Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ungemfanya nini? Kama angekuwa yupo free.ila ujue sky wewe ni mmama wa uswazi😂 unapenda sana mambo ya uswahilini bahati yako upo busy na jf
Ungemfanya nini? Kama angekuwa yupo free.ila ujue sky wewe ni mmama wa uswazi😂 unapenda sana mambo ya uswahilini bahati yako upo busy na jf
Uswahilini maisha ni afueni sana, unaenda gengeni na 500 inatosha mboga. Unaweza kupata kikombe cha maharage yaliyopikwa kwa mama ntilieWenzako wanashindia ugali na matembele mixer na dagaa mchele. Ukinywa bia tu mtaa mzima wanasema unajifanya una hela. Bia yenyewe Balimi 1300. Uswazi sio pa kuishi unaweza kurogwa kisa Balimi.
Mtoto ndizi nyamaHuko uswahilini unakoishi na mtoto wako alivyo chapati samaki sipatii picha........................................
Sawa, mnatupiga majungu sana tunaokunywa Balimi. Yaani unamchukia mtu kunywa Balimi sh 1300 tu, mpaka mnaturoga. Hapafai kabisa. Tunaishi kwa shida tu.Uswahilini maisha ni afueni sana, unaenda gengeni na 500 inatosha mboga. Unaweza kupata kikombe cha maharage yaliyopikwa kwa mama ntilie
Uzuri ni kwamba we unakaa uswahilini for fun. Ushayachoka maisha ya kishua ila sisi tunaomba deile mungu atukunie nazi tukaishi hata Kawe tu. Huku K'Nyamala jau jau sana!!!Umbea ni tabia, kuna wazungu wambea Kwamtogole tunasingiziwa.
Hivi kaka unaweza kushinda bahati nasibu ya kijani ya kuishi kwa Trump lakini ukaamua kuishi Tanzania for fun?Uzuri ni kwamba we unakaa uswahilini for fun. Ushayachoka maisha ya kishua ila sisi tunaomba deile mungu atukunie nazi tukaishi hata Kawe tu. Huku K'Nyamala jau jau sana!!!
Mie hata bila bahati nasibu lazma nijitupie huko tu. First world patamu...nangojea dam yangu akamate papers tu nifanye mzuka nijitupie. Watu wanakula stipends tu kipindi cha majanga.Hivi kaka unaweza kushinda bahati nasibu ya kijani ya kuishi kwa Trump lakini ukaamua kuishi Tanzania for fun?
Hebu fuatilia kile kibao (wimbo) "uswahilini kuna vituko...". Uswahilini......., nakumbuka sana yale maisha. Fikiria vile huna mkaa na unataka kupika. Utatembea na jalo nyumba tatu tu kuomba moto, unapata mkaa wa kupikia hadi keshoWapi kama Uswazi? Uzunguni ukiends Ulaya unakutana nako
Baba mkwe akija kuwasalimia unachukua 1/4 kuku kwa kuuza chips, unamtengenezea mchuzi fresh ukimtengea unaomba asiseme niongeze mboga.Hebu fuatilia kile kibao (wimbo) "uswahilini kuna vituko...". Uswahilini......., nakumbuka sana yale maisha. Fikiria vile huna mkaa na unataka kupika. Utatembea na jalo nyumba tatu tu kuomba moto, unapata mkaa wa kupikia hadi kesho
Kuna watu wanaishi uzunguni lakini kila siku wanarudi nyumbani late sababu ya upweke wa kukosa companyNaturally Kuna watu wanapenda kukaa uswazi, Mwamnyange aliyekuwa msemaji was polisi alikataa kukaa Oyster Bay ushuani, sio kituo cha polisi akataka akae Buruguni, eti uzunguni atakuwa mpweke.
Kule hadi sukari ya kikombe kimoja cha chai unanunua...Baba mkwe akija kuwasalimia unachukua 1/4 kuku kwa kuuza chips, unamtengenezea mchuzi fresh ukimtengea unaomba asiseme niongeze mboga.
Kila mtu na alivyo, mimi huo upweke haunikeri hata kidogo....Kuna watu wanaishi uzunguni lakini kila siku wanarudi nyumbani late sababu ya upweke wa kukosa company
Nasikia Kuna magari pia ya uswahiliniUswahilini mnakokukimbia ni wapi? Inawezekekana mnakimbia kushirikiana jiko, choo na bafu kwanye nyumba ya kupanga lakini hata Manzese, Mbagala, Mwananyamala kwa Kopa Kinondoni Shamba kuna nyumba self contained na gate kabisa mlangoni, ukiingia na gari yako hakuna mtu anaejua maisha yako.
Nifundisheni huu uzungu unaofanya mkimbie Uswahilini. Huko Uzunguni kuna nini cha ziada? Au oxygen wanauovuta ni tofauti na hii ya kwetu?
Uzungu na Uswahili unaubeba mwenyewe na jifunze jinsi ya kuishi na watu wanaokuzunguka