ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,650
Jamani jamiiforum Ni tamu sana.huu mtandao ni mzuri Kama hela naupenda Sana kwakweli. mmiliki wake nakupa pongezi ulifikiria vizuri Sana ukaanzisha forum hii isiyo boa.kwa jinsi ninavyoona Mimi hakuna mtu ana weza akawa member wa Jf halafu akaja akaacha kuitumia labda TU apumzike kwa muda kidogo lakini huwezi ukaikinai JF.ni Kama nyama ya mtu ukianza kuila hutaacha ukifikiria kale kachumvi chumvi,au Ni Kama punyeto ukishajisajili CHAPUTA Inakuwa Ni ngumu kuacha labda mpk uanze kuona madhara yake uanze kuhisi Kama itakumaliza nguvu za kiume,itakuzeesha ndo labda uache.
so zile ID Ambazo tulikuwa tunaziona halafu zikaja kupotea ghafla na hatujaziona Tena sio kwamba wahusika wameamua kutotumia Tena hii forum badala yake wamekujaga na ID Nyingine labda tu Kama wamefariki lakini kama ni wazima na uhakika wapo humuhumu tunaendelea nao Kama kawa.
Wapo wengi wakina bitoz,wakina miss chagga wote hawa na uhakika wamekuja na ID mpya.tena Kama huyu bitoz huwa nahisi Ni ZERO IQ.jamii forum haiachiki we SI unaona Bibi faizafoxy hapumziki tu mpk Leo ndo kwanza anazidi kuwapeleka mbio vijana wa huku.
so zile ID Ambazo tulikuwa tunaziona halafu zikaja kupotea ghafla na hatujaziona Tena sio kwamba wahusika wameamua kutotumia Tena hii forum badala yake wamekujaga na ID Nyingine labda tu Kama wamefariki lakini kama ni wazima na uhakika wapo humuhumu tunaendelea nao Kama kawa.
Wapo wengi wakina bitoz,wakina miss chagga wote hawa na uhakika wamekuja na ID mpya.tena Kama huyu bitoz huwa nahisi Ni ZERO IQ.jamii forum haiachiki we SI unaona Bibi faizafoxy hapumziki tu mpk Leo ndo kwanza anazidi kuwapeleka mbio vijana wa huku.