoka sasa huanza kutafuta ujasili kwa mwelekeo huu wa serikali amini usiamini Kuna bomu mnalitengeneza bila wenyewe kujua kundi la lumpen mnalolitengeneza ndo mtaji wa chama pinzani na mageuzI ya kiserikali huanzia hukohuko kwa malumpen maana wanakuwa na uelewa ila hawana Mali kumbuka pia wanahitji kupata mahitaji muhimu ila nyinyi mnawahadaa na kuwadharau ni swala la MDA tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom