Hakuna Mtanganyika (mtanzania bara) Anayemiliki Ardhi/Nyumba Zanzibar

Dini gani na kabila gani...?kwa taarifa yako watu , wanasumbuliwa hadi vitambulisho vya sheia kila kukicha.Wazenj waliozamia bara wananunua ardhi back home kwa vile wana reference za ndugu zao ..zanzibar kila kitu ni km hadithi ..kupitia kwa fulani na fulani na fulani.....utaulizwa msururu wa watu km unawajua kw akila kitu..kuanzia kuoa, kukodi chumba kwa wenyeji vijijini, hadi kununua ardhi..na ukienda kipindi cha kura hata km ni mzenj mlowezi bara labda uwe na mamlaka au auna jamaa wenye mmlaka..patachimbika.

Hata kuoa mzenj aliyezamia km hana reference ya ndugu mkazi kabisa na mtu wa watu kule hakuna kuoa.

Nicholas mimi ninamiliki ardhi zanzibar na kwa taarifa yako baada ya mapinduzi Zanzibar wabara waliokuwa wanataka kuishi zanzibar walikuwa wakipewa ekari 3 sawa na mzanzibari wa wakati ule na hawaondoki ng'o zanzibar wamefika (Ndio hao akina Augustino Ramadhani na Balozi Sepetu). Nyie mnapenda kuzua mambo ya uongo uongo. Na nakutuma nenda bububu utakuta wakristo kibao wanamiliki ardhi kule, nenda mpendae na kwa mchina kuna hadi kanisa kubwa limejengwa kule.

Tushawazoea humu jamvini na viwanda vyenu vya uongo.
 
Tanzania ina watu takriban mil 49 Zanzibar Ina watu mil 1.5 dare Salam peke yake Ina watu wasiopungua mil 5,sasa tuseme kwa mfano watu wa daresalam tu waamue kununua ardhi na nyumba Zanzibar kutakua hakuna Zanzibar Wala mungano wa Zanzibar na tanganyika
 
Tanzania ina watu takriban mil 49 Zanzibar Ina watu mil 1.5  dare Salam peke yake Ina watu wasiopungua mil 5,sasa tuseme kwa mfano watu wa daresalam tu waamue kununua ardhi na nyumba Zanzibar kutakua hakuna Zanzibar Wala mungano wa Zanzibar na tanganyika
 
Huu ni uongo uliokithiri na kushtadi.

Mfano mzuri ni maeneo ya Chake-Chake, Kusini, Pemba ambako Kanisa la Roman Catholic wanamiliki kiwanja na wamejenga kindergarten

Hapa hapa Chake-Chake, Kanisa la SDA wanamiliki kiwanja na wamejenga hospitali.

Unguja, maeneo ya Cheju, Kanisa la Roman Catholic wanajenga high school.

Lakini kubwa ni kwamba karibu mtaondoka, viwanja vya nini?

Nyie huku mje mlime tu mpaka "muungano" utakapo kata roho.

hizo ni institute tunaongelea individuals
 
Nicholas mimi ninamiliki ardhi zanzibar na kwa taarifa yako baada ya mapinduzi Zanzibar wabara waliokuwa wanataka kuishi zanzibar walikuwa wakipewa ekari 3 sawa na mzanzibari wa wakati ule na hawaondoki ng'o zanzibar wamefika (Ndio hao akina Augustino Ramadhani na Balozi Sepetu). Nyie mnapenda kuzua mambo ya uongo uongo. Na nakutuma nenda bububu utakuta wakristo kibao wanamiliki ardhi kule, nenda mpendae na kwa mchina kuna hadi kanisa kubwa limejengwa kule.

Tushawazoea humu jamvini na viwanda vyenu vya uongo.

wewe dini gani, n akabila gani mbon ahujajibu hilo unaishia kusema wengine ndio walipata nafasi..lini muislam akapima haki ya Mkristu kutoka wa waislam kwa haki?SI nyie ndio huwa mnasema waziwazi kuwa eti Ukristu si dini ya kuhubiriwa hadharani..

Wakristu walipaswa kuwepo Zenj kwa vile kabla ya mapinduzi walikuwepo na wana historia njema sana ya kukomboa watu...Sijui km kuna watu wabra waliwahi choma nyumba ya wazenj..achilia nyumba za ibada.


Hadi hap ahujawa honest enough.....Zenj vijijijini nimeingia jombaa....bora unyamaze tuu.Uisjeleta story na mtu aliyeua simba halafu ukata waambiwa wengine mbona watu wanaua simba tuu....watu wanastruggle kuwa na mani Zenj, haswa makanisa...
 
Tanzania ina watu takriban mil 49 Zanzibar Ina watu mil 1.5  dare Salam peke yake Ina watu wasiopungua mil 5,sasa tuseme kwa mfano watu wa daresalam tu waamue kununua ardhi na nyumba Zanzibar kutakua hakuna Zanzibar Wala mungano wa Zanzibar na tanganyika

Zenj na udogo wake bado mapori hayana kipimo..wazenj mapori yote bado wana njaa..ingawa hawafi ila ni dhoofu sana..Saa 5 tuu wanalia sana njaa.Na familia nyingi kula kulaa kwa vijana wakubwa kabisa ni kawaida kabisa..huku wakilia na muungano HAWAUWALETEENI MSOSI MEZANI
 
Huu ni uongo uliokithiri na kushtadi.

Mfano mzuri ni maeneo ya Chake-Chake, Kusini, Pemba ambako Kanisa la Roman Catholic wanamiliki kiwanja na wamejenga kindergarten

Hapa hapa Chake-Chake, Kanisa la SDA wanamiliki kiwanja na wamejenga hospitali.

Unguja, maeneo ya Cheju, Kanisa la Roman Catholic wanajenga high school.

Lakini kubwa ni kwamba karibu mtaondoka, viwanja vya nini?

Nyie huku mje mlime tu mpaka "muungano" utakapo kata roho.

ulichoanza kuongea na ulichomalizia ni wazi wazenj hawawezi ficha ujinga,wala ubaguzi..unataja makanisa moja moja,huwezi taja mengine,zenj misikiti kila mahali hadi mingine hiana watu..na makanisa km si restriction yangekuwa mengi sana Zenj...na maendeleo yangukuwa makubwa..makanisa huwa hayakosi shule za vication,chekechea etc..leo Zenj hakuna shule z akutosha za kufundisha kwe kiingereza,hata kiarabu pia si kihivyo,...bado wanadanganyika kuwa ni kwa sababu ya muugano wakti issue ya sector binafsi.


Ulichomalizia ndio kinasema jinsi gani hamuwezi vumilia ugaidi.....si wewe tuu anayepania na kuapa kuwa ktk miaka miattu ni hujuma tuu kwa kwenda mbele ili kila mtu aende ktk nchi yake.sasa umedanganya mwisho unamalizia kuwa ni kwa muda tuu..
 
Kwahiyo ni watu kutoka bara tu, au ni watu kutoka nje ya zanzibar

wakongo na wakenya etc wanaishi zenj kwa raha..wakongo hadi wana ardhi.Ila kwa watanganyika ni soo,si unawasikia wanavyojisahau na kusema kuwa hadi muungano uishe, wengina wanasema watasafisha ktk miaka mitatu,wengine wanasema hawafukuzi mtu ila hujuma wataondoka wenyewe.

Ila unga, Ukimwi unawatafuta taratibu bila kumwambia jirani, na jambo hili halisemeki ktk jamii zao..eti wanaokufa na wageni.
 
File:Map of Zanzibar Archipelago-en.svg - Wikipedia, the free encyclopedia

Nchi yenye kilometer 50 kwa marefu na 30 kwa mapana Hilo pori litatokea wapi

-Sasa kinakushangaza nini?Hembu kajifunze kwanza nini maana ya pori..halafu nenda zenj..
-Zenj ukitembea kwa miguu au kuruka angani utaona watu walivyojazana sehemu chanche sana..na sehemu wanazoziita mashambani, in reality mazao yamejiotea km bush plants, na kuna sehemu ni vichaka tupu hakuna binadamua anayepagusa...sasa hivi vichaka(mimea pori),na mimea inayojitunza yenyewe ktk eneo kubwa(namaanisha ukubwa km fraction ya ardhi ya zenj), ndio hutengeneza pori.

unaweza wadanganya watu wasioiua zenj, au watu wanaoweza tafsiri hizo km kwa haraka..ila ukweli zenj kuna pori za kutosha.
 
-Sasa kinakushangaza nini?Hembu kajifunze kwanza nini maana ya pori..halafu nenda zenj..
-Zenj ukitembea kwa miguu au kuruka angani utaona watu walivyojazana sehemu chanche sana..na sehemu wanazoziita mashambani, in reality mazao yamejiotea km bush plants, na kuna sehemu ni vichaka tupu hakuna binadamua anayepagusa...sasa hivi vichaka(mimea pori),na mimea inayojitunza yenyewe ktk eneo kubwa(namaanisha ukubwa km fraction ya ardhi ya zenj), ndio hutengeneza pori.

unaweza wadanganya watu wasioiua zenj, au watu wanaoweza tafsiri hizo km kwa haraka..ila ukweli zenj kuna pori za kutosha.

kuna pori na kichaka,hivyo ulivyoona wewe ni vchaka,hayo mapori uliyoyaona wewe kuna wanyama gani? Hivyo ni vichaka vilivyojaaa kunguru hamna hata sehemu ya kulima huko Zenji mazao yote yanatoka bara,mkuu usidanganyike na vchaka ukasema mapori
 
Baba yangu mtanganyika mzaliwa wa ukerewe mbona ana viwanja na mashamba ya kutosha huko unguja?
 
wewe dini gani, n akabila gani mbon ahujajibu hilo unaishia kusema wengine ndio walipata nafasi..lini muislam akapima haki ya Mkristu kutoka wa waislam kwa haki?SI nyie ndio huwa mnasema waziwazi kuwa eti Ukristu si dini ya kuhubiriwa hadharani..

Wakristu walipaswa kuwepo Zenj kwa vile kabla ya mapinduzi walikuwepo na wana historia njema sana ya kukomboa watu...Sijui km kuna watu wabra waliwahi choma nyumba ya wazenj..achilia nyumba za ibada.


Hadi hap ahujawa honest enough.....Zenj vijijijini nimeingia jombaa....bora unyamaze tuu.Uisjeleta story na mtu aliyeua simba halafu ukata waambiwa wengine mbona watu wanaua simba tuu....watu wanastruggle kuwa na mani Zenj, haswa makanisa...

Hebu nikuulize kijijini gani umefika? Mie ni Mwislamu na kwa Taarifa yako Jirani anaitwa Joseph na ni mkristo safi anasali kanisa la Anglikan pale Mkunazini. Sasa wewe mwongo mkubwa tueleze wapi wakristo hawapewi ardhi? Na nimekueleza baada ya mapinduzi wabara walipewa ardhi sawa na wazanzibari wazawa ekari 3 kataa hili au kawaulize akina Augustino Ramadhani na Isaack Sepetu wamepataje ukaazi? Acheni unafiki wenu ndio maana chadema kinawafia mkononi na uongo wenu.
 
Aisee!yaani tanganyika na ukubwa wake wote bado tu hadi leo haijiamini,wapo 45 mill hawajielewi,zanzibar kweli kiboko.
 
Nd.wana jf. Nasikia ati ni marufuku kwa mtu kutoka bara (tanganyika) kumiliki aridhi,nyumba au jengo huko Zanzibar. Je ni kweli?
Kama jibu ni NDIYO. Kwa nini huku Tanganyika hatujawa na sera kama hiyo kwa wazanzibar?

Wazanzibar hawapaswi kumiliki ardhi huku Tanganyika. Kwani katiba inasemaje? Si kwamba mtanzania ana uhuru wa kuishi popote ndani ya Jamhuri ya Muungano. Kwa nini watanganyika hawamiliki aridhi kule?

=========
June 2012:

July 2013:

Sio kweli mkuu na ni unafiki huu ulioandika,tukianza kukuandikia majina ya wabara wanaomiliki ardhi na majumba zanzibar hatutamaliza leo,kwanza kuna Said Washoto ni mbara na anamiliki nyumba na ardhi zanzibar,akina mohd mfaume ni wamakonde wa lindi,Ernest Fabian,nenda maeneo ya bungi hakuna mmiliki mzanzibar pamoja na kiboje,kote watu wabara watupu tena wanamiliki maeneo makubwa makubwa,sema kilichowashtua watu ni ile sera ya serikali kuwa ardhi ni mali ya serikali,na pia hapo awali ilionekana kuwa zanzibar ina maeneo machache sana kulingana na bara,hvyo kwa wageni kumiliki ardhi wakati wenyeji walokuwepo haitaweza kuwatosha tafauti na maeneo ya bara yaliyo matupu ni makubwa sana,ambapo sera hiyo ilikuwepo kwa nchi nyingi zenye maeneo madogo,pia zanzibar hiyo sheria haikuwahi kufanya kazi na ndio maana saivi kila dhehebu la kikiristo zanzibar ina maeneo makubwa na mengi sana .
 
Back
Top Bottom