johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,806
- 141,710
Tunakumbushana tu.
Tundu Lissu alikuwa na dada yake Bungeni
Zitto Kabwe alikuwa na dada yake Bungeni.
Dkt. Slaa alikuwa na mtalaka wake Bungeni
Ndesamburo alikuwa na mwanae pamoja na mkwewe bungeni
Mbatia alimpeleka dada yake bunge la Afrika Mashariki nk nk
Kila jambo na wakati wake, awamu ya tatu kabila fulani kule Kaskazini lilifaidika sana walijimilikisha TRA eti wanajua sana hesabu na uhasibu.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Tundu Lissu alikuwa na dada yake Bungeni
Zitto Kabwe alikuwa na dada yake Bungeni.
Dkt. Slaa alikuwa na mtalaka wake Bungeni
Ndesamburo alikuwa na mwanae pamoja na mkwewe bungeni
Mbatia alimpeleka dada yake bunge la Afrika Mashariki nk nk
Kila jambo na wakati wake, awamu ya tatu kabila fulani kule Kaskazini lilifaidika sana walijimilikisha TRA eti wanajua sana hesabu na uhasibu.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!