johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,830
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa......!Bwashee hongera kwa kumeza dawa zako leo. Dishi limetulia utadhani wa UFIPA!!! 😂😂😂
Hahahaaaa......!Bwashee hongera kwa kumeza dawa zako leo. Dishi limetulia utadhani wa UFIPA!!! 😂😂😂
Unauliza makofi polisi tena we mzeeBwashee unajua bei ya mbolea?
Wangetaka kutengeneza wangeweza tena hata kuajiri watu wote kasoro watoto inawezeka, ile sera ya viwanda ingehamishiwa vijijini kujengwa viwanda watu wote wangepata kazi sasa sijui Tanzania ya viwanda iliishia wapi?Walisema watatengeneza ajira 8m. Bahati mbaya kuna watu waliamini.